Banda yupo very direct na anakaba kuliko Sakho.Hachezi mpira wa malengo, sehemu ya kutulia atoe pass yeye anawaza chenga tu, wakati mwingine anajifanya Sadio Mane kitu kinachopelekea kupoteza mpira au kutoa pass fyongo.
Mpira ni magoli siyo anakwenda anakwenda ...
Huyu jamaa hajui kukaba akipoteza mpira, akisema akabe anaenda kucheza faulo na kuigharimu timu.
Wastaafu kesho wanavuta pension!Kikosi kimejaa wastaafu hamtoboi
Huu ndo ukweli.Nimekuelewa! Ukiwa na Sakho, Chama, Ntiba na Boko hakuna hata mmoja anasaidia kukaba. Ndio maana Kibu anapewa nafasi ingawa mashabiki hawaelewi! Kibu analeta balance
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Banda anacheza mpira wa malengo, sema kocha hampi nafasi ya kucheza ila ni mchezaji ambaye anajua nini timu inataka.
HakikaKama wachezaji WA kigeni hawaiingii fisr eleven...Bora kuwatimua
😅😅😅 Nacheka kama mazuri. Ila mtani, Baleke nimemuona mechi chache sana, ila ninaona anavitu vingi kuzidi Boko. Mkitumia double strikers ya Baleke na Phiri, nyuma yao akawepo Chama, goli zinapatikana.
Kanoute lazima apate njano, Phiri ni pata potea.Wakuu,
Ili game ya kesho tushinde tunahitaji kuwatumia Banda na Phiri kuleta vitu vipya pale mbele na kuwapumzisha kwanza Baleke , Sakho na Boko. Banda ana workrate kubwa na atamsaidia sana Kapombe kuliko Sakho.
Pia kipindi cha pili ni muhimu Kibu aingie badala ya Ntiba ili intensity ya timu isipungue.
Huu ni ubashiri wa kikosi ninachoamini kinaweza kubadili matokeo.
1) Aishi Manula
2) Kapombe
3) Tshabalala
4) Onyango
5) Inonga
6) Kanoute
7) Banda
8) Mzamiru
9) Phiri
10) Chama
11) Ntibatokiza
Supersub Washambuliaji: Boko, Kibu, Sakho, Baleke
Tupe lineup yako pia unayoiaminia .... #Nguvumoja[emoji110]️
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mimi nelezwe tu Kwa nini hao wa akiba wameitwa Supersub.Wakuu,
Ili game ya kesho tushinde tunahitaji kuwatumia Banda na Phiri kuleta vitu vipya pale mbele na kuwapumzisha kwanza Baleke , Sakho na Boko. Banda ana workrate kubwa na atamsaidia sana Kapombe kuliko Sakho.
Pia kipindi cha pili ni muhimu Kibu aingie badala ya Ntiba ili intensity ya timu isipungue.
Huu ni ubashiri wa kikosi ninachoamini kinaweza kubadili matokeo.
1) Aishi Manula
2) Kapombe
3) Tshabalala
4) Onyango
5) Inonga
6) Kanoute
7) Banda
8) Mzamiru
9) Phiri
10) Chama
11) Ntibatokiza
Supersub Washambuliaji: Boko, Kibu, Sakho, Baleke
Tupe lineup yako pia unayoiaminia .... #Nguvumoja[emoji110]️
Wanajiona wako juuuuuu kama real madridHizi game mbili zimewapa confidence sana [emoji2]
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Tunazipimaje hizi kmsBanda Hana workrate.
Banda ana speed ya kukimbilia mpira driball mzuri.
Mchezaji Mwenye workrate kubwa ni MZAMIRU anakimbia sehemu kubwa ya uwanja kuliko mchezaji yoyote Tanzania.
Anakimbia Almost km 16- 17 ndani ya Dakika 90.
Tutakuwa tunapeana shule taratibu taratibu
Unavyopenda mkuu...Samahani mkuu, hapo kwenye bold. Hivi huwa ni nguvu moja au guvu moya?
Basi mkuu,ngoja niende na kauli ya tajiri, "Simba, guvu moya" 😅😅Unavyopenda mkuu...
Huu upande wa zimbwe inatakiwa awe makini sana maana kuna jamaa anaitwa Milton Karisa ana speed, skills na ni hatari.Wakuu,
Ili game ya kesho tushinde tunahitaji kuwatumia Banda na Phiri kuleta vitu vipya pale mbele na kuwapumzisha kwanza Baleke , Sakho na Boko. Banda ana workrate kubwa na atamsaidia sana Kapombe kuliko Sakho.
Pia kipindi cha pili ni muhimu Kibu aingie badala ya Ntiba ili intensity ya timu isipungue.
Huu ni ubashiri wa kikosi ninachoamini kinaweza kubadili matokeo.
1) Aishi Manula
2) Kapombe
3) Tshabalala
4) Onyango
5) Inonga
6) Kanoute
7) Banda
8) Mzamiru
9) Phiri
10) Chama
11) Ntibatokiza
Supersub Washambuliaji: Boko, Kibu, Sakho, Baleke
Tupe lineup yako pia unayoiaminia .... #Nguvumoja[emoji110]️
St Mary's kitendeMechi itachezwa KWA MKAPA HATOKI MTU Au?
Ofcoz kuna muda anacheza faulo za kijinga ambapo kuna siku zinaweza kuigarimu timu.Hachezi mpira wa malengo, sehemu ya kutulia atoe pass yeye anawaza chenga tu, wakati mwingine anajifanya Sadio Mane kitu kinachopelekea kupoteza mpira au kutoa pass fyongo.
Mpira ni magoli siyo anakwenda anakwenda ...
Huyu jamaa hajui kukaba akipoteza mpira, akisema akabe anaenda kucheza faulo na kuigharimu timu.