Kikosi hatari cha majasusi na makomando watakaoiangusha Serikali ya Russia

Kikosi hatari cha majasusi na makomando watakaoiangusha Serikali ya Russia

Huwa wanaanza na propaganda Kama hivi ,ili kutishia ,katka harakati za kuchukua hatua wanajua kunamahali uta miss hapohapo wanapatumia,ndicho kilichotokea hapa kwetu bongo land,Ila sio urusi mkuu.watalaam wa kuua silently & professional katka dunia hii ni russia,hata hizi sumu za lethal zinazotumika ku wa eliminate watu wazito,mfano Marais n.k ambazo huwezi kuni detect kwa kipimo chochote kile mafundi wa kuzitengeneza ni hao hao Russia. kumpiga mkwara Russia ni sawa na ujaribu kutikisa mbuyu......
 
Punguza muda wako kwenye hizo Holwood movies. Tishio la dunia ni NATO na westerners na siyo hizo nchi tatu ulizotaja.
NATO na Marekani na westerners wanahisi wao ndiyo wenye haki ya kuset standard ya maisha kwenye huu ulimwengu, wanaweza kujiamulia kukuita wewe ni gaidi au siyo gaidi. Mfano Walisema Isis ni magaidi but Leo hii ISIS wanapigana vita Ukrain upande wa Zelensk but wamekata kimya hawasemi chochote. Urusi ni nchi ambayo inataka kuondoa huo ujinga wa white supremacy kwemye huu ulimwengu, wa kuwafanya nchi fulani ni Bora kuliko nyingine, ndiyo maana anaonekana ni adui wa usalama wa dunia.
Danish Media Shows Ukrainian Fighter Wearing ISIS Insignia

A Danish media outlet has shown a Ukrainian commander, identified as Kurt, wearing a Daesh arm patch during an interview – the same one used by the Islamic State terrorist organization in the Middle East.

Meanwhile, the latest Russian intelligence statement said the US is training radicals from Daesh to conduct attacks in Russia and other former Soviet countries.

RT hears from journalist and author Daniel Lazare, who says the US will continue to support extremist forces worldwide, particularly in Ukraine, as long as it’s in Washington’s interests.

Subscribe to RT
View attachment 2524263
Wewe ndivyo una amini ila mm sivyo ninavyo amini tawala za ki imla na katili hazina nafasi ktk uso wa Dunia hata Mungu alimshisha Yulusifa chini ili ajulikane Yeye ni Mungu. How coma mtu mmoja anatawala Taifa kwa mkono wa chuma anauwa watu kama kuku wake bandani nenda china kwa siku wananyonga watu wangapi? Nenda Iran ukaone mauwaji ya binadam kama kuku kuchinja bandani nenda Urusi ukaone sumu inavyo Latisha Uhai wa maelfu ya watu kwa masilahi ya mtu mmoja. Ambaye mtu huyu pia anakufa why?
 
Yani unakaa hapo unakunywa togwa unatarajia Rais wa nchi kama Russia au China auwawe na kakikosi ka watu 500?
Kwanza unajua madhara ya kumuua mkuu wa nchi ambayo hujui ajaye atakuwa na madhara kiasi gani. We mwenyewe ulichoandika hapa hujui ni kitu gani
Kama nilikuwa nimekaa chini ya mwembe au mkungu basi Biden ameenda Ukraine utajibu mengine mwenyewe.
 
