Kikosi hatari cha majasusi na makomando watakaoiangusha Serikali ya Russia

Kikosi hatari cha majasusi na makomando watakaoiangusha Serikali ya Russia

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Dunia inaenda kwa kasi sana na leo nimeona nije na huu Uzi ambao huenda ukawa kama ktk nadharia ya kusadikika ila ndicho kitakachotokea.

Mataifa ya Dunia ya kwanza wanaona Kuna kila dalili Mrusi asipodhibitiwa kitakachofuwata kitakuwa ni kibaya sana.

Kwa kuona hili mataifa yenye nguvu duniani ya kiuchumi na silaha wameona ni Bora watu kadhaa wafe kwa ajili ya usalama wa Dunia kuliko kuacha mambo yaende kama yanavyoenda sasa.

Mataifa matatu ikiwemo Russia, China na Iran ndio kitisho cha amani ya Dunia na wasipodhibitiwa sasa wanaweza kuleta vita ya tatu ya Dunia vita itakayoacha mataifa tajiri miji yao walioitengeneza kwa miaka mia kadhaa kuwa ktk mavumbi.

Ili kuiokoa Dunia na kitisho hicho CIA akishirikiana na mataifa rafiki wamekuwa wakifanya kazi ngumu ya kuweza fanikisha mission ya kuwa-eliminate three head ktk hali ambayo hakuna anaweza kufikiri au kuiwaza.
Simu ya mwisho ya Rais mmoja wa bara ya Amerika kwa rafiki yake wa karibu sana Putin ndio chanzo cha siri cha vita ya kisasi inaendelea.

Kiongozi huyu alisifika sana bara Amerika akiwakosesha usingizi USA na Vyombo vyake vya ulinzi na ndipo majasusi hatari kutoka ktk kikosi kisichojulikana walifanikisha kumdondosha Mwamba ila mwamba before die alimtonya rafiki wake Pete na kidole "Rafiki yangu Putin mimi muda wowote nitaaga Dunia ila nataka kukuthibitishia kifo changu aliekitengeneza ni Marekani" number one down.

Putin hakuamini alichoambiwa mpaka alipokuja shituka kwenye COVID 19. Akiwa ameshashtuka time was not on his side. Jamaa walisha maliza kazi.

Simu ya rafiki mkubwa wa Putin na kile alikutana nacho ilimfanya Mwamba kusema kama bwai na iwe mbwai shida inakuja hawezi kutangazia umma nini jamaa wamemfanyia and why anataka kuipindua Dunia kwa kazi iliyofanywa kwa ustadi na idara zisizojulika.

Ni ukweli usiopingika wala kufichika Mataifa ya Dunia ya kwanza wanajua Rais Putin atazima muda na wakati Dunia haitoamini. Ila sasa muda wa eng kuzima na mipango ya huyu bwana imeibuka na plan B.

Plan B ni mataifa yenye nguvu kuunda most lethal unity ya watu 500 to 1000. Hiki kikosi kitasheheni viumbe hatari kuwahi kuumbwa na Mungu. Hiki kikosi hatari kitafanya kazi independent under one command unity with full mandates to eliminate those on the list. Hii unity kazi yake ni kufa na kupona but very silent.
 
Dunia ina enda kwa kasi sana na leo nimeona nije na huu Uzi ambao uwenda ukawa kama ktk nadharia ya kusadikika ila ndicho kitakacho tokea.
Mataifa ya Dunia ya kwanza wanaona Kuna kila dalili Mrusi azipo dhibitiwa kitakacho fuwata kitakuwa nikibaya sana.

Kwa kukuona hili mataifa yenye nguvu duniani ya kiuchumi na silaha wameona ni Bora watu kadhaa wafe kwa ajili ya usalama wa Dunia kuliko acha mambo yaende kama yanavyo enda sasa.

Mataifa matatu ikiwemo Russia, China na Iran ndio kitisho cha amani ya Dunia na wasipo dhibitiwa sasa wanaweza kuleta vita ya tatu ya Dunia vita itakayo acha mataifa tajiri miji yao walio itengeneza kwa miaka mia kadhaa kuwa ktk mavumbi.

