Kikwete azuia mawaziri kutoka nje ya Dar es Salaam

Kikwete azuia mawaziri kutoka nje ya Dar es Salaam

Katika kile kinachoonekana ni dalili ya kufanyika kwa mabadiliko ya baraza la mawaziri hivi karibuni,raisi Kikwete amewazuia mawaziri wake kutoka nje ya Dar-es-salaam.

Tangazo hilo limeonekana kuwashitua mawaziri.
======================================



Chanzo:Mtanzania

Ina maana mawaziri wote wsko daa au hilo agizo lilipotolewa hao mawaziri wote walikuwa dar, hakuna waliokuwa nje ya dar?
 
Katika kile kinachoonekana ni dalili ya kufanyika kwa mabadiliko ya baraza la mawaziri hivi karibuni,raisi Kikwete amewazuia mawaziri wake kutoka nje ya Dar-es-salaam.

Tangazo hilo limeonekana kuwashitua mawaziri.
======================================



Chanzo:Mtanzania
Waondoke tu,sawa na kusema wapigwe tu,tumechoka
 
Sio busara kubadili baraza wakati muda uliobaki ni miezi michache.
Waondolewe wenye matatizo tu basi na sio lazima replacement

Kweli? Kwa hiyo bei ya mafuta isipungue kwa kuwa muda umebaki mchache? Hebu jaribu kuvaa uhusika wa watanzania wote wanaoishi chini ya dola 1 tukuone katika rangi yako halisi,
 
Eti litawachoma!, hivi nyinyi watu mnaoipenda ccm, mmepewa kitu gani haswa hadi msahau au msione maovu yoote yanayofanywa na viongozi wa nchi hii?

Mwisho wa akili ya mwanachama wa chama chetu pendwa. Tumejaza mazuzu tu
 
Sijawahi kuona raisi aliyekosa heshima kutoka kwa watoto na wakubwa.
Rais kikwete alifikiri kutawala kutakuwa kama enzi za mkapa na mwinyi huko na hakuwa anasoma alama za nyakati. Watu wanazidi kuelimika kwa kiasi kikubwa. Information sharing is so powerful kuliko kitu kingine. Zaidi, watu wamechoka mambo ya kuigiza . Haiwezekani watu wachache kama kina kikwete tuwachague sie bado watuone mafala.
Nguvu ya umma sio ya kuichezea na alitakiwa afaham hilo.

Kila la kheri utakopo staff you will be rated the most failed leader of our time na si mbali utasahauliwa hata kwenye stage za ulimwengu labda raisi ajae akubebe.
Total useless president ever!!
 
Nimeota Mwanry kawa Waziri mkuu

Umeota ndoto nzuri lakini je? JK anaweza kufanya maamuzi ya aina hiyo? mimi sidhani. Kumbuka watu walivyokuwa na shauku kumsikiliza kuhusu sakata la Escrow halafu tafakari stori alizoleta,

Huyu Mheshimiwa anakatisha tamaa.
 
Mbunge wa CCM ambaye hajawa waziri wakati wa JK kuna mawili, Ama ni boya wa kiwango cha mwisho. Au ni msafi aliyepitiliza na asiyekubali kuchafuka kwa sababu yoyote ile, with unquestionable integrity.

maana baraza lake la mawaziri ni kama revolving door.
 
Kwa hiyo CCM ina mawaziri 9 tu.

Kwa akili zenu mnamtegemea Muhongo arudi aliko? Kwa kusahau nini? Kama ofisi si yupo aliemuachia kukaimu na kwa maana hiyo ni kuwa hana cha kukabidhi. Atawashukuru kwa kumpa muda mrefu uliomwezesha kujipanga na kuweka mambo yake sawa. Mafao yake mwekeeni kwenye account yake na hana kodi anayodaiwa kwani hamjathibitisha kulipwa na PAP.
 
JK nchi ilimshinda mapema sana! Alishaambiwa urais Si lele mama! Anatuongezea gharama tu! Amelea ufisadi akiwa vyombo vyote vya dola,ameshindwa kuzuia ufisadi mkubwa hivi! Sasa bado miezi 6 kuvunja bunge anateua baraza jipya! Shame!

Unakurupuka ndg......umeelezwa Hilo unalo lilalamikia au ni viroba?hakuna shughuliiii nyingine ya IKULU kubwa taka MAWAZIRI kuto toka nje ya dsm?
JARIBU KUJIONGEZA,,,,,,
 
Mi nadhani angeacha tu, maana Muda wa ccm nana serikali yake ndo unayoyoma. Hivi kama wameshindwa kuleta maendeleo kwa 4yrs, wataweza kwa miezi hii michache iliyo baki...
 
Kweli? Kwa hiyo bei ya mafuta isipungue kwa kuwa muda umebaki mchache? Hebu jaribu kuvaa uhusika wa watanzania wote wanaoishi chini ya dola 1 tukuone katika rangi yako halisi,

Unadhani replacement itasaidia kitu.
Sanasana utashangaa Lusinde anakuwa waziri.
Mimi nadhani mizigo iondolewe basi tusubiri uchaguzi
 
Hiki ni kichekesho kabsa, so mawaziri wote walikuwa Dar au wanaishi Dar? labda angewaita waende daresalaam ingeleta maana au ingekuwa labda ameagiza wasisafiri nje ya nchi ingeeleweka!
 
Katika kile kinachoonekana ni dalili ya kufanyika kwa mabadiliko ya baraza la mawaziri hivi karibuni,raisi Kikwete amewazuia mawaziri wake kutoka nje ya Dar-es-salaam.

Tangazo hilo limeonekana kuwashitua mawaziri.
======================================



Chanzo:Mtanzania

Ridhiwan ananukia kuwa waziri wa wafanyabiashara washikaji mnaonaje hilo maana ameibuka kuwa mfanyabiashara mkubwa kwa muda mfupi sana.
 
Muhongo akiondolewa nitaamini mengi kaiweka serikali mfukon

Kila mtu atabeba msalaba wake, kumlaumu Mengi kwa masaibu ya Muongo Ni kutenda dhambi mbaya!! Udalali, Kukosa kalbi nzuri, excessive arrogance na matamshi yanayokera wananchi Muongo hakufundishwa na Mengi!! Muongo kajichimbia kaburi lake mwenyewe, Kaichafua CV yake kwa mikono na utashi wake mwenyewe, sasa it is payback time, lazima Muongo ang'oke tu, Wananchi wametamka kupitia kwa wawakilishi wao WABUNGE, Muongo OUT and good riddance. God speed
 
Back
Top Bottom