Matakwa ya Katiba
Madaraka ya Rais ya kumsamehe mtu yeyote aliyepatikana na hatia, yamo katika Ibara ya 15 (1) (c) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 kama ilivyofanyiwa marejeo mwaka 2005.
Nadhani watu wanataka kuona busara inatumika wakati mamlaka haya ya rais yanapotumika. Kwa maoni yangu naona Rais kupunguza adhabu ya kifo hadi miaka 2, ni kuwa kashauriwa kuwa wale ni kivuli cha " WAUAJI" na kuwanyonga ni kuwaonea anayetakiwa kunyongwa ni serikali! Hivi kama kweli wale watu waliua kwa makusudi, Rais anatumia busara gani kuwaonea huruma ya kupunguza adhabu ya kifo hadi miaka 2? Bwana KAUMZA, issue si kuwa mamlaka ya kikatiba, issue ni busara gani unaitumia ku exercise prerogative mercy