Lady N
JF-Expert Member
- Nov 1, 2009
- 1,914
- 132
yesSisi (chadema) wametupa mwaliko? Ipo live TBC1?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yesSisi (chadema) wametupa mwaliko? Ipo live TBC1?
KwaniMbasha anaimba nyimbo hizi za kidunia, ama ndio yale ya Kikwete chaguo la Mungu, asante Invisible, endelea kutujuza hayo yanayoendelea kwenye mkutano huo wa mabaka uchumi.
Wanafunzi wa vyuo vikuu wanaimba "CCM kiboko yao, na wapinzani wanajua". Wanasisitiza CUF wanajua...! Hahaha na TLP wanajua! Aibu kwa Mrema na Lipumba....
Inaelekea JK anafurahishwa sana na wimbo wa wanafunzi wa vyuo! Anatabasamu saaana
Utenzi kutoka Zanzibar umeisha - Wajumbe wengi walienda Kutuza!
"Komandoo" Dr. Salim ndiye mjumbe pekee katika "high-Table" ambaye hajaweza kutabasamu mpaka wakati huu - he seems so depressed!
Chiligati ametambulisha "so and so": Mama Maria Nyerere na Mama Karume e.t.c na anaendelea kutambulisha wageni "so and so" kutoka Vyama vya siasa vya nje ya nchi : Angola (imebidi arudie kutambulisha kwa Kiingereza - maana hawa wajumbe walibaki wameduwaa), Mozambique (FRELIMO) wanafuata (bla blah zinafuata), then Botswana...
Masikini weeee... Mrema anapita mbele kusalimiana na JK na wanamcheka huku wakidai alihama CCM kwenda kuimarisha demokrasia ya upinzani (inahitaji akili ndogo kuelewa maanake)...
Lipumba nae anaenda kusalimiana na JK huku akitabasamu kwa nguuuvu!