CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,357
- 6,424
Katika kile kinachoonekana ni dalili ya kufanyika kwa mabadiliko ya baraza la mawaziri hivi karibuni,raisi Kikwete amewazuia mawaziri wake kutoka nje ya Dar-es-salaam.
Tangazo hilo limeonekana kuwashitua mawaziri.
CHANZO:Mtanzania
Porojo na ngonjera zimezoeleka!