Kikosi maalum cha makomando wa KDF chawasili DRC

Kikosi maalum cha makomando wa KDF chawasili DRC

Hehehe!!! Mbona hii picha inakupea minyege kihivyo, kwani vijana wa kijeshi kubeba ndoo za maji wakienda kusaidia kuzima moto, kuna nini hapo cha kufanya udindishe dushe lako.....hehehe

Hao hawatajua kama umechanjwa maana mumepoteana....kila mtu na kauli yake

2862616_IMG-20210729-WA0021.jpg

Ati!! Wanaenda kuchota maji ya nini!!!???
Wakirudi na magudulia si moto utakuwa umekula kila kitu?

Wazee wa magudulia sasa katika ubora wao.
🤣🤣🤣
2811930_images_-_2021-06-18T104843.945.jpeg
 
Ati!! Wanaenda kuchota maji ya nini!!!???
Wakirudi na magudulia si moto utakuwa umekula kila kitu?

Wazee wa magudulia sasa katika ubora wao.
🤣🤣🤣View attachment 1888182

Hehehe dayaspora wa Buza endelea kudindishia kwa nyege madogo ila hawa ndio supapawa.....
Bado haujanipa majibu ya chanjo, wewe ni masalia ya ukaidi wanaomfuata Gwajima au umetia akili?
 
Lazima tuhakikishe watu wanaishi kwa amani kwenye nchi za maziwa makuu .......

Soldiers of the Kenya Defense Forces

Soldiers of the Quick Reaction Force(QRF) at the Embakasi Garrison on Monday, August 9.
KENYA DEFENSE
The Quick Reaction Force (QRF) unit of the Kenya Defence Forces (KDF) landed in the Democratic Republic of Congo (DRC) on Monday, August 9. The soldiers are expected to operate at the Mavivi base in Beni, DRC’s eastern region.

The soldiers were deployed after President Uhuru Kenyatta and his DRC Felix Tshisekedi of DR Congo signed a deal in April - committing themselves to promote peace and security in the troubled but mineral-rich country.

The contingent will play a key role in the protection of civilians, provision of security to United Nations personnel as well as containing armed militia groups.

This is to be conducted in line with the United Nations Security Council Resolution of 2020.

Soldiers of the Kenya Defense Forces

Soldiers of the Quick Reaction Forces (QRF) boarding a UN plane leaving for the Democratic Republic of Kenya on Monday, August 9.
KENYA DEFENSE FORCES
Speaking at the Embakasi Garrison, the Commander Kenya Army, Lieutenant General Walter Koipaton affirmed the troops’ adequate preparation.

He clarified all aspects of the mission as per KDF and UN requirements. Koipaton confirmed that the forces were deployed to a mission that fell under Chapter Seven of the (United Nations) UN Security Council.


“I know you are very capable because I have seen you train during my visit at the pre-deployment training grounds and you are ready for this mission. I have no doubt that we have trained you to the standards required as you join other contingents,” assured Lieutenant General Koipaton.

Koipaton urged the troops to practise diligence in delivering their mandate and strictly observe the rules of engagement. This would enable them to remain a credible force just as their track records in previous missions exudes.

He concluded his address by asking the troops to be proper Kenyan ambassadors, to cultivate good relations with the people of the Congo and collaborate as required contingents operating in the area.

Besides socio-economic affairs, the duo deconstructed the surging cases of terrorism and violent extremism in Africa.

President Uhuru Kenyatta (Right) with President Felix Tshisekedi of the Democratic Republic of Congo at State House, Nairobi. December 10, 2019.

President Uhuru Kenyatta (Right) with President Felix Tshisekedi of the Democratic Republic of Congo at State House, Nairobi. December 10, 2019.
PSCU
The two heads of state proceeded to sign four framework cooperation agreements namely: Renewal of the Agreement of Maritime Freight Management, General Cooperation Agreement, Bilateral Security Cooperation Agreement and the Bilateral Security Agreement.
  • The latter two are the most pertinent to QRF’s peace mission since they were selected for the job on June 16.
    The Kenyan troops, led by Lieutenant Colonel Abdul Galgalo, have joined Tanzania, South Africa and Nepal to form the Force Intervention Brigade.
    Chief of Defence Forces Lieutenant General Robert Kariuki Kibochi.

