Kikosi changu cha kwanza, round ya kwanza msimu huu

Kikosi changu cha kwanza, round ya kwanza msimu huu

1. Mousa Kamala(Simba)
2.Yao Kouassi Attohoula (Yanga)
3. Paschal Msindo(Azam)
4. Abdulazak Hamza(Simba)
5 Ibrahim Bacca (Yanga)
6. Nelson Munganga (Tabora United)
7. Pacome Zouzou (Yanga)
8. Marouf Tchakei(Singida BS)
9. Elvis Rupia(Singida BS)
10. Feisal Salum (Azam)
11. Max Nzengeli (Yanga)

Kwa hii timu Yangu round ya Kwanza hakuna timu ya kunifunga

Leta first 11 yako
Hapo UKUTA wa yericko sijaona wa kumnyang'anya namba.

CHE MALONE
 
Na Tabora ni moja ya timu zilizofungwa magoli mengi kuliko zote ila ameona ni heri akamchukue kiungo wao mkabaji kuliko kina Okajepha, Ngoma na Kagoma.

Shiii, afadhali basi umsogeze Hamza namba 6 halafu Che Malone acheze na Bacca.
Che Malon sio beki mzuri
Hiki kikosi hakina ushabiki
 
Che Malon sio beki mzuri
Hiki kikosi hakina ushabiki
Mpira usipozingatia takwimu lazima utaendeshwa na ushabiki. Hauwezi kufumbia macho takwimu za Ahoua hata kama hana tuvituvitu. Huyo Munganga hata kama ni mzuri, takwimu za timu yake zinamuangusha hasa kwa nafasi unayomsifia nayo. Labda umuweke kama mchezaji wa akiba katika hiyo X1 yako.
 
Mpira usipozingatia takwimu lazima utaendeshwa na ushabiki. Hauwezi kufumbia macho takwimu za Ahoua hata kama hana tuvituvitu. Huyo Munganga hata kama ni mzuri, takwimu za timu yake zinamuangusha hasa kwa nafasi unayomsifia nayo. Labda umuweke kama mchezaji wa akiba katika hiyo X1 yako.
Mpira sio takwimu ulizozioea ww
Kuna mabeki wameruhusu goli nyingi lakini ni kati ya mabeki wazuri
Ndo maana Aaron Ramsale alitoka Shelfild iliyoshuka daraja akaja Arsenal
 
Mpira sio takwimu ulizozioea ww
Kuna mabeki wameruhusu goli nyingi lakini ni kati ya mabeki wazuri
Ndo maana Aaron Ramsale alitoka Shelfild iliyoshuka daraja akaja Arsenal
Hata huyo Munganga msimu ujao anaweza kwenda Simba au Yanga ila haimfanyi kuwa bora sasa hivi kuzidi hao wengine. Hao wote kina Bacca, Job, si wametoka timu ndogo wamekuja kujenga majina wakiwa Yanga?

Takwimu ndiyo kipengele cha kwanza na cha mwisho unapoangalia ubora wa mchezaji, kuanzia takwimu zake binafsi hadi za timu anayochezea.
 
Hata huyo Munganga msimu ujao anaweza kwenda Simba au Yanga ila haimfanyi kuwa bora sasa hivi kuzidi hao wengine. Hao wote kina Bacca, Job, si wametoka timu ndogo wamekuja kujenga majina wakiwa Yanga?

Takwimu ndiyo kipengele cha kwanza na cha mwisho unapoangalia ubora wa mchezaji, kuanzia takwimu zake binafsi hadi za timu anayochezea.
Sasa wewe hoja yako si unasema eti nichukue Che maloni kisa timu yake imeruhusu goli chache
Munganga kacheza As Vita sio mchezaji mdogo
 
Sasa wewe hoja yako si unasema eti nichukue Che maloni kisa timu yake imeruhusu goli chache
Munganga kacheza As Vita sio mchezaji mdogo
Kwa lengo la kuangalia kikosi bora cha mashindano husika ni lazima uangalie takwimu za mchezaji husika na mchango wake katika timu yake KATIKA MASHINDANO HAYO. Mambo ya kusajiliwa mbele ya safari au alipotoka hayahusiani na lengo ulilokusudia.
 
