Kikwete alivyoondoka Monduli chuo cha Jeshi kwa misukosuko

acha uongo
 
Mkwere ndivyo alivyo fatilia anavyomshughulikia Mar Prof Kighoma Malima!
Hili huwezi kusikia ndugu zetu wanalisema. Na huwezi kusikia nani alimchafua salim Ahmed Salim wakati wanagombea. Kuna wakati mambo yanasambaratika sababu ya misingi iliyotumika kuyajenga.
Bado muda hujamaliza kutupa yale tunayopaswa kuyaona. Kimsingi hakuna anayeishi milele. Ipo siku wana mtandao watatuhadithia kinagaubaga nini kilikuwa nini
 

Kwahiyo hakukuwa na mazingaombwe?
 
Duh!
 
Uzalendo gani kama priority ya uongozi ni kuwanufaisha familia, jamaa na marafiki zako? Huo sio uzalendo. Uongozi unakuwa ni project binafsi ya kuendeleza mambo yasiyo na tija kwa umma wote wa watanzania
Ila ukiangalia vizuri, hakuna ubaya kwa kundi fulani kuwa lenyewe ndilo liwe linatoa viongozi, hasa hawa wakuu wa nchi na viongozi wenye maamuzi...

Kama uongozi huo ungekuwa kama unga ngano ambapo kila aendae dukani anaweza nunua.... Basi kungekuwa na nguvu kubwa zaidi ya kuhangaikia uongozi, na hatimaye ingeleta vurugu zaidi...

So kina Kikwete wala hawakosei, karibu duniani kote mambo yapo hivyo kwenye siasa na uongozi

Kikubwa ni kwamba hili kundi la wachache wanaojirithisha uongozi, linatakiwa liwe na nidhamu na uongozi huo...
 
Noma sana
 

Ungejisikiaje kama Nyerere angeachia madaraka kwa mmoja wa watoto wake? Tuache masihala...uongozi ni kipaji na anayetoa ni Mwenyezi Mungu. Hii ya kulazimisha tuendelee kuongozwea na kundi fulani, hata kama lina watu wasio na uwezo ni kujitafutia bahati mbaya.
Hatutafuti maendeleo ya wote. Tunataka neema binafsi
 
Hata kama leo hii mbowe na wenzake wapate huo uongozi, yanakuwa yaleyale... Ataongoza yeye na genge lake... Na kutakuwa na kurithishana kwa ndugu na marafiki
 
huo mkasa ni kweli ila hakutoka kama ulivyoeleza .. bali mwalimu alituma jasusi mmoja pale monduli kwenda kufatilia mkasa ule na kuchunguza.. riport ilipofika ofisini kwa mwalimu ile ripoti haikukidhi mataraijo ya mwalimu kwa ilikuwa hafifu na duni kwa mwalimu kuchukua hatua...
mwalimu akaamua kutuma jasusi mwingine kwenda monduli na kukaa kwa zaid ya miezi miwili.. na jasusi huyu si mwingine bali Benard Kamilius Membe.. akaenda pale akachunguzaa weee...na katika uchunguzi wake huo alimuhoji pia kikwete (huo nduo mwanzo wa jk kufahamiana na membe).... taarifa iliyorudi kwa mwl ikawa imekidhi matarajio maana moja ya vitu alivyopendekeza membe ni kulitenga jeshi na mambo ya siasa..na hapo ndipo kikwete akaondolewa monduli na kupelekwa kuwa katibu wa chama huko kusini......
 
Hata kama leo hii mbowe na wenzake wapate huo uongozi, yanakuwa yaleyale... Ataongoza yeye na genge lake... Na kutakuwa na kurithishana kwa ndugu na marafiki
Kivip? Sio wote wana akili ndogo..wengine wana akili zinawatosha. Tena wako ndani ya Chama Dola
 
Aisee hii noma sana.Ila sishangai watu wa pwani ni wanafiki halafu wana roho mbaya Sana.
 
Dahh
 
Well said
 
Shida ni unafiki wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…