Kikwete aamuru mitambo ya IPTL iwashwe mara moja!

Usijali Zitto, cha msingi watu wenye akili zao timamu wameona mchango wako kama ulivyoutoa na umezingatiwa kama ulivyoshauri, whether tey acknowledge it or not, thats their problem. We have already noted it in our histrory. Ndo uzuri wa kuweka vitu kwenye maandishi, yaani hawawezi kukweepa kwamba ni idea yako hata kama watasema ni wafanyabiashara wa kihindi na kichina ndo wameomba. They are this bad, they are ready to praise outsiders (investors so they call them) than one of their own, what a shame!
 

What to expect from Mafiosos? They plan in advance na huwa probability zao zimechezwa vizuri sana kiasi kwamba ukisema false inajibu true!
( Ukienda ndani sana unakuta akina Sir Andy wamo)
 
BRAVO BROTHER ZITTO
Si mara zote binadamu wanakubali ukweli wa mambo. Brother nakupa bravo kwa ushauri wako wa last week kuhusu mgao wa umeme.
Kila la heri ktk masomo. Watanzania naamini wanahitaji mawazo yako kwa nyakati zote.
 
kuna kitu mwanakijiji kadokeza in one if the threads sijui ndo hivi vinaanza kitokea.... Lets wait. Huenda mapendekezo yote ya Zitto yakatekelezwa lakini wakatwambia kiujanja ujanja ni initiative zao. Ama kwelu serekali yetu.
Watanzania lazima tukubali kuwa sera ya kukosolewa imo ndani ya chama cha Mapinduzi. Kwa kumbukumbu zangu Mwl alisema kitu kama hicho ndani ya sera za chama cha mapinduzi na mara zote nafikiri chama cha mapinduzi kimekuwa kikifuata sera hii. Lazima tukubali Rais wetu amefuata sera hii. Zitto ni Mtanzania na ushauri wake pamoja na watu wengine ambao walipendekeza kuwa mitambo iwashwe imetekelezwa kwani CCM ni chama kinachokubali kukosolewa. Na ndivyo Mwenyekiti wa chama amefanya. Hakuna kosa hapo Watanzania.
 
What?. Sasa mbona kipindi chote watu wanaumia na mgao wa umeme wao walikuwa wanavuta miguu tu, kweli bongo tambarare!.

Alikua anasubiri Zito Kabwe aseme. Ama kweli semi kama Polepole ndio mwendo, harakaharaka haina baraka n.k zimetulemaza au zinatuelezea tulivyo.
 

kwani Zitto ni waziri au mshauri wa rais? Soma mada uelewe ndo uanze kuchangia sio unakurupuka tu...yaani rais anasema ameamuru mitambo iwashwe kwa vile wafanyabiashara wameomba !! so wananchi wanavyoteseka he is not concerned au??
 

Raisi na watendaji wake ni incompetent.

Ni jambo la kawaida kuwa mitambo hata kama ni mipya lazima kuna siku itaharibika, na watu makini hata kwenye vikampuni vidogo lazima kuna reserve kwa ajili ya emergency kama hizo. Sasa kama unaendesha taasisi nyeti kama Tanesco bila kuwa na escape route tukuiteje. Halafu hiyo break down ya miezi kadhaa ni ya namna gani??

Alichofanya JK alitakiwa afanye from day one angekua ni mwenye uwezo wa kutoa maamuzi, na sio suala la sera ya kukubali kukosolewa. Kwa ujumla kazi ya uraisi ni kubwa sana kwa uwezo wake.
 

Jamani mpaka JK aseme ndio watu watekeleze kwanini wasimsaidie huyu mzee kazi jamani mpaka asemee!!!!!!!!!!!!
Kwanini watu hawajitumi Rais anamambo mengi kwanini msimsaidie hili suala dogo la umeme.
 
hili si moja ya pendekezo la Zitto la juzi? Walikuwa wapi mda wote huo? Eti mpaka raisi afanye where is ze minister?

Wewe unashangaa hili la umeme kuamuliwa na Rais? Hivi hujui kwamba hata pale beach ya Ocean Road ni majuzi tu ndio rais kahoji kwa nini watu hawaruhusiwi kupumzika pale? Ndipo pakafunguliwa!

Watanzania tumelogwa, na aliyetuloga alishakufa, kwa hiyo hakuna dawa!
 
Ameogopa kuwapa shavu washikaji zake....kuuza dowans.....kazi ipo sijui watazirudishaje pesa za watu arabuni huko
 

Hongera sana Mh. Rais kwa kutimiza wajibu wako.
Mwenyezi Mungu aendelee kukulinda, na akupe afya njema, uendelee kutuongoza.
 
Kwani Rais wetu yupo juu ya sheria? Kama IPTL na Serikali wana kesi mahakamani, Mhe Kikwete ni nani hadi aingilie uhuru wa mahakama?Jaji wa mahakama husika ndiye mwenye mamlaka ya kutangaza hivyo.
 
Hapa wanatafuta pa kutokea, wameanza IPTL, kesho utasikia DOWANS nayenyewe iwashwe! watu hawalali.

Tulishang'amua tiyari - mitambo iuzwe ghafla itaifishwe!! yetu macho . Bado nina imani na kamati nzima ya madini wanajua wanachokifanya, hawakurupuki.
 
Ngeleja must go!

In Tanzania unlike in other countries, the vocabulary of Ministers resigning does not exist even people loose their life. (eg the recent Mbagala bombs issue) and therefore why should Ngeleja be the first.
 
Bila JK kusema hakuna kinachofanyika Tanzania..!!


after how long...u dont know, after investing how much energy..u dont know....u just find it happen n badly enough u dont think far from the limit, then what can i say than HOPELESS!
 
JK alikuwa anamsubiri Ngeleja, lakini amegundua kuwa jamaa ni bomu la wakati.
ZITTO aliongea wakasema ni mambo ambayo hayapelekwi tu kijuujuu, WAFANYABIASHARA!!!! wameongea tu na JK amereact. SO IT MATTERS NI NANI KASEMA!!! Tutafika???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…