Kikwete afanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri - Aprili 2012

What are you saying?Agrey mwanri is still there.hi is a good man.
 
Wee vipi??????????????? Hili jembe limesepeshwje? Lipo linadunda labda kama wewe mwenyewe ndo umesepeshwa. M,wanry yupo ndani ya baraza au umesoma na kusikiliza between the line?
 

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
Ndugu Emmanuel Nchimbi, Mb.,


Huyu mheshimiwa tangu nimeanza kusikia jina lake sijawahi kusikia kitu alichofanya, labda kubadilishwa wizara kila baada ya siku chache tu!
 
Ni kweli uachosema hila naamini kumfumania mkeo hakumaanishi ulipomchagua ulikuwa mjinga na kumaanisha mjinga.Jiulize kwenu nyote mnafana? Kipindi chako chote wakati unasoma hukutumia vibaya mali za familia? au ya kwetu tunayasahau?
Kila mmoja wetu aweke kioo ndani ya roho yake ajiangalie ktk ngazi aliyo nayo ni msafi kiasi gani alfu peleka shmbulio kwao. Kama unatamani kupata kazi nzuri siyo ili upate nafasi ya kuiba kama wengine na si kutumika jisafishe. Waache wajaribu mbovu ni mbovu hata umtoe ccm umweke chadema atabaki mbovu. Naamini ktk mtu na si watu.Matusi hayatojenga taifa tufanye supportive and constructive ideas. NI MAONI YANGU SIIJUI SIASA MI NI MWANASAYANSI. Kama uongo uanasiasa sifa yake ni uongo. Nawachukia nyie wanasiasa na wanasheria mnageuza + iwe-
 
Hahaha...kweli Mwanzisha uzi amekurupuka. Nimemsikiliza JK Mwanzo mwisho sikulisikia jina la mwanri. Kama kweli yupo kesho nitakwenda kwa daktari wa Masikio.
 
mwanri anaendelea na wadhifa wake kama naibu waziri tamisemi. Ila kwa sasa atakuwa chini ya hawa ghasia! (mwanri chini ya hawa ghasia) kweli dunia imejaa vituko!

kwakweli hiki ni kituko.
 
Hivi mwari anakuwaje chini ya hawa ghasia!!
Kwani hata wakati akiwa na mkuchika alikuwa anamfunika! Jk ana vituko! Unamwonea sana huyu mama ana nini mbona Jk anambeba sana?
 
Wa$iojua wanachonga $ana,si tunaojua tumetulia tuli-said bagaile
 
Hahaha...kweli Mwanzisha uzi amekurupuka. Nimemsikiliza JK Mwanzo mwisho sikulisikia jina la mwanri. Kama kweli yupo kesho nitakwenda kwa daktari wa Masikio.

Kama ulisikiliza kwa makini na hukusikia inabidi uanze kujiandaa sasa hivi kwenda kwa daktari!!!!
 
Mwanri anaendelea na wadhifa wake kama Naibu waziri TAMISEMI. Ila kwa sasa atakuwa chini ya Hawa Ghasia! (Mwanri chini ya Hawa Ghasia) kweli dunia imejaa vituko!

Mimi nilidhani Angalau angepewa uwaziri kamili Huyu jamaa...kumbe bado hajapata admiration ya JK .....inabidi aendelee kupiga kelele zake chini ya Hawa Ghasia
 
Mimi nilidhani Angalau angepewa uwaziri kamili Huyu jamaa...kumbe bado hajapata admiration ya JK .....inabidi aendelee kupiga kelele zake chini ya Hawa Ghasia

I can imagine bajaj kutangulia mbele ya Rav 4 tena kwenye single lane. Siasa kweli si hasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…