Kikwete afanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri - Aprili 2012

Kikwete afanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri - Aprili 2012

Ile thread aliyoleta hapa JF ili kujikomba kwa JK na kujisafisha mbele ya system kuhusiana na sakata la kule bungeni ndio imemponza. Hajui kuwa system yenyewe huwa inatumia JF kama thermometor ya maswala mengi ya kisiasa nchini. Kwa jinsi alivyokilaza wa siasa alijua ndio anajisafisha kumbe ndio anajipaka matope, wenzake walikaa kimya kiherehere chake kimemponza. Ndio matatizo ya kudandia profession msizozijua, wala hata hajui nani alimtuma Zitto kupush ile motion ndani ya bunge
 
Labda atatangazwa kesho kwenye marudio

Ha ha,ha..tusubiri kesho..,CCM namkubali tu Deofilikunjombe hana unafiki kama huyu daktari mwenye jina la bandia,ni mnafiki kwa sababu hata kwenye mgomo wa madaktari baadae aligeuka,,,hafai huyu hata kuwa balozi wa nyumba kumi,wananzega wamechemka
 
Kuna jamaa katukana muda si mrefu hapo juu nilitaka kumpa like lakini post yake sioni tena au ndio ameshakula ban?
 
Kikubwa nitakachoki-miss ni Sauti yake ya ukali na Jazba mara anapojibu hoja za Wabunge.

Kwaheri Agrrey Mwanri.
 
anapenda sifa kinoma,anawakoromea watendaji wake kama watoto wake.afadhari kasepeshwa..
 
Huyu jamaa hawezi kushindana na deo filikunjombe hata siku moja mtu mwenyewe anatumia majina ya kufoji
 
Baada ya muda hatimaye baraza limetangazwa,nakupa pole Kigwangala kwa sababu umezoea huruma mfano jinsi ulivyopata ubunge,pia siku za hivi karibuni umekua mnafiki kwa kutosaini karatasi za Zitto ukitegemea huruma ya kuwekwa baraza la mawaziri...pole sana ila acha unafiki

jamaa ni mwoga alafu mnafiki mtu wa kujikomba
 
Nilikuwa naongea na walimu wawili mimi na wao kwa pamoja tulikuwa tunalalamikia hali mbovu ya kiutawala na wakasema hali ni mbaya hata capitation imekuwa historia,tukakoment wajiuzulu hawa waliosababisha ubadhilifu.
Kabla hatujafunga mjadala mmoja akamuuliza mwenzake '' eti mwalimu hivi leo ukiletewa milioni 3 utazifanyaje ? JIBU rahisi likawa moja kama si 1 1/2. Shule ipate milioni 1. Naye akasema kumbe una akili hata mie silazi damu. Nilipoulizwa maoni yangu nilkuwa na ganzi kwani wenzangu tulioungana kuwashambulia wezi kumbe nao wanamtafuta mtu wa kuteka? TUTIMIZE wajibu wetu ndipo tutawakamata hao. Kama nawe unaiba usiseme nimeiba kidogo katubu uache.
 
Baada ya muda hatimaye baraza limetangazwa,nakupa pole Kigwangala kwa sababu umezoea huruma mfano jinsi ulivyopata ubunge,pia siku za hivi karibuni umekua mnafiki kwa kutosaini karatasi za Zitto ukitegemea huruma ya kuwekwa baraza la mawaziri...pole sana ila acha unafiki
Sema pole pole, nasikia jamaa alishafanya na kisomo kabisa kwao kumpongeza kwa kuukwaa Uwaziri! Jamaa asipokunywa sumu mwaka huu, hatakaa anywe!
 
Mwanri anaendelea na wadhifa wake kama Naibu waziri TAMISEMI. Ila kwa sasa atakuwa chini ya Hawa Ghasia! (Mwanri chini ya Hawa Ghasia) kweli dunia imejaa vituko!
 
Mwanri: A calf who has never grown up to become a bull. Nani atamuachia zizi alimiliki?
 
ndugu wana Jamii,

Naomba ufafanuzi wa kikatiba, Je mbunge mteule anaweza kuteuliwa kuwa Waziri kabla hajala kiapo cha kuwa mbunge rasmi wa Jamhuri wa muungano wa Tanzania? kwa maana katiba yetu ya sasa inataka mawaziri wote watokane miongoni mwa wabunge, Je mbunge ambaye hajala kiapo bungeni ana sifa za kuwa waziri?

Naomba msaada hapo kwa watalaamu wa mambo ya sheria na katiba!
 
Back
Top Bottom