    Chief of Defence Forces Lieutenant General Robert Kariuki Kibochi.
    TWITTER
Hongereni kwa kuwasaidia ndugu zetu wa DRC.
 
..Nawapongeza Kenya kwa kuamua kupeleka askari wa kulinda na kutetea amani nchini DRC.

..Inasikitisha sana kwamba wananchi wa DRC tangu wapate uhuru wamekuwa watu wa kutangatanga na kutaabika kwa kukosa amani.

..Juhudi na mchango wowote kwa ajili ya amani ya DRC ni jambo ambalo Watanzania tunapaswa kuunga mkono. DRC ni ndugu na majirani zetu.

..Pia KDF wanakwenda kuungana na vikosi vya Tanzania, Malawi, na South Africa. Wote watakuwa wakipambana chini ya mwamvuli wa FIB.

..Kwa hiyo, mafanikio ya kikosi cha nchi mojawapo, ni mafanikio kwa vikosi vyote, na mafanikio kwa DRC.
 
Kwani hii ni laana ama ni nn?...kila wakati JWTZ wako na mizigo mgongoni [emoji23][emoji23][emoji706]
images-27.jpg
images-30.jpg
 
..endeleeni kutukanana hapa JF.

..msichokijua ni kwamba ktk uwanja wa mapambano ndani ya DRC askari wa tanzania, kenya, malawi, na south africa, watakuwa kitu kimoja.
 
Hehehe dayaspora wa Buza endelea kudindishia kwa nyege madogo ila hawa ndio supapawa.....
Bado haujanipa majibu ya chanjo, wewe ni masalia ya ukaidi wanaomfuata Gwajima au umetia akili?

Sipangiwi cha kuandika wala kujibu humu, hususan kwa walala njaa kama nyie.
Wewe unaevaa miwani 24/7 ndiyo kachanje. maana your optical life has gone.
 
Sipangiwi cha kuandika wala kujibu humu, hususan kwa walala njaa kama nyie.
Wewe unaevaa miwani 24/7 ndiyo kachanje. maana your optical life has gone.

Vipi leo umevimbiwa maziwa ya mwanamke, hivi yatawafanya kuwa mazezeta, ndio maana hoja zenu hutia kinyaa.
 
Wazee wa magudulia na maboflo


Hii picha nimeona mkiitumia na nilifikiri mwishowe mtaona lakini ni kama mna kengeza, leo imebidi nionyeshe mkwa mshale mwekundu hapo nyuma, Hauoni gari za wazima moto ziko kazini na ziko na maji hapo nyuma? Licha ya hivyo bado wanajeshi (Kuna kambi ya kijeshi hapo kando ya airport) walieka mabunduki kando na kujaribu kusaidia kuzima moto kwa kutumia nguvu zao... Hawakukubali kusimama tu huko kando kando na kuangalia wazima moto na malori yao wakijaribu kudhibiti moto.... Hilo ni dhihirisho kwamba jamaa si wavivu na wako tayari kujituma wanapohitajika!
👇 Tazama wazima moshi hapo nyuma
2877145_2811930_images_-_2021-06-18T104843.945.jpeg
👇
 
apo upite halafu huseme "mtue mwanamke ndoo kichwani"!!

Yaaani hawa jamaa huaga majumbani wake zao wanaenda kazini halafu wanaenda kubebea maji wanaume wengine? 🙆‍♂️ 🙆‍♂️ 🙆‍♂️ 🙆‍♂️ 🤭 🤭 🤷‍♂️🤷‍♂️

Wazee wa magudulia na madumu.
 
apo upite halafu huseme "mtue mwanamke ndoo kichwani"!!

Yaaani hawa jamaa huaga majumbani wake zao wanaenda kazini halafu wanaenda kubebea maji wanaume wengine? 🙆‍♂️ 🙆‍♂️ 🙆‍♂️ 🙆‍♂️ 🤭 🤭 🤷‍♂️🤷‍♂️
Afadhali hao ambao wametupilia mbali heshima zao kwa nia ya kuokoa mali na maisha. Sasa hawa wenzenu ambao walibangua korosho kama kina Amina na Maimuna walikuwa wanatafuta nini, kiki au vyeo? 😀
3.-1-1024x682.jpg
 
Isijekuwa ndio mmepeleka huko wezi wengine wa mikate kama wale wa West gate.
 
Back
Top Bottom