Kikosi hatari cha majasusi na makomando watakaoiangusha Serikali ya Russia

Kikosi hatari cha majasusi na makomando watakaoiangusha Serikali ya Russia

Hao NATO na ulaya na Israel ni nchi zinazoongozwa na shetani ndo maana wanaruhusu mpka ndoa ya jinsia moja.upo upande wa shetani.hakuna takataka yoyote anayeweza kumgusa putin kiongozi mwenye nguvu kuliko kiongozi yoyote.
Una taarifa kuwa kutokana na takwimu za kitaifa zainzibar inaongoza kwa wafiraji na ubakaji na ushoga sheikh?
 
Dunia inaenda kwa kasi sana na leo nimeona nije na huu Uzi ambao huenda ukawa kama ktk nadharia ya kusadikika ila ndicho kitakachotokea.

Mataifa ya Dunia ya kwanza wanaona Kuna kila dalili Mrusi asipodhibitiwa kitakachofuwata kitakuwa ni kibaya sana.

Kwa kuona hili mataifa yenye nguvu duniani ya kiuchumi na silaha wameona ni Bora watu kadhaa wafe kwa ajili ya usalama wa Dunia kuliko kuacha mambo yaende kama yanavyoenda sasa.

Mataifa matatu ikiwemo Russia, China na Iran ndio kitisho cha amani ya Dunia na wasipodhibitiwa sasa wanaweza kuleta vita ya tatu ya Dunia vita itakayoacha mataifa tajiri miji yao walioitengeneza kwa miaka mia kadhaa kuwa ktk mavumbi.

Ili kuiokoa Dunia na kitisho hicho CIA akishirikiana na mataifa rafiki wamekuwa wakifanya kazi ngumu ya kuweza fanikisha mission ya kuwa-eliminate three head ktk hali ambayo hakuna anaweza kufikiri au kuiwaza.
Simu ya mwisho ya Rais mmoja wa bara ya Amerika kwa rafiki yake wa karibu sana Putin ndio chanzo cha siri cha vita ya kisasi inaendelea.

Kiongozi huyu alisifika sana bara Amerika akiwakosesha usingizi USA na Vyombo vyake vya ulinzi na ndipo majasusi hatari kutoka ktk kikosi kisichojulikana walifanikisha kumdondosha Mwamba ila mwamba before die alimtonya rafiki wake Pete na kidole "Rafiki yangu Putin mimi muda wowote nitaaga Dunia ila nataka kukuthibitishia kifo changu aliekitengeneza ni Marekani" number one down.

Putin hakuamini alichoambiwa mpaka alipokuja shituka kwenye COVID 19. Akiwa ameshashtuka time was not on his side. Jamaa walisha maliza kazi.

Simu ya rafiki mkubwa wa Putin na kile alikutana nacho ilimfanya Mwamba kusema kama bwai na iwe mbwai shida inakuja hawezi kutangazia umma nini jamaa wamemfanyia and why anataka kuipindua Dunia kwa kazi iliyofanywa kwa ustadi na idara zisizojulika.

Ni ukweli usiopingika wala kufichika Mataifa ya Dunia ya kwanza wanajua Rais Putin atazima muda na wakati Dunia haitoamini. Ila sasa muda wa eng kuzima na mipango ya huyu bwana imeibuka na plan B.

Plan B ni mataifa yenye nguvu kuunda most lethal unity ya watu 500 to 1000. Hiki kikosi kitasheheni viumbe hatari kuwahi kuumbwa na Mungu. Hiki kikosi hatari kitafanya kazi independent under one command unity with full mandates to eliminate those on the list. Hii unity kazi yake ni kufa na kupona but very silent.

View: https://m.youtube.com/watch?v=l5uSCbBKJ40
 
Nilipo andika hii article wengi hamkunielewa ila naamini at cia wanaweza hisi nanyonya taarifa zao.
 
