KIKUU mnachofanya sio sawa, bahasha tupu halafu mmesepa na 28,000 yangu

KIKUU mnachofanya sio sawa, bahasha tupu halafu mmesepa na 28,000 yangu

Islam005

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2008
Posts
3,354
Reaction score
3,623
Nimeagiza mzigo mdogo tu ili nipate experience ya Kikuu na niwe naagiza mara kwa mara. Matokeo yake nimeletewa bahasha yenye kibahasha kidogo ndani na haina kitu. Aliyeleta anasema yeye anafikisha vifurushi tu na hausiki kwenye kupakia au kufunga mizigo hivyo n iwasiliane na hao Kikuu. Nimewasiliana nao wanasema nirudishe mzigo ofisini halafu nisubiri refund.
Sasa nashangaa, wakosee wao halafu nirudishe mimi mzigo kwao kwa gharama zangu? Halafu majibu yao sio ya kuridhisha kabisa.
 
Ndio tatizo la kuja mjini ukubwani!!



KAZI ni kipimo cha UTU
 
Ndio tatizo la kuja mjini ukubwani!!



KAZI ni kipimo cha UTU
Acha upumbavu, sasa kuagiza kitu ukaletewa tofauti vinauhusiano gani na kuja mjini? Mbona kila siku watu wanaagiza hapo hapo KIKUU na wanaletewa mizigo yao? We ndio unaonekana mshamba wa Tandahimba. Mi nazungumzia huduma mbovu maana hata wakikosea wao they are not being responsible for that.
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂


Hawa jamaa niliagiza chupa ya chai wakaniletea chujio, washenzi sana
 
Back
Top Bottom