Ili kuiokoa Dunia na kitisho hicho CIA akishirikiana na mataifa rafiki wamekuwa wakifanya kazi ngumu yakuweza fanikisha mission yakuwa eliminate three head ktk hali ambayo hakuna anaweza kufikiri au kuiwaza.
Sim ya mwisho ya Rais mmoja wa bara ya Amerika kwa rafiki yake wakaribu sana Putin ndio chanzo cha siri cha vita ya kisasi inaendelea.

Kiongozi huyu alisifika sana bara Amerika akiwakosesha usingizi USA na Vyombo vyake vya ulinzi na ndipo majasusi hatari kutoka ktk kikosi sichojulikana walifanikisha kumdondosha Mwamba ila mwaba before die alimtonya rafiki wake Pete na kidole "Rafiki yangu Putin mm muda wowote ni taaga Dunia ila nataka kukuthibitishia kifo changu alie kutengeneza ni Marekani" number one down.

Putin hakuamini alicho ambiwa mpaka alipokuja shituka kwenye COVID 19.
Akiwa amesha shituka time it was not on his side. Jamaa walisha maliza kazi.
Sim ya rafiki mkubwa wa Putin na kile alikutana nacho ilimfanya Mwamba kusema kama bwai naiwe mbwai shida inakuja hawezi kutangazia umma nn jamaa wamemfanyia and why anataka kuipindua Dunia kwa kazi iliyofanywa kwa ustadi na idarazisizojulika.

Niukweli usio pingika wala kufichika Mataifa ya Dunia ya kwanza wanajuwa Rais Putin atazima muda na wakati Dunia haitoamini. Ila sasa muda wa eng kuzima na mipango ya huyu bwana imeibuka na plan B.

Plan B ni mataifa yenye nguvu kuunda most lethal unity ya watu 500 to 1000.
Hiki kikosi kitasheheni viumbe hatari kuwahi kuumbwa na Mungu. Hiki kikosi hatari kitafanya kazi independence under one command unity with full mandates to eliminate those on the list. Hii unity kazi yake ni kufa na kupona but very silence.
Fikiri kukubwa upate maarifa, Russia, China na Iran hazinaga ugomvi na mtu, zipo kulinda mipaka yake na kujikuza kiuchumi, America na washirika wake ndiyo chanzo Cha chokochoko ktk mataifa mengi sana, na ipo siku inakuja America itaangushwa na nchi nyingine itakayo kua imepanga mipango thabiti na nchi hiyo itaibuka kua ndiyo taifa lenye nguvu, na kama si Russia basi ni China
 
Dunia ina enda kwa kasi sana na leo nimeona nije na huu Uzi ambao uwenda ukawa kama ktk nadharia ya kusadikika ila ndicho kitakacho tokea.
Mataifa ya Dunia ya kwanza wanaona Kuna kila dalili Mrusi azipo dhibitiwa kitakacho fuwata kitakuwa nikibaya sana.

Kwa kukuona hili mataifa yenye nguvu duniani ya kiuchumi na silaha wameona ni Bora watu kadhaa wafe kwa ajili ya usalama wa Dunia kuliko acha mambo yaende kama yanavyo enda sasa.

Mataifa matatu ikiwemo Russia, China na Iran ndio kitisho cha amani ya Dunia na wasipo dhibitiwa sasa wanaweza kuleta vita ya tatu ya Dunia vita itakayo acha mataifa tajiri miji yao walio itengeneza kwa miaka mia kadhaa kuwa ktk mavumbi.

Ili kuiokoa Dunia na kitisho hicho CIA akishirikiana na mataifa rafiki wamekuwa wakifanya kazi ngumu yakuweza fanikisha mission yakuwa eliminate three head ktk hali ambayo hakuna anaweza kufikiri au kuiwaza.
Sim ya mwisho ya Rais mmoja wa bara ya Amerika kwa rafiki yake wakaribu sana Putin ndio chanzo cha siri cha vita ya kisasi inaendelea.

Kiongozi huyu alisifika sana bara Amerika akiwakosesha usingizi USA na Vyombo vyake vya ulinzi na ndipo majasusi hatari kutoka ktk kikosi sichojulikana walifanikisha kumdondosha Mwamba ila mwaba before die alimtonya rafiki wake Pete na kidole "Rafiki yangu Putin mm muda wowote ni taaga Dunia ila nataka kukuthibitishia kifo changu alie kutengeneza ni Marekani" number one down.

