Kikosi Kazi: Tanzania ianze mchakato wa kupata Katiba Mpya baada ya Uchaguzi Mkuu 2025

Kikosi kazi cha CCM, Kimekamilisha mapendekezo yake kwa kumshauri Mwenyekiti wao aachane na mambo ya KATIBA kwa sasa.
 
Hiyo 2025 itafika tu. Wasidhani iko mbali sana
 
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Kwa hiyo Professor Mkandara na wenzake hawaoni umuhimu wa katiba mpya?Sasa usomi wao mbona wanauzalilisha .
 
Nikisikiaga jina na Profesa Mkandala huwa namkumbuka Profesa Bana.😄😄

Hii title ya Uprofesa sijui ina laana gani kwa Watanzania.
 
Hao jamaa na alio watuma kuja na hayo maapendekezo ni wa....

#MaendeleoHayanaChama
 
Mambo ya ajabu kabisa, yaani CCM wanatuamulia sisi watanzania lini watupe katiba na lini wasitupe?
 

Kamati hii ipo kuhakikisha Katiba mpya inacheleweshwa hadi baada ya uchaguzi mkuu 2025.

Lengo kuu likiwa kuhakikisha rais mwanamke mzanzibari anaendelea madarakani baada ya 2025.

Bila ya kujizatiti kweli kweli hapa tutagonga mwamba tu.

Umoja wetu ndiyo hivyo tena, mwingine yeyote kwa mtu ni mtuhumiwa wa usaliti isipokuwa yeye.

Kazi kweli kweli.

Cc: Babati
 
Kweli Waaafrika si watu kamili.
Watu watabisha ila huo ndio ukweli.
Kwanini wasiseme tu kuwa katiba mpya sio kitu cha maana au ni kitu cha maana.
Sio mara mchakato ufanyike baada ya uchaguzi mkuu wa 2025.
Ni watu kamili labda ungehoji uwezo wa akili na kufikiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…