Kwa lengo la kuangalia kikosi bora cha mashindano husika ni lazima uangalie takwimu za mchezaji husika na mchango wake katika timu yake KATIKA MASHINDANO HAYO. Mambo ya kusajiliwa mbele ya safari au alipotoka hayahusiani na lengo ulilokusudia.
We unasema beki mzuri anapimwa Kwa kutokuruhusu magoli mengi me nasema hapana
Beki anaweza kuwa mzuri na timu ikaruhusu magoli mengi
 
We unasema beki mzuri anapimwa Kwa kutokuruhusu magoli mengi me nasema hapana
Beki anaweza kuwa mzuri na timu ikaruhusu magoli mengi
Hilo hakuna anayepinga na mimi nikamwambia hata hao kina Job na Bacca wametoka timu ndogo ambazo kwa tafsiri ya haraka zilikuwa zinaruhusu magoli mengi. Lakini siyo lengo la huu uzi. Lengo la huu uzi ni kuangalia kikosi bora cha msimu siyo kuangalia nani anaweza baadae kusajiliwa timu kubwa.

Nitawaacha wengine wakueleweshe maana siwezi kuingia 2025 huku nikiwa nabishana na mtu mwenye ubongo wa jongoo.
 
1. Mousa Kamala(Simba)
2.Yao Kouassi Attohoula (Yanga)
3. Paschal Msindo(Azam)
4. Abdulazak Hamza(Simba)
5 Ibrahim Bacca (Yanga)
6. Nelson Munganga (Tabora United)
7. Pacome Zouzou (Yanga)
8. Marouf Tchakei(Singida BS)
9. Elvis Rupia(Singida BS)
10. Feisal Salum (Azam)
11. Max Nzengeli (Yanga)

Kwa hii timu Yangu round ya Kwanza hakuna timu ya kunifunga

Leta first 11 yako
Chikola umemuacha
 
Hilo hakuna anayepinga na mimi nikamwambia hata hao kina Job na Bacca wametoka timu ndogo ambazo kwa tafsiri ya haraka zilikuwa zinaruhusu magoli mengi. Lakini siyo lengo la huu uzi. Lengo la huu uzi ni kuangalia kikosi bora cha msimu siyo kuangalia nani anaweza baadae kusajiliwa timu kubwa.

Nitawaacha wengine wakueleweshe maana siwezi kuingia 2025 huku nikiwa nabishana na mtu mwenye ubongo wa jongoo.
😅🤣Tulia kolo
 
1. Mousa Kamala(Simba)
2.Yao Kouassi Attohoula (Yanga)
3. Paschal Msindo(Azam)
4. Abdulazak Hamza(Simba)
5 Ibrahim Bacca (Yanga)
6. Nelson Munganga (Tabora United)
7. Pacome Zouzou (Yanga)
8. Marouf Tchakei(Singida BS)
9. Elvis Rupia(Singida BS)
10. Feisal Salum (Azam)
11. Max Nzengeli (Yanga)

Kwa hii timu Yangu round ya Kwanza hakuna timu ya kunifunga

Leta first 11 yako
Toa hiyo spider wa kudaka mipira ya nje weka Djigue diarra, Toa hiyo Paschal msindo tia Chadrack Boka, Toa hiyo Abdurazak sijui nani hana hata medali ya caf, tia Dickson Job, toa hiyo Nelson Muganga anajua kukamia mechi za Yanga tu, weka Khalid Aucho, toa hiyo Marouf tchakei weka Mudathir Yahya, toa Elvis rupia weka Clement Mzize, Toa hiyo takataka Feisal salum tia Aziz Ki
 
1. Mousa Kamala(Simba)
2.Yao Kouassi Attohoula (Yanga)
3. Paschal Msindo(Azam)
4. Abdulazak Hamza(Simba)
5 Ibrahim Bacca (Yanga)
6. Nelson Munganga (Tabora United)
7. Pacome Zouzou (Yanga)
8. Marouf Tchakei(Singida BS)
9. Elvis Rupia(Singida BS)
10. Feisal Salum (Azam)
11. Max Nzengeli (Yanga)

Kwa hii timu Yangu round ya Kwanza hakuna timu ya kunifunga

Leta first 11 yako
Umeona aibu kumuweka Ahoua
 
Back
Top Bottom