Putin hakuamini alicho ambiwa mpaka alipokuja shituka kwenye COVID 19.
Akiwa amesha shituka time it was not on his side. Jamaa walisha maliza kazi.
Sim ya rafiki mkubwa wa Putin na kile alikutana nacho ilimfanya Mwamba kusema kama bwai naiwe mbwai shida inakuja hawezi kutangazia umma nn jamaa wamemfanyia and why anataka kuipindua Dunia kwa kazi iliyofanywa kwa ustadi na idarazisizojulika.

Niukweli usio pingika wala kufichika Mataifa ya Dunia ya kwanza wanajuwa Rais Putin atazima muda na wakati Dunia haitoamini. Ila sasa muda wa eng kuzima na mipango ya huyu bwana imeibuka na plan B.

Plan B ni mataifa yenye nguvu kuunda most lethal unity ya watu 500 to 1000.
Hiki kikosi kitasheheni viumbe hatari kuwahi kuumbwa na Mungu. Hiki kikosi hatari kitafanya kazi independence under one command unity with full mandates to eliminate those on the list. Hii unity kazi yake ni kufa na kupona but very silence.
Punguza muda wako kwenye hizo Holwood movies. Tishio la dunia ni NATO na westerners na siyo hizo nchi tatu ulizotaja.
NATO na Marekani na westerners wanahisi wao ndiyo wenye haki ya kuset standard ya maisha kwenye huu ulimwengu, wanaweza kujiamulia kukuita wewe ni gaidi au siyo gaidi. Mfano Walisema Isis ni magaidi but Leo hii ISIS wanapigana vita Ukrain upande wa Zelensk but wamekata kimya hawasemi chochote. Urusi ni nchi ambayo inataka kuondoa huo ujinga wa white supremacy kwemye huu ulimwengu, wa kuwafanya nchi fulani ni Bora kuliko nyingine, ndiyo maana anaonekana ni adui wa usalama wa dunia.
Danish Media Shows Ukrainian Fighter Wearing ISIS Insignia

A Danish media outlet has shown a Ukrainian commander, identified as Kurt, wearing a Daesh arm patch during an interview – the same one used by the Islamic State terrorist organization in the Middle East.

Meanwhile, the latest Russian intelligence statement said the US is training radicals from Daesh to conduct attacks in Russia and other former Soviet countries.

RT hears from journalist and author Daniel Lazare, who says the US will continue to support extremist forces worldwide, particularly in Ukraine, as long as it’s in Washington’s interests.

Subscribe to RT
 
Fikiri kukubwa upate maarifa, Russia, China na Iran hazinaga ugomvi na mtu, zipo kulinda mipaka yake na kujikuza kiuchumi, America na washirika wake ndiyo chanzo Cha chokochoko ktk mataifa mengi sana, na ipo siku inakuja America itaangushwa na nchi nyingine itakayo kua imepanga mipango thabiti na nchi hiyo itaibuka kua ndiyo taifa lenye nguvu, na kama si Russia basi ni China
Wapi wazee wa puto, mulete spika tukutumie puto.AJIDHANIAE AMESIMAMA AANGALIE ASIANGUKE.
 
Dunia ina enda kwa kasi sana na leo nimeona nije na huu Uzi ambao uwenda ukawa kama ktk nadharia ya kusadikika ila ndicho kitakacho tokea.
Mataifa ya Dunia ya kwanza wanaona Kuna kila dalili Mrusi azipo dhibitiwa kitakacho fuwata kitakuwa nikibaya sana.

Kwa kukuona hili mataifa yenye nguvu duniani ya kiuchumi na silaha wameona ni Bora watu kadhaa wafe kwa ajili ya usalama wa Dunia kuliko acha mambo yaende kama yanavyo enda sasa.

Mataifa matatu ikiwemo Russia, China na Iran ndio kitisho cha amani ya Dunia na wasipo dhibitiwa sasa wanaweza kuleta vita ya tatu ya Dunia vita itakayo acha mataifa tajiri miji yao walio itengeneza kwa miaka mia kadhaa kuwa ktk mavumbi.

