Kikwete alivyoondoka Monduli chuo cha Jeshi kwa misukosuko

Kikwete alivyoondoka Monduli chuo cha Jeshi kwa misukosuko

acha uongo mimi nilikuwa london wakati huo,malima alikufa kwa kuuawa nyumbani kwake akiwa na mkewe mdogo bi mayasa na wakati huo,huyu adam alikuwa anasoma london,na alikuwa katoka kwa balozi wa tanzania aliyekuwa uingereza ambako alikaribishwa kula,alirudi kwake,ana nyumba yake london,akawa anapika prawns,wakala na mayasa wakalala,baada ya muda,alianza kukoroma sana,ndipo mkewe akampigia simu adam mwanae,ambae alinipigia mimi tukaenda hadi hapo,adam akampigia balozi wa tanzania,ambae ndio alipiga simu polisi ambao walikuja na daktari kumpima,kumbe jamaa alishajifia muda mrefu sana,alipelekwa kufanyiwa uchunguzi ambao adam anajua kila kitu,na adamu ndio alichukua briefcase ya malima ambayo ilikuwa ina siri za viongozi wengi wa nchi ambao malima alitaka kuwalipua ndio nchi ikamuwahi,uliza watu vizuri wanaomjua malima watakwambia jamaa alikuwa mwaminifu sana,tofauti na uongo mwinginunaosambazwa dhidi yake
Siri mtazitoa tu,pole pole.
 
Acheni kumsema na kumsakama kikwete, kwani lowasa hakua na mapungufu!
 
Acheni kumsema na kumsakama kikwete, kwani lowasa hakua na mapungufu!
Ya Lowassa na ya Kikwete yote ni mapungufu,ila ya Kikwete yamezidi.Na wewe ukitaka weka ya Lowassa,sisi tumeamua kuanika ya Kikwete,ametendea Watanzania mabaya mengi sana.
 
Nasikia kipindi hiko ndiko alikutana na mbobezi Camilius Membe .Membe akiwa kitengo
 
Ya Lowassa na ya Kikwete yote ni mapungufu,ila ya Kikwete yamezidi.Na wewe ukitaka weka ya Lowassa,sisi tumeamua kuanika ya Kikwete,ametendea Watanzania mabaya mengi sana.

Sasa hata ukimsema unapata faida gani zaidi ya kuchuma dhambi! Au hujui nini maana ya dhambi!
 
Du! Hii ni kali!

Ingekuwa ni sasa tungepata hiyo barua ikawa scanned na kuwekwa hapa!

Usikute Mkapa alipokuwa anasemea "wivu wa kike" alikuwa kiaina anamng'ong'a jamaa!

Kumbe hakuondoka kwa mema Monduli huyu!...nitafuatilia kisa hiki maana kuna wazee waliokuwa naye enzi hizo Monduli!
Ulifikia wapi mzee
 
Hapo mnafiki alikua ni nyerere mzee alikua anapenda fitna na kwa scenario hiyo hakua na busara hata kidogo
 
Ungejisikiaje kama Nyerere angeachia madaraka kwa mmoja wa watoto wake? Tuache masihala...uongozi ni kipaji na anayetoa ni Mwenyezi Mungu. Hii ya kulazimisha tuendelee kuongozwea na kundi fulani, hata kama lina watu wasio na uwezo ni kujitafutia bahati mbaya.
Hatutafuti maendeleo ya wote. Tunataka neema binafsi
Point taken,though not well presented.Mkataba wa Mwitongo comes into my mind.Ni mkataba wa dhuluma na evil sana.Ni watu waovu tu wanaoweza kufikiria kimwitongo.

 
hearsay and gossip. fotokopi monduli miaka ya 70 wadanganyika bana!
Mpaka miaka ya 80 hadi 90, kuna maeneo mengi tu ya nchi walikuwa na hizo photocopy za manual. Na ynatoa photocopy vyema kabisa, wakitumia stencils
 
Back
Top Bottom