johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Rais mstaafu mzee Kikwete amesema binadamu ili awexe kuishi ni lazima apambane na changamoto za kimaendeleo, ndio maana ana ubongo ili aweze kufikiri.
Mstaafu mzee Kikwete ameyasema hayo jijini Arusha alipokuwa anafungua mradi wa maji.
Kikwete amesema hata Marekani na Uingereza bado hadi leo zinapambana na changamoto mbalimbali za kimaendeleo pamoja na ukubwa wao.
Source ITV habari!
Maendeleo hayana vyama!
Mstaafu mzee Kikwete ameyasema hayo jijini Arusha alipokuwa anafungua mradi wa maji.
Kikwete amesema hata Marekani na Uingereza bado hadi leo zinapambana na changamoto mbalimbali za kimaendeleo pamoja na ukubwa wao.
Source ITV habari!
Maendeleo hayana vyama!