Dunia inaenda kwa kasi sana na leo nimeona nije na huu Uzi ambao huenda ukawa kama ktk nadharia ya kusadikika ila ndicho kitakachotokea.

Mataifa ya Dunia ya kwanza wanaona Kuna kila dalili Mrusi asipodhibitiwa kitakachofuwata kitakuwa ni kibaya sana.

Kwa kuona hili mataifa yenye nguvu duniani ya kiuchumi na silaha wameona ni Bora watu kadhaa wafe kwa ajili ya usalama wa Dunia kuliko kuacha mambo yaende kama yanavyoenda sasa.

Mataifa matatu ikiwemo Russia, China na Iran ndio kitisho cha amani ya Dunia na wasipodhibitiwa sasa wanaweza kuleta vita ya tatu ya Dunia vita itakayoacha mataifa tajiri miji yao walioitengeneza kwa miaka mia kadhaa kuwa ktk mavumbi.

Ili kuiokoa Dunia na kitisho hicho CIA akishirikiana na mataifa rafiki wamekuwa wakifanya kazi ngumu ya kuweza fanikisha mission ya kuwa-eliminate three head ktk hali ambayo hakuna anaweza kufikiri au kuiwaza.
Simu ya mwisho ya Rais mmoja wa bara ya Amerika kwa rafiki yake wa karibu sana Putin ndio chanzo cha siri cha vita ya kisasi inaendelea.

Kiongozi huyu alisifika sana bara Amerika akiwakosesha usingizi USA na Vyombo vyake vya ulinzi na ndipo majasusi hatari kutoka ktk kikosi kisichojulikana walifanikisha kumdondosha Mwamba ila mwamba before die alimtonya rafiki wake Pete na kidole "Rafiki yangu Putin mimi muda wowote nitaaga Dunia ila nataka kukuthibitishia kifo changu aliekitengeneza ni Marekani" number one down.

Putin hakuamini alichoambiwa mpaka alipokuja shituka kwenye COVID 19. Akiwa ameshashtuka time was not on his side. Jamaa walisha maliza kazi.

Simu ya rafiki mkubwa wa Putin na kile alikutana nacho ilimfanya Mwamba kusema kama bwai na iwe mbwai shida inakuja hawezi kutangazia umma nini jamaa wamemfanyia and why anataka kuipindua Dunia kwa kazi iliyofanywa kwa ustadi na idara zisizojulika.

Ni ukweli usiopingika wala kufichika Mataifa ya Dunia ya kwanza wanajua Rais Putin atazima muda na wakati Dunia haitoamini. Ila sasa muda wa eng kuzima na mipango ya huyu bwana imeibuka na plan B.

Plan B ni mataifa yenye nguvu kuunda most lethal unity ya watu 500 to 1000. Hiki kikosi kitasheheni viumbe hatari kuwahi kuumbwa na Mungu. Hiki kikosi hatari kitafanya kazi independent under one command unity with full mandates to eliminate those on the list. Hii unity kazi yake ni kufa na kupona but very silent.
Ukisikia ubwege ndio huu
 
Fikiri kukubwa upate maarifa, Russia, China na Iran hazinaga ugomvi na mtu, zipo kulinda mipaka yake na kujikuza kiuchumi, America na washirika wake ndiyo chanzo Cha chokochoko ktk mataifa mengi sana, na ipo siku inakuja America itaangushwa na nchi nyingine itakayo kua imepanga mipango thabiti na nchi hiyo itaibuka kua ndiyo taifa lenye nguvu, na kama si Russia basi ni China
wengine akili zao zipo matakoni kuwaelewesha hizi mambo ni kujipotezea muda,hivi huyu mtoa mada kuna kitu anajua kuhusu hii Dunia au madi kaandika tu na yeye aonekae anajua kuandika?
 
Dunia inaenda kwa kasi sana na leo nimeona nije na huu Uzi ambao huenda ukawa kama ktk nadharia ya kusadikika ila ndicho kitakachotokea.

