Mwanri anaendelea na wadhifa wake kama Naibu waziri TAMISEMI. Ila kwa sasa atakuwa chini ya Hawa Ghasia! (Mwanri chini ya Hawa Ghasia) kweli dunia imejaa vituko!
Mimi nashindwa kuelewa kabisa serikali ya JK.
Wizara ya maana kama TAMISEMI anapewa Hawa Ghasia?
Wonders shall never end....
Namshauri Zito asiendele kujishikamanisha na hawa wanafiki akina Kigwangala na Makamba watu walimwambia aache kukaribiana nao yeye akadai hao ni wapiganaji walioweka maslahi ya vijana na taifa mbele lakini ndiyo wa kwanza kuisariti na pia kuipinga hoja yake ambayo ingeleta ukombozi halisi
Nipo serious bwana!naomba unijibu mana kuna wakati nikifikilia sana
kuhusu yeye huwa machozi yananitoka!
wanaachwa watu zaidi yake kiutendaji,kwa nini tunafanyiwa ivyo?kwa
maslai ya nani hsa jamani?inatia uchungu sana.
Mungu tusaidie.
wazuri sana wakukosoa mlio wengi hata kuratibu mambo yenu binafsi huwa hamuwezi,punguzeni siasa wa tz fanyeni kazi!
Mkubwa unanichekesha!! Kaunda baraza ZURI KABISA!!.... La watu ambao WENGI HUWAJUI!!! Kama huwajui, uzuri wa hilo baraza umeujuaje?? Acha utorozobi!!!
Hili ndilo baraza lililokuwa linasukwa kwa week mbili? Unampaje unaibu waziri wa nishati na madini Steven Masele na kumuacha geologist Dr Peter Kafumu? Na Mwandosya afya yake inaendeleaje maana naona yumo kwa mtindo wa kizamani wa wizara isiyokuwa na kazi maalum?
Ukweli hili baraza litaharakisha kifo cha CCM. Limejaa wapambe na marafiki! Ni watu wachache sana watakaofanya kazi. Kwa mbunge yoyote wa CCM anayetamani kurudi bungeni 2015 basi aanze kufanya tararibu zingine. Hakuna namna, CCM itapata shida.
Pia, naomba ufafanuzi. Dr Hussein Mwinyi ni mbunge toka Zanzibar, sasa anasimamiaje wizara ya Afya ambayo sio ya muungano?
January Makamba a.k.a mathread aligushi na kuiba mtihani wa Form 4 pale Galanos. Rungu la necta likamuangukia lakini leo hii anatuongozea science na teknolojia. Hii nchi usanii mtupu na ninaamini kuwa hili baraza ni mpango wa Mungu kuiua kabisa ccm
Kazi ya Chadema!