Wewe ndivyo una amini ila mm sivyo ninavyo amini tawala za ki imla na katili hazina nafasi ktk uso wa Dunia hata Mungu alimshisha Yulusifa chini ili ajulikane Yeye ni Mungu. How coma mtu mmoja anatawala Taifa kwa mkono wa chuma anauwa watu kama kuku wake bandani nenda china kwa siku wananyonga watu wangapi? Nenda Iran ukaone mauwaji ya binadam kama kuku kuchinja bandani nenda Urusi ukaone sumu inavyo Latisha Uhai wa maelfu ya watu kwa masilahi ya mtu mmoja. Ambaye mtu huyu pia anakufa why?
Ndugu, punguza mauongo, ni lini ulikua China au Russia na ukashuhudia watu wananyongwa kama kuku? Au unaongea tu, hizo ni hukumu zipo hata hapa TZ lakini hazitekelezwi kiasi kikubwa Cha kutosha bana
 
Nataka kuwambia wale mnaokula na kuota mchana kweupe ..Rais wa Urusi hawezi kamwe..Narudia kamwe hakuna nchi yeyote yenye uwezo uwe wa Kijeshi au Kijasusi kumuua Rais Putin...HAIPO WALA HAITATOKEA....Ila kwa mapenzi yake Mungu kama tulivyo sisi sote wanadamu Putin atakuja kufa siku moja na Urusi sio Burundi wameandaliwa Vijana wazuri sana ambao watachukua madaraka ya Urusi siku zijazo ambao wanaogopeka hata kulikoni huyu Putin mnaemuona na anawajambisha balaa...Narudia libarikiwe tumbo alilolala Vladimir Putin...Ametuokoa na haya mashoga majinga sana....
 
Hivi mnajua vizuri taasisi za kijasusi za Urusi au mnazisiki kwenye luninga na Radio - ntawapatia mfano mdogo - Juzi hapa Rais Biden alifanya anakuja kuitembelea Kiev kwa siri kubwa kwa kupitia Poland Kwanza halafu anasafirishwa na gari moshi usiku wa manane kutoka Poland kuja Kiev Ukraine kwa kile walicho kiita ni siri kubwa ili hisivuje kirahisi - we fikilia katika kujiamini kwote huko kwa ulizi wa Rais wa Merikani lakini Wamerikani waliona umuhimu wa kumjulisha Putin kwamba Biden atakuja Kiev kumuona Zelensky waliwafahamisha Serikali ya Urusi/Putin through diplomatic channels hata muda atakao wasili Kiev/Ukraine - sasa swali ni: mbona USA ujifanya zaidi katika masula ya kijasuzi na upelelezi sasa kwa nini walikuwa na wasi wasi kwamba Warusi watajua kinacho endelea - ndio maana Biden na walizi wake wakaona ni bora wa wambie ukweli in advance Serikali ya Urusi yaani Putin.

Wanasiasa wa ni watu wa ajabu sana - Biden anajua kilicho endelea nyuma ya pazia ili kujihakikishia usalama wake akiwa mjini Kiev baada ya kumtaarifu Putin.

Lakini mbele ya waandishi wa habari na TV cameras Biden anafanya maigizo kwa kumtunia Putin misuli kwamba atamkomesha Putin kwa kumpatia silaha na fedha Zelensky ili aweze kumshinda Putin kirahisi - would you believe it - who knows si ajabu ujio wa ghafla wa Biden ulikuwa na lengo moja nalo ni kumshauri Zelensky anze kufanya mazungumzo na Putin ili wamalize vita kwa kuwa Uwezekano wa Jeshi la Ukraine kushinda jeshi la Urusi ni mdogo sana na NATO haiwezi kujiingiza kwenye vita hii wakati Ukraine si member wa alliance - hayo ni mawazo yangu.
 
