Kikundi cha washangiliaji wa Taifa stars chaomba msaada bungeni kipelekwe Misri wenyewe hawana hata senti moja!

Wao si wanavaa mijezi yenye rangi ya CCM?wachangiwe na hao hao wanaowapromote indirectly.πŸ˜€πŸ˜‚πŸ˜‚.

Kwanza rangi hiyo ni mkosi tupu.Angalia karibu timu zote zinazovaa mijezi yenye rangi hizo zimekuwa zikichakazwa vibaya.Waulize Yanga,waulize Brazil,nk.
 
Steve nyerere atakosekana hapo kweli??
 
Aisee kama kuna nchi inaongoza kwa kuchangiana basi ni Tanzania. Ila ni vizuri kusaidiana sisi kwa sisi.
Hiyo ni sawa na omba omba tu ipigwe marufuku mbona omba omba huwa wanaondolewa mitaani sasa hii nchi tunakwamba wapi kila kitu ni michango tu?
 
Hiyo ni sawa na omba omba tu ipigwe marufuku mbona omba omba huwa wanaondolewa mitaani sasa hii nchi tunakwamba wapi kila kitu ni michango tu?
Lipende taifa lako mkuu...... Zamani Chadema walikuwa wanapitisha kikapu cha sadaka kwenye mikutano yao!
 
Hivi tutaweza piga vita USHOGA kweli?...vijana wanapenda kutelemka sana...wanapenda sana kulipiwa...kama huna kitu tulia..ukipenda kupokea penda na kutoa pia..shauri yao
 
Kama nawaona hao vijana ambao hawajawahi kupanda ndege.πŸ˜€πŸ˜€
Mbona waashangiliaji wengine wao wana vigezo special?πŸ˜‚
 
Yaani nichangie hao vijana wakatalii?? Washangilie kwenye runinga kama wananchi wengine tutakavyokuwa kwenye vibanda umiza.
 
kwa jinsi vyuma vilivyokaza hata wakifika fainali ni ngumu kwa wapenzi wa mpira kwenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…