Mataifa ya Dunia ya kwanza wanaona Kuna kila dalili Mrusi asipodhibitiwa kitakachofuwata kitakuwa ni kibaya sana.

Kwa kuona hili mataifa yenye nguvu duniani ya kiuchumi na silaha wameona ni Bora watu kadhaa wafe kwa ajili ya usalama wa Dunia kuliko kuacha mambo yaende kama yanavyoenda sasa.

Mataifa matatu ikiwemo Russia, China na Iran ndio kitisho cha amani ya Dunia na wasipodhibitiwa sasa wanaweza kuleta vita ya tatu ya Dunia vita itakayoacha mataifa tajiri miji yao walioitengeneza kwa miaka mia kadhaa kuwa ktk mavumbi.

Ili kuiokoa Dunia na kitisho hicho CIA akishirikiana na mataifa rafiki wamekuwa wakifanya kazi ngumu ya kuweza fanikisha mission ya kuwa-eliminate three head ktk hali ambayo hakuna anaweza kufikiri au kuiwaza.
Simu ya mwisho ya Rais mmoja wa bara ya Amerika kwa rafiki yake wa karibu sana Putin ndio chanzo cha siri cha vita ya kisasi inaendelea.

Kiongozi huyu alisifika sana bara Amerika akiwakosesha usingizi USA na Vyombo vyake vya ulinzi na ndipo majasusi hatari kutoka ktk kikosi kisichojulikana walifanikisha kumdondosha Mwamba ila mwamba before die alimtonya rafiki wake Pete na kidole "Rafiki yangu Putin mimi muda wowote nitaaga Dunia ila nataka kukuthibitishia kifo changu aliekitengeneza ni Marekani" number one down.

Putin hakuamini alichoambiwa mpaka alipokuja shituka kwenye COVID 19. Akiwa ameshashtuka time was not on his side. Jamaa walisha maliza kazi.

Simu ya rafiki mkubwa wa Putin na kile alikutana nacho ilimfanya Mwamba kusema kama bwai na iwe mbwai shida inakuja hawezi kutangazia umma nini jamaa wamemfanyia and why anataka kuipindua Dunia kwa kazi iliyofanywa kwa ustadi na idara zisizojulika.

Ni ukweli usiopingika wala kufichika Mataifa ya Dunia ya kwanza wanajua Rais Putin atazima muda na wakati Dunia haitoamini. Ila sasa muda wa eng kuzima na mipango ya huyu bwana imeibuka na plan B.

Plan B ni mataifa yenye nguvu kuunda most lethal unity ya watu 500 to 1000. Hiki kikosi kitasheheni viumbe hatari kuwahi kuumbwa na Mungu. Hiki kikosi hatari kitafanya kazi independent under one command unity with full mandates to eliminate those on the list. Hii unity kazi yake ni kufa na kupona but very silent.
Russia,China na Iran hao wapo bize kuimarisha usalama na uchumi wa nchi zao kitu ambacho USA hataki,anachotaka USA awe na nguvu ya uchumi na kijeshi atawale wengine ili apate naasi ya kusambaza ushoga na ushetani mwingine duniani

hivi ukiulizwa hizo nchi zilifanya jambo gani kwa kutishia usalama wa dunia unaweza kusema hata jambo moja au mawili

na kaa ukitambua USA na wenzie atafanya yote ila hawezi kuzangusha hizo nchi kwasababu kila raia wa hizo nchi ulizotaja wapo tayari kufa kwa ajili ya mataifa yao si kama wewe mtanganyika walau unakula unashiba basi mengine kuhusu taifa lako hayakuhusu
 
Nilipo andika hii article wengi hamkunielewa ila naamini at cia wanaweza hisi nanyonya taarifa zao.
Hahaha..mzee unapuliza kile cha Arusha nini, ??Mh. Majaliwa alisema ni kikali sana....Kinakufanya uishi kwenye fantansies
 
Back
Top Bottom