Huwa wanaanza na propaganda Kama hivi ,ili kutishia ,katka harakati za kuchukua hatua wanajua kunamahali uta miss hapohapo wanapatumia,ndicho kilichotokea hapa kwetu bongo land,Ila sio urusi mkuu.watalaam wa kuua silently & professional katka dunia hii ni russia,hata hizi sumu za lethal zinazotumika ku wa eliminate watu wazito,mfano Marais n.k ambazo huwezi kuni detect kwa kipimo chochote kile mafundi wa kuzitengeneza ni hao hao Russia. kumpiga mkwara Russia ni sawa na ujaribu kutikisa mbuyu......
Ni kweli kabisa mkuu, ndio maana Putin alisha waonya mabeberu kwamba "Urusi ni kama mti wa mbuyu wewe ndio utabaki unatingisha makalio yako lakini sio mbuyu" - Putin ana akili sana na busara - Nikisema Mungu alimleta hapa Duniani kwa lengo jema sana la kuwakomesha mabeberu kimtindo - hatatumia nguvu sana kumaliza jeuri zao na kiburi amebahatika sana kujaliwa na mega tacticts za kuwakomesha softly - mwisho wa siku hutasikia tena NATO sijui G7, IMF, WorldBank etc vitafifia taratibu baada ya Mataifa mengi kujitambua na kujiunga na multipolar World na kuachana na NWO.
 
Nataka kuwambia wale mnaokula na kuota mchana kweupe ..Rais wa Urusi hawezi kamwe..Narudia kamwe hakuna nchi yeyote yenye uwezo uwe wa Kijeshi au Kijasusi kumuua Rais Putin...HAIPO WALA HAITATOKEA....Ila kwa mapenzi yake Mungu kama tulivyo sisi sote wanadamu Putin atakuja kufa siku moja na Urusi sio Burundi wameandaliwa Vijana wazuri sana ambao watachukua madaraka ya Urusi siku zijazo ambao wanaogopeka hata kulikoni huyu Putin mnaemuona na anawajambisha balaa...Narudia libarikiwe tumbo alilolala Vladimir Putin...Ametuokoa na haya mashoga majinga sana....
.
IMG-20220916-WA0004.jpg
 
Dunia ina enda kwa kasi sana na leo nimeona nije na huu Uzi ambao uwenda ukawa kama ktk nadharia ya kusadikika ila ndicho kitakacho tokea.
Mataifa ya Dunia ya kwanza wanaona Kuna kila dalili Mrusi azipo dhibitiwa kitakacho fuwata kitakuwa nikibaya sana.

Kwa kukuona hili mataifa yenye nguvu duniani ya kiuchumi na silaha wameona ni Bora watu kadhaa wafe kwa ajili ya usalama wa Dunia kuliko acha mambo yaende kama yanavyo enda sasa.

Mataifa matatu ikiwemo Russia, China na Iran ndio kitisho cha amani ya Dunia na wasipo dhibitiwa sasa wanaweza kuleta vita ya tatu ya Dunia vita itakayo acha mataifa tajiri miji yao walio itengeneza kwa miaka mia kadhaa kuwa ktk mavumbi.

Ili kuiokoa Dunia na kitisho hicho CIA akishirikiana na mataifa rafiki wamekuwa wakifanya kazi ngumu yakuweza fanikisha mission yakuwa eliminate three head ktk hali ambayo hakuna anaweza kufikiri au kuiwaza.
Sim ya mwisho ya Rais mmoja wa bara ya Amerika kwa rafiki yake wakaribu sana Putin ndio chanzo cha siri cha vita ya kisasi inaendelea.

Kiongozi huyu alisifika sana bara Amerika akiwakosesha usingizi USA na Vyombo vyake vya ulinzi na ndipo majasusi hatari kutoka ktk kikosi sichojulikana walifanikisha kumdondosha Mwamba ila mwaba before die alimtonya rafiki wake Pete na kidole "Rafiki yangu Putin mm muda wowote ni taaga Dunia ila nataka kukuthibitishia kifo changu alie kutengeneza ni Marekani" number one down.

Putin hakuamini alicho ambiwa mpaka alipokuja shituka kwenye COVID 19.
Akiwa amesha shituka time it was not on his side. Jamaa walisha maliza kazi.
Sim ya rafiki mkubwa wa Putin na kile alikutana nacho ilimfanya Mwamba kusema kama bwai naiwe mbwai shida inakuja hawezi kutangazia umma nn jamaa wamemfanyia and why anataka kuipindua Dunia kwa kazi iliyofanywa kwa ustadi na idarazisizojulika.