Ili kuiokoa Dunia na kitisho hicho CIA akishirikiana na mataifa rafiki wamekuwa wakifanya kazi ngumu yakuweza fanikisha mission yakuwa eliminate three head ktk hali ambayo hakuna anaweza kufikiri au kuiwaza.
Sim ya mwisho ya Rais mmoja wa bara ya Amerika kwa rafiki yake wakaribu sana Putin ndio chanzo cha siri cha vita ya kisasi inaendelea.

Kiongozi huyu alisifika sana bara Amerika akiwakosesha usingizi USA na Vyombo vyake vya ulinzi na ndipo majasusi hatari kutoka ktk kikosi sichojulikana walifanikisha kumdondosha Mwamba ila mwaba before die alimtonya rafiki wake Pete na kidole "Rafiki yangu Putin mm muda wowote ni taaga Dunia ila nataka kukuthibitishia kifo changu alie kutengeneza ni Marekani" number one down.

Putin hakuamini alicho ambiwa mpaka alipokuja shituka kwenye COVID 19.
Akiwa amesha shituka time it was not on his side. Jamaa walisha maliza kazi.
Sim ya rafiki mkubwa wa Putin na kile alikutana nacho ilimfanya Mwamba kusema kama bwai naiwe mbwai shida inakuja hawezi kutangazia umma nn jamaa wamemfanyia and why anataka kuipindua Dunia kwa kazi iliyofanywa kwa ustadi na idarazisizojulika.

Niukweli usio pingika wala kufichika Mataifa ya Dunia ya kwanza wanajuwa Rais Putin atazima muda na wakati Dunia haitoamini. Ila sasa muda wa eng kuzima na mipango ya huyu bwana imeibuka na plan B.

Plan B ni mataifa yenye nguvu kuunda most lethal unity ya watu 500 to 1000.
Hiki kikosi kitasheheni viumbe hatari kuwahi kuumbwa na Mungu. Hiki kikosi hatari kitafanya kazi independence under one command unity with full mandates to eliminate those on the list. Hii unity kazi yake ni kufa na kupona but very silence.
Nahic umetoka usingizini nakushauri ulale tena na uamke kichwa itakuwa sawa
 
Dunia ina enda kwa kasi sana na leo nimeona nije na huu Uzi ambao uwenda ukawa kama ktk nadharia ya kusadikika ila ndicho kitakacho tokea.
Mataifa ya Dunia ya kwanza wanaona Kuna kila dalili Mrusi azipo dhibitiwa kitakacho fuwata kitakuwa nikibaya sana.

Kwa kukuona hili mataifa yenye nguvu duniani ya kiuchumi na silaha wameona ni Bora watu kadhaa wafe kwa ajili ya usalama wa Dunia kuliko acha mambo yaende kama yanavyo enda sasa.

Mataifa matatu ikiwemo Russia, China na Iran ndio kitisho cha amani ya Dunia na wasipo dhibitiwa sasa wanaweza kuleta vita ya tatu ya Dunia vita itakayo acha mataifa tajiri miji yao walio itengeneza kwa miaka mia kadhaa kuwa ktk mavumbi.

Ili kuiokoa Dunia na kitisho hicho CIA akishirikiana na mataifa rafiki wamekuwa wakifanya kazi ngumu yakuweza fanikisha mission yakuwa eliminate three head ktk hali ambayo hakuna anaweza kufikiri au kuiwaza.
Sim ya mwisho ya Rais mmoja wa bara ya Amerika kwa rafiki yake wakaribu sana Putin ndio chanzo cha siri cha vita ya kisasi inaendelea.

Kiongozi huyu alisifika sana bara Amerika akiwakosesha usingizi USA na Vyombo vyake vya ulinzi na ndipo majasusi hatari kutoka ktk kikosi sichojulikana walifanikisha kumdondosha Mwamba ila mwaba before die alimtonya rafiki wake Pete na kidole "Rafiki yangu Putin mm muda wowote ni taaga Dunia ila nataka kukuthibitishia kifo changu alie kutengeneza ni Marekani" number one down.

