Kikwete aamuru mitambo ya IPTL iwashwe mara moja!

Kikwete aamuru mitambo ya IPTL iwashwe mara moja!

Ukweli selikali ya kikwete haijiwezi kabisa wamekaa kinafiki na kuogopana, hawajui hata wanaelekea wapi! Hakuna kitu cha maana actually kwani majanga kama haya si yanafamikza kabla hata ya kutokea, jamani hawa wanacheza shele hawana lolote nchi kwa miaka mingi hakuna suluisho la umeme ni kweli hii!!!
 
Wana JF naomba kama kuna mtu anayejua ni kiasi gani au wastani wa fedha TANESCO wanazokusanya kwa siku kutokana na mauzo ya umeme basi atufahamishe ndipo tuendelee na mjadala wa matumizi ya fedha yanayolipwa makampuni mbalimbali yanayoiuzia umeme tanesco.
 
What?. Sasa mbona kipindi chote watu wanaumia na mgao wa umeme wao walikuwa wanavuta miguu tu, kweli bongo tambarare!.

Utamuweza mzee wa nguvu mpya, ari mpya na kasi mpya? Mbio na kelele zote za kutaka uraisi kwa gharama yoyote yule zinaelekea ukingoni sasa.
 
Wana JF naomba kama kuna mtu anayejua ni kiasi gani au wastani wa fedha TANESCO wanazokusanya kwa siku kutokana na mauzo ya umeme basi atufahamishe ndipo tuendelee na mjadala wa matumizi ya fedha yanayolipwa makampuni mbalimbali yanayoiuzia umeme tanesco.

na juu ya swali lako naomba niongezee jingine, tunakatwa ile 3% tununuapo umeme, inaenda wap wakati hata huu umeme wa mijini hapa unawashinda tanesco kuumaintain? KIINI MACHO
 
Mawaziri wanahangaika sana tangu wapewe amri na bosi wao. leo hii Ngeleja amezulu mitambo ya Tegeta (mipya) na IPTL na anasema yote inaweza kuanza kuzalisha umeme by Novemba Mosi. Tegeta itazalisha MW45 na IPTL MW100, tukichanganya na zile 20 za Songas kuanzia kesho, watapata jumla ya MW 165 na hivyo kmaliza mgawo (ina case vina vya maji katika mabwawa vitabakia kama vilivyo hivi sasa au kuongezeka)
 
Ninajiquote nilichosema tarehe 15/10/2009

Ninapendekeza;

  • Serikali ihakikishe mitambo ya IPTL inawashwa mara moja wakati mazungumzo yake na IPTL yakiendelea kwa kuharakishwa (fast tracking). Hali ya nchi ni mbaya, ni sawa na vita, haiwezekani serikali yenye mamlaka ishindwe kuhakikisha IPTL inazalisha umeme wakati mazungumzo yakiendelea. Haiwezekani.Labda kama haina uchungu na maisha ya watu wake.
  • Sikutaka kusema chochote nikiamini kwamba Shirika la TANESCO, Serikali, na kwa upande wa bunge, Kamati ya masuala ya Nishati na Madini, wangeweza kutoa majibu ya tatizo linatukabili. Badala yake, juhudi nyingi zimetumika kutafuta chanzo cha tatizo na kuchelea kutoa suluhuInaumiza sana kuona kuwa tunaendekeza siasa rahisi tunaposhugulikia masuala mazito ya kitaifa kama Nishati. Inasikitisha zaidi pale tunapoona kuwa serikali inashindwa kuchukua hatua mahususi za kuhami uchumi wa Taifa letu. Serikali na Bunge hazitoi suluhisho la hali hii na ni wazi kuna kutupiana mpira wakati nchi inaumia. Serikali imewekwa madarakani ili ifanye maamuzi na tuihukumu kwa maamuzi hayo. Serikali ni lazima sasa iamue.
  • Mazingira magumu kama haya yanahitaji maamuzi magumu (extra ordinary circumstances require extra ordinary decisions). Ninaamini serikali itazingatia ushauri wangu.
Mnisamehe kwa kujiquote!