Niukweli usio pingika wala kufichika Mataifa ya Dunia ya kwanza wanajuwa Rais Putin atazima muda na wakati Dunia haitoamini. Ila sasa muda wa eng kuzima na mipango ya huyu bwana imeibuka na plan B.

Plan B ni mataifa yenye nguvu kuunda most lethal unity ya watu 500 to 1000.
Hiki kikosi kitasheheni viumbe hatari kuwahi kuumbwa na Mungu. Hiki kikosi hatari kitafanya kazi independence under one command unity with full mandates to eliminate those on the list. Hii unity kazi yake ni kufa na kupona but very silence.
Pambania familia yako, kwanza umekula!?
Putin yupo sana, ataondoka kwa mipango ya Mungu tu.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Dunia ina enda kwa kasi sana na leo nimeona nije na huu Uzi ambao uwenda ukawa kama ktk nadharia ya kusadikika ila ndicho kitakacho tokea.
Mataifa ya Dunia ya kwanza wanaona Kuna kila dalili Mrusi azipo dhibitiwa kitakacho fuwata kitakuwa nikibaya sana.

Kwa kukuona hili mataifa yenye nguvu duniani ya kiuchumi na silaha wameona ni Bora watu kadhaa wafe kwa ajili ya usalama wa Dunia kuliko acha mambo yaende kama yanavyo enda sasa.

Mataifa matatu ikiwemo Russia, China na Iran ndio kitisho cha amani ya Dunia na wasipo dhibitiwa sasa wanaweza kuleta vita ya tatu ya Dunia vita itakayo acha mataifa tajiri miji yao walio itengeneza kwa miaka mia kadhaa kuwa ktk mavumbi.

Ili kuiokoa Dunia na kitisho hicho CIA akishirikiana na mataifa rafiki wamekuwa wakifanya kazi ngumu yakuweza fanikisha mission yakuwa eliminate three head ktk hali ambayo hakuna anaweza kufikiri au kuiwaza.
Sim ya mwisho ya Rais mmoja wa bara ya Amerika kwa rafiki yake wakaribu sana Putin ndio chanzo cha siri cha vita ya kisasi inaendelea.

Kiongozi huyu alisifika sana bara Amerika akiwakosesha usingizi USA na Vyombo vyake vya ulinzi na ndipo majasusi hatari kutoka ktk kikosi sichojulikana walifanikisha kumdondosha Mwamba ila mwaba before die alimtonya rafiki wake Pete na kidole "Rafiki yangu Putin mm muda wowote ni taaga Dunia ila nataka kukuthibitishia kifo changu alie kutengeneza ni Marekani" number one down.

Putin hakuamini alicho ambiwa mpaka alipokuja shituka kwenye COVID 19.
Akiwa amesha shituka time it was not on his side. Jamaa walisha maliza kazi.
Sim ya rafiki mkubwa wa Putin na kile alikutana nacho ilimfanya Mwamba kusema kama bwai naiwe mbwai shida inakuja hawezi kutangazia umma nn jamaa wamemfanyia and why anataka kuipindua Dunia kwa kazi iliyofanywa kwa ustadi na idarazisizojulika.

Niukweli usio pingika wala kufichika Mataifa ya Dunia ya kwanza wanajuwa Rais Putin atazima muda na wakati Dunia haitoamini. Ila sasa muda wa eng kuzima na mipango ya huyu bwana imeibuka na plan B.

