JAMHURI
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 449
- 60
Katika Sehemu ya hutuba ya Rais Kikwete akizungumza Dar anasema hati ya Muungano ipo,ni sahihi,Nyerere alipostaafu alimwachia Mwinyi, Mwinyi akampa Mkapa, mkapa akampa Kikwenye ambayo bado anaihifadhi na alionyesha kupitia mtumishi wake Ikulu
Anasema ukisema Nyerere sahihi sawa Karume kaguzi sio kweli ilifanyika Ikulu Kamboa alishuhudia lakini ndio hivyo tunapata uchungu ila tuyaache alisema Kikwete
Alisema Karume alithubutu Mpaka Zanziba ikapata uhuru tuwaheshimu viongozi wetu Nyerere na Karume katu wasielekezewe vijembe alisema Kikwete
Alijiuliza hivi hawa nanafanya kwa maslahi yao ama kwa taifa nawashauri warejee Bungeni lakini waajumbe wa pande zote hata wale wa kwetu waache matusi
Ukiwauliza wanasema wanatukasirisha, tumieni mfumo mliojiwekea acheni ushindana shirikianeni mpate katiba muwasaidie watanzania
Akasisitiza njia mbadala ni maridhiano jengeni hoja na kuwa umahiri wa kuwavutia upande mwingine wawe pamoja ila bado naamini katiba inaweza kupatikana
Jambo kubwa linaloweza kufanya muungano udumu ni jinsi unavyonufaisha watu kama ungekuwa haufai ungekwisha kufa siku nyingi ilisema sehemu ta Hutuba ya Rais Kikwete Jijini Dar
Kuhusu mafanikio Kikwete anasema barabara za lami zimejengwa Reli zimejengwa na kuimarishwa viwanja vya ndege vimejengwa na kuimarishwa uwanja wa mpira ZANZIBAR nao unaimarishwa Sehemu ya kurushia simu maendeleo ya simu usiseme watanzania mil 27 wanasimu alisisitiza Kikwete
Bomba la gezi limakamilishwa kuondoa adha ya umeme mambo yanakwenda vizuri kwahito watanzania msihofu mambo yanakwenda vizuri tumefuka lengo "mambo safi" alisema
Kwenye elimu mtoto wa bara anasoma Zanzibar na zanzibar anasoma Bara zaniba zilikuwa 62 tu zaza siko laki tatu leo tuna shule zaidi ya elfu ...mambo SAFI ALISEMA IKWETE mafanikio hayo
Lakini pamoja na mengi aiyosema hajasema vyanzo na rasilimali zetu zinatunufaishaje kama vile madini ardhi misiti wanyama kwamba zinagawanywa kwa usawa?
anaendelea fuatana nami...
Anasema ukisema Nyerere sahihi sawa Karume kaguzi sio kweli ilifanyika Ikulu Kamboa alishuhudia lakini ndio hivyo tunapata uchungu ila tuyaache alisema Kikwete
Alisema Karume alithubutu Mpaka Zanziba ikapata uhuru tuwaheshimu viongozi wetu Nyerere na Karume katu wasielekezewe vijembe alisema Kikwete
Alijiuliza hivi hawa nanafanya kwa maslahi yao ama kwa taifa nawashauri warejee Bungeni lakini waajumbe wa pande zote hata wale wa kwetu waache matusi
Ukiwauliza wanasema wanatukasirisha, tumieni mfumo mliojiwekea acheni ushindana shirikianeni mpate katiba muwasaidie watanzania
Akasisitiza njia mbadala ni maridhiano jengeni hoja na kuwa umahiri wa kuwavutia upande mwingine wawe pamoja ila bado naamini katiba inaweza kupatikana
Jambo kubwa linaloweza kufanya muungano udumu ni jinsi unavyonufaisha watu kama ungekuwa haufai ungekwisha kufa siku nyingi ilisema sehemu ta Hutuba ya Rais Kikwete Jijini Dar
Kuhusu mafanikio Kikwete anasema barabara za lami zimejengwa Reli zimejengwa na kuimarishwa viwanja vya ndege vimejengwa na kuimarishwa uwanja wa mpira ZANZIBAR nao unaimarishwa Sehemu ya kurushia simu maendeleo ya simu usiseme watanzania mil 27 wanasimu alisisitiza Kikwete
Bomba la gezi limakamilishwa kuondoa adha ya umeme mambo yanakwenda vizuri kwahito watanzania msihofu mambo yanakwenda vizuri tumefuka lengo "mambo safi" alisema
Kwenye elimu mtoto wa bara anasoma Zanzibar na zanzibar anasoma Bara zaniba zilikuwa 62 tu zaza siko laki tatu leo tuna shule zaidi ya elfu ...mambo SAFI ALISEMA IKWETE mafanikio hayo
Lakini pamoja na mengi aiyosema hajasema vyanzo na rasilimali zetu zinatunufaishaje kama vile madini ardhi misiti wanyama kwamba zinagawanywa kwa usawa?
anaendelea fuatana nami...