Kikosi maalum cha makomando wa KDF chawasili DRC

Angalia kwenye background utaona malorry mawili ya kuzima moto. Usijifanye kipofu.

Sasa kama kuna malori, magudulia ya nini? Yaani unaamini moto utazimwa na maji ya magudulia kutoka huko sijui wapi!!!?
 
Diaspora wa Buza hata haya ya majeshi huwa unahangaika kuchangia....hehehe!!!
Mshukuru sana Kenya na Rwanda uaknda wote huu maana wenu mumewaweka wawe wa kupasua matofali tu siku za maonyesho.
Mbona wenu wanaiba mikate tu? Al shabaab watatu tu waliikalisha kenya siku tatu au unazani habari hatuna? Mzee wa jaramandia Ahmed aliwavua nguo
 
Hivi umechanjwa au bado unaendeleza ujuha uliokua nawo kipindi cha awamu ya tano kabla taifa kujitumbukiza kwenye msiba wa kitaifa wa kujitakia....hhehehehe
Ujinga wenu huu yaani tu...
Usitutoe kwenye reli hao waiba biskut wanaenda fanya nini kongo? Au ndio wanaenda iba madini?
 
Hao wanamgambo wa KDF
Komandos wana alama zao,beret huwa za maroon hata kama wanatumika UN,wanavaa beji ya UN chini ya bega
 
Kuzima moto kirembo ivyo in short kenya haina jeshi
 
Sasa maji wanafuata kama warembo
 
Sasa maji wanafuata kama warembo
Waliofanyiwa training yoyote wanajua penye mkasa wa moto hakuna kukimbia, walk fast but never run! sasa kama wewe umevumbua technolojia ya kujua speed waliokua wakitembea nayo kutokana na picha, tuelezee, mataifa mengi yanaweza kununua hio technolojia kwa hela ndefu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…