Plan B ni mataifa yenye nguvu kuunda most lethal unity ya watu 500 to 1000.
Hiki kikosi kitasheheni viumbe hatari kuwahi kuumbwa na Mungu. Hiki kikosi hatari kitafanya kazi independence under one command unity with full mandates to eliminate those on the list. Hii unity kazi yake ni kufa na kupona but very silence.
Yaani wewe inatakiwa uvae ile t-shirt ya upinde kabisa..hamna kitu kichwani. Really brain washed 🚮

Screenshot_20220305-182945_1.jpg


Vita alizoshiriki marekani sehemu mbalimbali duniani na kusababisha maafa ya watu enzi na enzi.. hebu niambie India, China na Russia wanaingia hapo? Acha kutumika dogo kama chawa, na kukariri ujinga kama kasuku. Njoo na facts
 
Dunia ina enda kwa kasi sana na leo nimeona nije na huu Uzi ambao uwenda ukawa kama ktk nadharia ya kusadikika ila ndicho kitakacho tokea.
Mataifa ya Dunia ya kwanza wanaona Kuna kila dalili Mrusi azipo dhibitiwa kitakacho fuwata kitakuwa nikibaya sana.

Kwa kukuona hili mataifa yenye nguvu duniani ya kiuchumi na silaha wameona ni Bora watu kadhaa wafe kwa ajili ya usalama wa Dunia kuliko acha mambo yaende kama yanavyo enda sasa.

Mataifa matatu ikiwemo Russia, China na Iran ndio kitisho cha amani ya Dunia na wasipo dhibitiwa sasa wanaweza kuleta vita ya tatu ya Dunia vita itakayo acha mataifa tajiri miji yao walio itengeneza kwa miaka mia kadhaa kuwa ktk mavumbi.

Ili kuiokoa Dunia na kitisho hicho CIA akishirikiana na mataifa rafiki wamekuwa wakifanya kazi ngumu yakuweza fanikisha mission yakuwa eliminate three head ktk hali ambayo hakuna anaweza kufikiri au kuiwaza.
Sim ya mwisho ya Rais mmoja wa bara ya Amerika kwa rafiki yake wakaribu sana Putin ndio chanzo cha siri cha vita ya kisasi inaendelea.

Kiongozi huyu alisifika sana bara Amerika akiwakosesha usingizi USA na Vyombo vyake vya ulinzi na ndipo majasusi hatari kutoka ktk kikosi sichojulikana walifanikisha kumdondosha Mwamba ila mwaba before die alimtonya rafiki wake Pete na kidole "Rafiki yangu Putin mm muda wowote ni taaga Dunia ila nataka kukuthibitishia kifo changu alie kutengeneza ni Marekani" number one down.

Putin hakuamini alicho ambiwa mpaka alipokuja shituka kwenye COVID 19.
Akiwa amesha shituka time it was not on his side. Jamaa walisha maliza kazi.
Sim ya rafiki mkubwa wa Putin na kile alikutana nacho ilimfanya Mwamba kusema kama bwai naiwe mbwai shida inakuja hawezi kutangazia umma nn jamaa wamemfanyia and why anataka kuipindua Dunia kwa kazi iliyofanywa kwa ustadi na idarazisizojulika.

Niukweli usio pingika wala kufichika Mataifa ya Dunia ya kwanza wanajuwa Rais Putin atazima muda na wakati Dunia haitoamini. Ila sasa muda wa eng kuzima na mipango ya huyu bwana imeibuka na plan B.

Plan B ni mataifa yenye nguvu kuunda most lethal unity ya watu 500 to 1000.
Hiki kikosi kitasheheni viumbe hatari kuwahi kuumbwa na Mungu. Hiki kikosi hatari kitafanya kazi independence under one command unity with full mandates to eliminate those on the list. Hii unity kazi yake ni kufa na kupona but very silence.
Ila tuache utani mkuu, mbona siku hizi unaandika mada za hovyo namna hii? Nini kimekupata?
 
Aiseee vipi kikosi kazi hakijafika tu Moscow kwa Putin..ni karibia mwaka na nusu sasa??Au kiliishia Hollywood??
Msiwe mnaweka mihemko na hisia kwenye hayo mambo..everybody and everynation capability is limited...
"IF WISHES WERE HORSES BEGGARS WOULD RIDE""
 
Back
Top Bottom