Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Hata hiyo hukumu yao ilikuwa kutuzuga tu wale walikuwa wamepata hifadhi tu kwani walikuwa wanatekeleza amri ya wakubwa. Yule Mmeto toka Msumbiji ana mkono katika mauji ya Gen. Kombe.
Ni vizuri ukatuwekea kifungu hicho cha katiba ambacho kinampa Rais madaraka ya kutengua hukumu za mahakama. Hivi kama anaweza kutengua hukumu za mahakama, je uhuru wa mahakama upo wapi? Je, kweli huu ni muhimili wa tatu wa dola au ni mkono wa dola? Si ajabu JK analipiza kisasi kwa marehemu Kombe baada ya kugongana huko jeshini enzi zile!!!!!!!!
Wenyewe hawasikii,madaraka matamu.Ccm na Mkapa wanadaiwa Damu ya Kombe.
Nimekuwa nikipitia magazeti ya leo nikakutana na habari kuwa wale askari wawili waliohukumiwa kifo na mahakama kwa kosa la kumuua Kombe wameachiwa huru baada ya huruma ya rais Kikwete kubatilisha hukumu hiyo kuwa miaka miwili,nikajiuliuza kwa nn rais asiitumie huruma hii Babu Seya na wanae?.Kuna nn kwenye hukumu hii ya babu Seya?.Watu waliwahi kusema kuwa kuna mkono wa fulani hapa,msitake niamini hivyo.Na hii ya Kombe nayo!.
Kikwete elewa kuwa Mkapa alihusika na hao askari walikuwa wanatekeleza amri ya Mpaka na pia Mrema wa Tlp anajua kila kitu.ELEWENI ATAKAYE UA KWA UPANGA ATAUAWA KWA UPANGA.
Soma ibara ya 15 (1) (c) madaraka ya rais kwenye misamaha ya wafungwa...president amnesty.
Nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri. Si kila kitu ni siasa, mengine ni sheria zaidi. Ni bora usichangie kuliko kuchangia pumba. Hapa mzembe si Jk bali ni wewe nngu007. Katiba inampa uwezo rais kufuta au kupunguza adhabu yoyote. Rudi darasani!!!
You idiot allow free opinions here! One has the right to ask the situation and feelings of the relatives of the diseased. spare of your stupidity pro JK syndrome. The man was killed near my own home with eye witness when he raised his hands up as a sign of peace! damn it the sent bandits pumped some 4 bullets into his chest.
Soma ibara ya 15 (1) (c) madaraka ya rais kwenye misamaha ya wafungwa...president amnesty.
Rais Jakaya Kikwete amewaachia huru askari polisi wawili Koplo Juma Mswa na Konstebo Mataba Matiku waliokuwa wamehukumiwa adhabu ya kifo mwaka 1998 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua kwa makusudi Mkurugenzi wa zamani wa Usalama wa Taifa, Luteni Jenerali Imran Kombe. Wamekuwa gerezani takriban kwa miaka 16, wamechiwa huru kwa huruma ya Rais ambaye alipunguza adhabu hiyo ya kifo, kuwa kifungo cha miaka miwili jela.
Kombe aliuawa kwa kupigwa risasi nne kifuani Juni 30, 1996 baada ya polisi waliokuwa wakisaka gari aina ya Nissan Patrol mali ya W. Ladwa, kumfananisha na mtuhumiwa sugu wa wizi wa magari.
::Mwananchi::
Nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri. Si kila kitu ni siasa, mengine ni sheria zaidi. Ni bora usichangie kuliko kuchangia pumba. Hapa mzembe si Jk bali ni wewe nngu007. Katiba inampa uwezo rais kufuta au kupunguza adhabu yoyote. Rudi darasani!!!