eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Angalia kwenye background utaona malorry mawili ya kuzima moto. Usijifanye kipofu.
Sasa kama kuna malori, magudulia ya nini? Yaani unaamini moto utazimwa na maji ya magudulia kutoka huko sijui wapi!!!?