Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,784
Huyu naskia alikula ban la maisha,kuna ukweli?Umukagame amerudi,bado massai dada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu naskia alikula ban la maisha,kuna ukweli?Umukagame amerudi,bado massai dada
Asante....Sijui mzee mwenzangu yupo wapi mpaka watu wanamuanzishia uzi ila bint umefanya jambo jema ukweli husemwa.
Duh,hivi life ban kune avatar inakaaje?vile vile banned au?(navokuuliza as if una experience[emoji23] )Huyu naskia alikula ban la maisha,kuna ukweli?
Yaani acha tu,sijui hata inakuwaje.Duh,hivi life ban kune avatar inakaaje?vile vile banned au?(navokuuliza as if una experience[emoji23] )
haha mi nipo naisoma namba... nimefichwa na kasi mpya!!! you are missed piaNa wewe ulioa nini?mbona umekuwa kimya muda mrefu?I have missed you..!!
Ukujage angalau mara moja moja bathiiihaha mi nipo naisoma namba... nimefichwa na kasi mpya!!! you are missed pia
mwenyekiti wa mabachela hawezi kutusaliti.atakuwa ameoa tiari... muda wa kukaa mmu autoe wap!!!
Umeutendea haki uzi wako kwa kuweka mrejesho hongera sana.Hatimaye karejea
SanteUmeutendea haki uzi wako kwa kuweka mrejesho hongera sana.
mwenyekiti wa mabachela hawezi kutusaliti.
Hatimaye karejea
Nguoni mwako yupo!Jamani nilizoea kumwona kikulacho huku MMU....
Ila siku hizi simuoni tena,nini kimempata????
Amekua kimya kwa muda au kahama jukwaa???
Kikulacho a mishuuu popote ulipo,michango yako nimeimiss(japo mara nyingi unaandikaga gazeti)...
Rudi buanaaaaa....
Sijui mzee mwenzangu yupo wapi mpaka watu wanamuanzishia uzi ila bint umefanya jambo jema ukweli husemwa.
Nguoni mwako yupo!
Samahani kaka nimekosa!Nilijua utakuja juu nkikosea adabu,na katik kufanya hivyo ungeonekana,hilo ndio lengo langu na sio kukusoe adabu![emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Hapana bwana mdogo....huyu pengine ni sawa na binti yangu.....
Samahani kaka nimekosa!Nilijua utakuja juu nkikosea adabu,na katik kufanya hivyo ungeonekana,hilo ndio lengo langu na sio kukusoe adabu!
Shukran kama upo salama kweli mzee mwenzangu matumbo yanatupeleka puta ila unafarijika kama hivi wapo watu wanaoukosa uwepo wako ni jambo la kheri sana.Nipo mzee mwenzangu.....si unajua tena harakati za kupigania tumbo wakati mwingine zinaweza kukuweka mbali na wapendwa wako....!!!!??
Hakuna shida bwana mdogo...
Uwe na wakati mwema...
Busara kama hizi ndio hazina na ukomavu wa JF umejibu kiungwana sana mzee mwenzangu na hiyo ndio tofauti inayotakiwa kuendelea.[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Hapana bwana mdogo....huyu pengine ni sawa na binti yangu.....