Wadau heshima mbele. Kamati kuu ya ccm imemaliza kikao muda si mrefu usiku huu chini ya uenyekiti wa Dr. Kikwete, ambapo pamoja na mambo mengine mkuu wa kaya amehimiza msimamo wa chama wa matumizi ya Kura ya wazi wakati wote wa maamuzi ya bunge la katiba.