Putin hakuamini alicho ambiwa mpaka alipokuja shituka kwenye COVID 19.
Akiwa amesha shituka time it was not on his side. Jamaa walisha maliza kazi.
Sim ya rafiki mkubwa wa Putin na kile alikutana nacho ilimfanya Mwamba kusema kama bwai naiwe mbwai shida inakuja hawezi kutangazia umma nn jamaa wamemfanyia and why anataka kuipindua Dunia kwa kazi iliyofanywa kwa ustadi na idarazisizojulika.

Niukweli usio pingika wala kufichika Mataifa ya Dunia ya kwanza wanajuwa Rais Putin atazima muda na wakati Dunia haitoamini. Ila sasa muda wa eng kuzima na mipango ya huyu bwana imeibuka na plan B.

Plan B ni mataifa yenye nguvu kuunda most lethal unity ya watu 500 to 1000.
Hiki kikosi kitasheheni viumbe hatari kuwahi kuumbwa na Mungu. Hiki kikosi hatari kitafanya kazi independence under one command unity with full mandates to eliminate those on the list. Hii unity kazi yake ni kufa na kupona but very silence.
Huu ujinga peleka kwa watoto wenzio
 
Dunia ina enda kwa kasi sana na leo nimeona nije na huu Uzi ambao uwenda ukawa kama ktk nadharia ya kusadikika ila ndicho kitakacho tokea.
Mataifa ya Dunia ya kwanza wanaona Kuna kila dalili Mrusi azipo dhibitiwa kitakacho fuwata kitakuwa nikibaya sana.

Kwa kukuona hili mataifa yenye nguvu duniani ya kiuchumi na silaha wameona ni Bora watu kadhaa wafe kwa ajili ya usalama wa Dunia kuliko acha mambo yaende kama yanavyo enda sasa.

Mataifa matatu ikiwemo Russia, China na Iran ndio kitisho cha amani ya Dunia na wasipo dhibitiwa sasa wanaweza kuleta vita ya tatu ya Dunia vita itakayo acha mataifa tajiri miji yao walio itengeneza kwa miaka mia kadhaa kuwa ktk mavumbi.

Ili kuiokoa Dunia na kitisho hicho CIA akishirikiana na mataifa rafiki wamekuwa wakifanya kazi ngumu yakuweza fanikisha mission yakuwa eliminate three head ktk hali ambayo hakuna anaweza kufikiri au kuiwaza.
Sim ya mwisho ya Rais mmoja wa bara ya Amerika kwa rafiki yake wakaribu sana Putin ndio chanzo cha siri cha vita ya kisasi inaendelea.

Kiongozi huyu alisifika sana bara Amerika akiwakosesha usingizi USA na Vyombo vyake vya ulinzi na ndipo majasusi hatari kutoka ktk kikosi sichojulikana walifanikisha kumdondosha Mwamba ila mwaba before die alimtonya rafiki wake Pete na kidole "Rafiki yangu Putin mm muda wowote ni taaga Dunia ila nataka kukuthibitishia kifo changu alie kutengeneza ni Marekani" number one down.

Putin hakuamini alicho ambiwa mpaka alipokuja shituka kwenye COVID 19.
Akiwa amesha shituka time it was not on his side. Jamaa walisha maliza kazi.
Sim ya rafiki mkubwa wa Putin na kile alikutana nacho ilimfanya Mwamba kusema kama bwai naiwe mbwai shida inakuja hawezi kutangazia umma nn jamaa wamemfanyia and why anataka kuipindua Dunia kwa kazi iliyofanywa kwa ustadi na idarazisizojulika.

Niukweli usio pingika wala kufichika Mataifa ya Dunia ya kwanza wanajuwa Rais Putin atazima muda na wakati Dunia haitoamini. Ila sasa muda wa eng kuzima na mipango ya huyu bwana imeibuka na plan B.

Plan B ni mataifa yenye nguvu kuunda most lethal unity ya watu 500 to 1000.
Hiki kikosi kitasheheni viumbe hatari kuwahi kuumbwa na Mungu. Hiki kikosi hatari kitafanya kazi independence under one command unity with full mandates to eliminate those on the list. Hii unity kazi yake ni kufa na kupona but very silence.
Sasa hadi wewe huko nanjilinji unajua hiyo plan B putin si atakua anajua hadi plan Z yao
 
Back
Top Bottom