Ikulu inasema wafanyabiashara ndio wamemwomba Rais. Ni sawa tu........

ingawa umekuja hapa na kuji quote mwenyewe lakini hii IPTL ni mtego tu na wewe unalijua hili na unashiriki kuwashawishi wananchi

Part D of the Project relating to the IPTL fuel conversion from HFO
to gas has not been implemented to date.
However, TANESCO has engaged a consultant-contractor to carry out the engineering and detailed design work for the conversion of the lO x lO MW IPTL power plant to use natural gas from HFO. The engineering detailed design has been completed and successfully
tested for conversion of the Wartsila
38, lOMW units.
A detailed timeline has been drawn up. It is expected that works on conversion will begin when gas is available to allow the converted IPTL plant to operate using natural gas, which is expected after the third and fourth gas processing trains are commissioned at the Songo Songo island and the rental emergency gas fired
power plants are decommissioned at Ubungo. Current projections are that work on conversion would begin in January 2009 and IPTL units would be converted to gas firing in a phased mamier. TANESCO expects to complete
the conversion of all units by the end of 2009. This conversion will allow for significant reduction ofenergy charges for the IPlL plant (cost of HFO vs indigenous gas) and after conversion it is expected that the IPlL plant will continue to be dispatched at fairly high load factors. The payback period for this investment, at current HFO prices at 50% load factor, is expected to be less than 1 year..
link yake hii link imetolewa na mkandara kwenye post zake za nyuma

acha kujidai una washawishi wananchi na wakati haya mambo yalikuwa yanaendelea behind the scenes na wewe unajua, watu wengi wana kusupport kwa ajili hawajui hii mipango ya IPTL ilikuwa tiyari (kwa ajili wanachi wakawaida hatuwezi kupata info zinazoendelea ndani kwa ndani)
acha kushawishi watu kwa ajili wewe una info zingine ambazo watu hawana, huu ni undumilakuili.​

 
Sio pumba anayoongea Ngeleja, huenda Ngeleja ndio anaongea kweli ila bosi wake anakunjakunja maneno. Unajua mambo ya sayansi ni tofauti na siasa. Ngeleja kaenda kiwandani na kapata maelezo na kuona. Bosi anapelekewa taarifa bila kuona. Unajuaje taarifa apelekewayo ina mkao gani?

Leka
 
Hivi nini maana ya kuwa rais kuwa na wasaidizi????????

Maana kila kitu saa hivi ni JK!
Kayataka mwenyewe kwa kuunda serikali ya kishikaji, bila kuangalia kama mtu anaweza kumsaidia.
 
Jamani tusifurahie sana kwa Rais kusema mitambo ya IPTL iwashwe tuangalie madhara yake, kwanza malipo yatakayofanyika kwa mwezi ni shilling 23billioni na Mkulo kasema pesa ipo.
Sasa hapa la kujiuliza ni je? kama pesa ipo ya kulipa IPTL kwa nini serikali inashindwa kununua mitambo kama hiyo? au kwa nini serikali nisiikopeshe TANESCO inunue mitambo kama hiyo toka 2005 tulipoingia kwenye sakata la giza?
je huo ni uzalendo au ndo kuruhusu kuendelea kuikamua nchi?
tusiwe wepesi wa kushangilia maamuzi yasiyokuwa na busara
 
Serikali ya Zimamoto inayokosa mbinu,sera na mipango endelevu. Bob Marley anasema "In the abundance of water the fool is thirsty" Sikiliza wimbo wake wa RAT RACE
 
Tumeambiwa kuwa kuendesha mitambo ya IPTL kwa kutumia mafuta ina cost Tshs. 23 Billion kwa mwezi. Jee kuendesha mitambo ya Dowans ambayo inatumia gas ita cost kiasi gani kwa mwezi?

Naomba mwenye takwimu hizi anijulishe ili nijue rationale ya kuwasha mitambo ya IPTL badala ya kuwasha ile ya Dowans na kupata kiasi kile kile cha umeme kwa bei nafuu!!
 
Tumeambiwa kuwa kuendesha mitambo ya IPTL kwa kutumia mafuta ina cost Tshs. 23 Billion kwa mwezi. Jee kuendesha mitambo ya Dowans ambayo inatumia gas ita cost kiasi gani kwa mwezi?

Naomba mwenye takwimu hizi anijulishe ili nijue rationale ya kuwasha mitambo ya IPTL badala ya kuwasha ile ya Dowans na kupata kiasi kile kile cha umeme kwa bei nafuu!!

..kwa bei hiyo kwa miezi minne tuu tunaweza kununua mtambo mpya unaotumia gas kutoka GE or Rolls Royce wa 100MW,viongozi wetu ni hopeless kabisa!
 
ZITTO aliongea wakasema ni mambo ambayo hayapelekwi tu kijuujuu, WAFANYABIASHARA!!!! wameongea tu na JK amereact. SO IT MATTERS NI NANI KASEMA!!! Tutafika???


