Kikosi kikipangwa namna hii Vipers hatoboi!

Kikosi kikipangwa namna hii Vipers hatoboi!

Wakuu,

Ili game ya kesho tushinde tunahitaji kuwatumia Banda na Phiri kuleta vitu vipya pale mbele na kuwapumzisha kwanza Baleke , Sakho na Boko. Banda ana workrate kubwa na atamsaidia sana Kapombe kuliko Sakho.

Pia kipindi cha pili ni muhimu Kibu aingie badala ya Ntiba ili intensity ya timu isipungue.

Huu ni ubashiri wa kikosi ninachoamini kinaweza kubadili matokeo.

1) Aishi Manula
2) Kapombe
3) Tshabalala
4) Onyango
5) Inonga
6) Kanoute
7) Banda
8) Mzamiru
9) Phiri
10) Chama
11) Ntibatokiza

Supersub Washambuliaji: Boko, Kibu, Sakho, Baleke

Tupe lineup yako pia unayoiaminia .... #Nguvumoja[emoji110]️
sasa kwani usiombe ukocha simba kama unajifanya unajua hivyo
 
Banda Hana workrate.
Banda ana speed ya kukimbilia mpira driball mzuri.

Mchezaji Mwenye workrate kubwa ni MZAMIRU anakimbia sehemu kubwa ya uwanja kuliko mchezaji yoyote Tanzania.
Anakimbia Almost km 16- 17 ndani ya Dakika 90.

Tutakuwa tunapeana shule taratibu taratibu
Majukumu tu, banda alipangwa kiungo game ya kirafiki na Al Hilal kule Sudan akamshangaza hata Zoran

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Jana nilibahatika kuona marudio ya Azam vs Simba pale Chamazi, Ligi Kuu msimu wa 2017/18..
Simba chini ya Omog namwona Kotei kama namba 6 halafu nawaangalia Sawadogo na Kanoute... Tuache utani Simba inahitaji Defensive Midfielder
Hapo tumefeli kabisa, Kanoute tunalazimisha tu ndio maana kila game analamba mikadi tunabaki kushikilia moyo [emoji36]

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Wakuu,

Ili game ya kesho tushinde tunahitaji kuwatumia Banda na Phiri kuleta vitu vipya pale mbele na kuwapumzisha kwanza Baleke , Sakho na Boko. Banda ana workrate kubwa na atamsaidia sana Kapombe kuliko Sakho.

Pia kipindi cha pili ni muhimu Kibu aingie badala ya Ntiba ili intensity ya timu isipungue.

Huu ni ubashiri wa kikosi ninachoamini kinaweza kubadili matokeo.

1) Aishi Manula
2) Kapombe
3) Tshabalala
4) Onyango
5) Inonga
6) Kanoute
7) Banda
8) Mzamiru
9) Phiri
10) Chama
11) Ntibatokiza

Supersub Washambuliaji: Boko, Kibu, Sakho, Baleke

Tupe lineup yako pia unayoiaminia .... #Nguvumoja[emoji110]️
Manula hawezi kukubali kutoka uwanjani bila kufungwa
 
Manula hawezi kukubali kutoka uwanjani bila kufungwa
Natamani Ben aanze lakini haongei na mabeki kama Manula. Manula ana guts za kufokea walinzi wake na pia naamini kocha wa makipa amemrekebisha makosa yake mengi hizi game tatu.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Wakuu,

Ili game ya kesho tushinde tunahitaji kuwatumia Banda na Phiri kuleta vitu vipya pale mbele na kuwapumzisha kwanza Baleke , Sakho na Boko. Banda ana workrate kubwa na atamsaidia sana Kapombe kuliko Sakho.

Pia kipindi cha pili ni muhimu Kibu aingie badala ya Ntiba ili intensity ya timu isipungue.

Huu ni ubashiri wa kikosi ninachoamini kinaweza kubadili matokeo.

1) Aishi Manula
2) Kapombe
3) Tshabalala
4) Onyango
5) Inonga
6) Kanoute
7) Banda
8) Mzamiru
9) Phiri
10) Chama
11) Ntibatokiza

Supersub Washambuliaji: Boko, Kibu, Sakho, Baleke

Tupe lineup yako pia unayoiaminia .... #Nguvumoja[emoji110]️
Kama ni muhimu iwe hivyo sidhani kama kuna haja ya kuwa na makocha ktk timu.

Hiyo kazi tuwaachie makocha
 
Natamani Ben aanze lakini haongei na mabeki kama Manula. Manula ana guts za kufokea walinzi wake na pia naamini kocha wa makipa amemrekebisha makosa yake mengi hizi game tatu.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Manula no kipa wa hivyo sana anabebwa zaidi na ushirikina ila kiuchezaji neno ni bora
 
Back
Top Bottom