Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Wao si wanavaa mijezi yenye rangi ya CCM?wachangiwe na hao hao wanaowapromote indirectly.😀😂😂.
Kwanza rangi hiyo ni mkosi tupu.Angalia karibu timu zote zinazovaa mijezi yenye rangi hizo zimekuwa zikichakazwa vibaya.Waulize Yanga,waulize Brazil,nk.
Kwanza rangi hiyo ni mkosi tupu.Angalia karibu timu zote zinazovaa mijezi yenye rangi hizo zimekuwa zikichakazwa vibaya.Waulize Yanga,waulize Brazil,nk.