Kikulacho yuko wapi?

Pia kuna mdada alikuwa anajiita "JANE LOWASSA" sijui hata alienda wapi.

Nilikuwa napenda Sana mchango wake katika kuhamasisha watu ili wafuate nyayo za mwenyezi Mungu.
 
Nguoni mwako yupo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…