denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Anachekelea sana yeye shida yake apewe majimbo mawili matatu apate ruzuku maisha yaende.Na Zitto yupo hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anachekelea sana yeye shida yake apewe majimbo mawili matatu apate ruzuku maisha yaende.Na Zitto yupo hapo
Nchi ya hovyo sana.Mungu hajanitendea haki kunifanya Mwafrika.
Imagine Prof. na akili zake anaanzisha kamati ya kinyesi cha ng'ombe.
Ng'ombe anakunya kg 25 na kukojoa Lita 20 kwa siku. Ng'ombe huyo tumboni kuko wazi yaani ni hewa tupu?
Akishapata ubunge yeye mengine hana shida nayoAnachekelea sana yeye shida yake apate majimbo mawili matatu apate ruzuku maisha yaende.
Mmhh Rais Samia anaogopa sana kufanya maamuzi yeye kama yeye! Mara nyingi anasukumia Kamati, anajificha kwenye mgongo wa kamati
Sent using Jamii Forums mobile app
Shitholole countriesNchi ya hovyo sn
SnaShitholole countries
Na hilo ndio swali, kipi anakwepa Sasa hivi na anataka akikubali baada ya 2025? Ila mama anaogopa sana uchaguzi wa 2025Kwanini katiba mpya iwe baada ya 2025?
Hongereni Sana the state KWA zawadi ya kutuandalia wazalendo kama huyu!!naomba muwaandae wengi ili siku mkinipa ridhaa ya kuingia ikulu na kuwa Raisi nifanye nao kazi KWA manufaa ya watanzania!!!
Tumbo.Kwa hiyo Professor Mkandara na wenzake hawaoni umuhimu wa katiba mpya?Sasa usomi wao mbona wanauzalilisha .
Sizungumzii kifo mkuu!!nazungumzia kutokuwepo madarakani hata kama ukiwa BADO hai!!!sisi watz tunapendana Sana Mkuu!!!!hatuombeani mabaya!!bali mema hata kuwa nje ya ofisi KWA mstakabali wa watz ni MEMA sio laana!!Utaondoka wewe atabaki yeye
Kikosi kazi cha kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa kilichoundwa na Rais Samia Suluhu leo kinawasilisha taarifa ya yake na mapendezo kwa Rais Ikulu, Dar es Salaam.
Kikosi kazi chini ya mwenyekiti wake, Rewakaza Mkandala kimependekeza Tanzania ianze mchakato wa kupata katiba mpya baada ya uchaguzi mkuu 2025.
======
Rwekaza Mkandala: Mwisho mheshimiwa Rais ni suala la muda mrefu, mwaka 2011 Tanzania ilianza mchakato wa kutunga katiba mpya kwa kutunga sheria ya mabadiliko ya katiba namba 83 ya mwaka 2011.
Oktoba 2, 2014 Bunge maalum la katiba lilipiga kura kupitisha katiba inayopendekezwa ambayo ilipaswa kupigiwa kura ya maoni na wananchi ili kuithibitisha lakini mpaka sasa suala hilo halijafanyika.
Changamoto mheshimiwa Rais ni mbili
Pia kuna madai mchakato wa kupata katiba mpya haujakamilika, umesimama muda mrefu tangu mwaka 2014 hivyo unapaswa kukwamuliwa.
- Kuna wale ambao wanasema hakuna haja kuwa na katiba mpya kwani katiba ya sasa inaweza kufanyiwa marekebisho kukidhi mahitaji ya sasa na baadae.
- Mchakato wa kupata katiba pendekezwa haukuwa shirikishi vya kutosha kwasababu baadhi ya wajumbe wa bunge la katiba walisusia hivyo katiba hiyo kupitishwa na wajumbe waliobaki.
Pia kuna maoni katiba pendekezwa imeacha mambo ya msingi yaliyomo katika rasimu ya katiba pendekezwa.
Pia kuna suala la katiba mpya kwamba ni muhimu lakini halina haraka kwakuwa katiba ya sasa inafanya kazi vizuri.
Kuna wale wanaosema kuna mahitaji mengi ya wananchi ya maendeleo kuliko uhitaji wa katiba mpya hivyo ni vyema kutumia muda huu kujikita katika kuleta maendeleo ya wananchi.
Mwisho kuna wale wanaodai katiba mpya sio suluhisho ya kila changamoto zinazotukabili, zipo nchi zinazosemekana kuwa na katiba nzuri lakini bado kuna malalamiko kuhusu masuala kadhaa ikiwemo masuala ya uchaguzi.
Hapa suala la kufanyiwa kazi mheshimiwa Rais ni kupendekeza utaratibu wa mchakato wa kutiba mpya na muda wa kufanyiwa kazi.
Kikosi kazi kinapendekeza kwamba Tanzania ianze mchakato wa kupata katiba mpya mara baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Mapendekezo ya namna mbalimbali ya kushughulika na suala la katiba mpya baada ya uchaguzi mkuu wa 2025
Pendekezo linatokana na sababu kuu nne
- Kuna haja ya kuanisha dira kuu ya maendeleo kwa miaka ijayo itakayotoa muelekeo kwa katiba mpya.
- Kukosekana kwa muda wa kutosha kuanza kutumia katiba mpya ndani ya kalenda ya uchaguzi wa 2025
- Kuna haja ya kutoa fursa kwa marekebisho ya sheria ya uchaguzi na sheria ya vyama vya siasa.
- Kuna haja ya kutoa fursa ya kutosha kufanyia kazi masuala ya muda wa kati ikiwa ni pamoja na kuanisha dira mpya ya maendeleo.
Ni watu kamili labda ungehoji uwezo wa akili na kufikiri.Kweli Waaafrika si watu kamili.
Watu watabisha ila huo ndio ukweli.
Kwanini wasiseme tu kuwa katiba mpya sio kitu cha maana au ni kitu cha maana.
Sio mara mchakato ufanyike baada ya uchaguzi mkuu wa 2025.