Jonsonjohn
JF-Expert Member
- Nov 19, 2019
- 258
- 349
Nilifungua website e-commerce bidhaa mpya na used kutoka hapa Japan bahati mbaya sikupata mteja hata moja,nikaifunga niliona gharama za kuendesha platform nikubwa sana wanunuzi wanazingua, naomba tuvumilie mambo mengine tunayataka wenyewe.AliExpress nao wana bidhaa feki nyingi sana hawana tofauti na kikuu
Ulitakiwa kupa flash kama hii,Wakuu,
Hawa jamaa nimewachoka sasa. Mara ya kwanza niliagiza mzigo mwaka jana, ilikua ni Flash ya 128 GB kwenye Limited Offer.
Cha kushangaza ilidumu kwa siku 5 tu, ikawa haifanyi kazi tena kwenye computer.
Chengine kinachoboa zaidi ni muda unaochukua mpaka kupata bidhaa yako.
Mali yako inakaa mpaka unasahau kama uliagiza mzigo.
Juzi kati hivi, kuna jamaa yangu aliagiza Projector kwa ajili ya kuonyeshea mpira, quality imekuja mbovu kabisa ukilinganisha na specification walizoweka kwenye mtandao wao.
Kuna mwengine nilimsikia eti alinunua iPhone 6 kwenye Limited Offer kwa 290, kuja kuiwasha ni fake! fake! fake! Haifai!!
Hakuna namna nyengine zaidi ya kuwakimbia tu.
Tuendelee kuingia Kariakoo, maisha yaendelee.
Tatizo marketing mkuuu.Nilifungua website e-commerce bidhaa mpya na used kutoka hapa Japan sikupata mteja hata moja nikaifunga niliona gharama za kuendesha platform nikubwa sana wanunuzi wanazingua, naomba tuvumilie mambo mengine tunayataka wenyewe.
Mkuu nimetanga kila platform kuanzia hapa JF,X,Facebook Instagram sikupata hata mtu moja wakuniunga mkono nikaachana nayo tena kwakulipia,wakati mwingine watanzania tunakwama kwakutokuinua.Tatizo marketing mkuuu.
Ulikuwa unaitangazia wapi?
Nitumie website niione,ulikuwa unatangaza kwa kulipia au kwenye magroup tu??Mkuu nimetanga kila platform kuanzia hapa JF,X,Facebook Instagram sikupata hata mtu moja wakuniunga mkono nikaachana nayo.
Nilishaifunga kitambo,kwasasa nafanya mambo mengine,niliingia mtaani nikatafuta PCs zaidi ya mia,Simu,PS na vifaa vya electronics nyingi original,nikaweka gate ways Lipa kwa simu,Bank za CRDB NMB,kwenye menu za Tig pesa M pesa,Paypsl lakini wapi,Nitumie website niione,ulikuwa unatangaza kwa kulipia au kwenye magroup tu??
Mkuu,nakueleea sana.Nilishaifunga kitambo,kwasasa nafanya mambo mengine,niliingia mtaani nikatafuta PCs zaidi ya mia,Simu,PS na vifaa vya electronics nyingi original,nikaweka gate ways Lipa kwa simu,Bank za CRDB NMB,kwenye menu za Tig pesa M pesa,Paypsl lakini wapi,
Nilitangaza kwanjia ya kulipia sio matangazo ya bure,zaidi ya miaka 2 nimekomaa wapi siku uza hata simu moja.
Gharama ya developers kwajili ya website,matangazo nikalemewe nikabwaga,kwaiyo waga napita mitandaoni nawachora tu.
Japan kuna bidhaa nyingi sana ambazo ni original zinafaa sana kwa mazingira ya kimbongo tatizo wabongo kupigana support nikipengele.
Nikweli mkuu,ili bei iwe rahisi inatakiwa volume iwe kubwa ya mzigo,nfano ukiuza vitu vipya na used kwa mwezi ukajaza container moja hata kama ni 20ft bei ni kitonga.Mkuu,nakueleea sana.
Unajua kwanza wabongo wanapenda vitu rahisi yani bei iwe ya kuokota.
Ulitakiwa ukomae zaidi ya hapo na kuona wapi zaidi uongezee nguvu,though sio rahisi kihivyo ila kupambana ni muhimu.
Kuna vitu vya kuzingatia ukiwa unanunua bidhaa Kikuu, personally nimefanya purchase zaidi ya kumi na tano na vitu vyangu vyote sijawahi kupata kasoro kabisa.Wakuu,
Hawa jamaa nimewachoka sasa. Mara ya kwanza niliagiza mzigo mwaka jana, ilikua ni Flash ya 128 GB kwenye Limited Offer.
Cha kushangaza ilidumu kwa siku 5 tu, ikawa haifanyi kazi tena kwenye computer.
Chengine kinachoboa zaidi ni muda unaochukua mpaka kupata bidhaa yako.
Mali yako inakaa mpaka unasahau kama uliagiza mzigo.
Juzi kati hivi, kuna jamaa yangu aliagiza Projector kwa ajili ya kuonyeshea mpira, quality imekuja mbovu kabisa ukilinganisha na specification walizoweka kwenye mtandao wao.
Kuna mwengine nilimsikia eti alinunua iPhone 6 kwenye Limited Offer kwa 290, kuja kuiwasha ni fake! fake! fake! Haifai!!
Hakuna namna nyengine zaidi ya kuwakimbia tu.
Tuendelee kuingia Kariakoo, maisha yaendelee.