hawa hata hawaapi kabisa ila wanaimba bongo flavours..............kuapa si mchezo wanajamii...........uwe umeshika kitabu kitakatifu then uende against it basi ndio kaburi lao..........na ilivyokuwa wao si wakweli wataapia na hiyo katiba yao feki na pengine ile si katiba ila ni kitabu cha hadithi za alif lela ulela.