Wote ni upuuzi mtupu! Hakuna raisi anayengoja yeyote mwingine aseme, akisita kusema ili awe makini huita washauri wake na mawaziri na hata consultants kutoka nje, kupitia hata balozi wakilishi, hangojei Zitto wala mfanyabiashara yeyote. Na kama alivyokwishakuwa Kiongozi nchini muda mrefu na kushuhudia hii migawo mara kwa mara asingestahili hata chembe kungoja mgawo utokee! Na Mpuuzi kama Rashid alipotamka tu upuuzi ule angelstahili amuwajibishe na kumlisha matapishi yake. Huyo ndiyo Raisi serious! Kilichotokea sasa hivi na nkama amepigia mstari maneno ya Idris kuwa sasa mmeshaipata aliyosema Idris basi sasa tunafanya kama tulivyokwishaamua. Uelegevu gani wa iana hii Ikulu. Huyu Raisi wetu hata delegation of authority ni neno hajakutana nalo kwenye kamusi. Anafungua kila mkutano, kongamano, anasemea kila wizara mpaka microphone zimegeuka sumu sasa! akiziona nalegeeeaaa!!
 
Tumeambiwa kuwa kuendesha mitambo ya IPTL kwa kutumia mafuta ina cost Tshs. 23 Billion kwa mwezi. Jee kuendesha mitambo ya Dowans ambayo inatumia gas ita cost kiasi gani kwa mwezi?

Naomba mwenye takwimu hizi anijulishe ili nijue rationale ya kuwasha mitambo ya IPTL badala ya kuwasha ile ya Dowans na kupata kiasi kile kile cha umeme kwa bei nafuu!!

TK naona wewe ni mpiga debe wa DOWANS tokea mwanzo.
Siku mkiwasha hiyo dowans yenu mimi nitatumia solar sitaki kudhalilika
nikiwa hai.
 
thread_hot.gif
Tanesco wants Dowans' turbines
Views: 708
Posted By August
icon1.gif
Re: Tanesco wants Dowans' turbines


Nini energy policy ya tanzania? Kunua umeme wa mafungu? ku-develop hydro electric dams, kununa wa SADC, au wanyukilikia kama Msolla alivyosema juzi juzi, wa-jua, au wa upepo, kuna mwingine aliwahi...

hii post niliiulizia mwaka jana oct 2008 mpaka leo hii sii wabunge si serikali ambao wamelijibu au kuliulizia hili, watu wana subiri dharura ndio waonge, na kama Koba alivyo sema kwa gharama hiyo ya 23 millioni kwa mwezi baada ya miezi minne ni gharama ya kununua mitambo yetu, lakini watu na akili zao hawa lioni hilo na hawataki kuliona hilo , kuliwezesha shirika la tanesco hawataki, lakini kuwawezesha mafisadi na matawi yao wanaliona hilo.
Na zaidi ya Hapo waziri husika anadai serikali ina mipango yake? ipi ni siri ya nani? Mafisadi?
 
..kwa bei hiyo kwa miezi minne tuu tunaweza kununua mtambo mpya unaotumia gas kutoka GE or Rolls Royce wa 100MW,viongozi wetu ni hopeless kabisa!

Jamani tusichanganye capital costs na operating costs. Hata ikinunuliwa hiyo mitambo ya gas operating costs zitakuwa pale pale. Hapa la kilinganishwa ni tofauti katika operating costs na ndio maana nikauliza suali na mpaka sasa sijapata mtu wa kunijibu.
 
TK naona wewe ni mpiga debe wa DOWANS tokea mwanzo.
Siku mkiwasha hiyo dowans yenu mimi nitatumia solar sitaki kudhalilika
nikiwa hai.

Jamani mimi nataka kuelimika tu. Hata hilo nalo ni kosa? Nilikwisa declare tangu mwanzo kuwa mimi ni mlalahoi wa kawaida hata huyo mwenye Dowans simjui. Amini usiamini kama kuna mtu aliyeathirika na mgao hakuna zaidi yangu. Solar mchana mshumaa usiku..
 
Jamani tusichanganye capital costs na operating costs. Hata ikinunuliwa hiyo mitambo ya gas operating costs zitakuwa pale pale. Hapa la kilinganishwa ni tofauti katika operating costs na ndio maana nikauliza suali na mpaka sasa sijapata mtu wa kunijibu.

...acha spin wewe,wote tumesoma tunaelewa mambo yanavyokwenda na hakuna mtu kasema operating cost zitakuwa zero!
 
Kama mabilioni yote haya yatateketea kwa ajili ya kuwasha majenereta ya IPTL, je bei ya umeme (iliyo juu tayari) kwa sisi watumiaji itabaki pale pale?
 
...acha spin wewe,wote tumesoma tunaelewa mambo yanavyokwenda na hakuna mtu kasema operating cost zitakuwa zero!

Kama umesoma vizuri ni vipi unachanganya maembe na machungwa?
 
Back
Top Bottom