Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 1)


Mchambuzi, hii ni take home message nzuri. Jambo moja muhimu ni kuwa lazima tuachane na hii culture ya impunity. Lazima tumshukuru "mletahabari" ili written evidences zihifadhiwe kwenye archives na hawa watu wapate haki yao inavyostahili kuliko kuwaaacha wastaafu huku familia za victims wao zikiteseka na vinyongo. Mfano mzuri ni organized killings and near death ya balozi wetu aliyekuwa SA na wengineo. Wewe binafsi huoni kuwa kuna umuhimu wa justice kwa yeyote aliyehusika?
 

wewe usiwe mvivu wa kufikiri, acha amalize story yote then great thinkers tu join it together and arrive into a logical conclision, ila hata mimi I can clearly see logical and connected trend in this thread, lets wait and see!! patience pays!!
 
Afadhali umefikiri ktk angle nyingine kabisa! Umetoa suluhisho na ndivyo tunapaswa kufanya.mtoa habari ametudokeza kuwa Umma hauwezi kumzuia Lowasa kwenye masanduku ya kura bali maandamano tu! Thread hii imetufanya kufikiri tofauti kabisa.Clean system imekufa,waadilifu wachache waliobaki ndio hawa walioamua kuhamia mitaani kwa wananchi ili wajue ukweli wasihangaike na kura! Tuna kazi kubwa kuushinda mtandao huu nafikiri ndio maana Dr Slaa kidogo amekuwa wa baridi maana hakuna wa kumwamini tena! Umesikia ya Zitto na Mbowe(msome vizuri Mtoa habari!) Si hatari hii mkuu?
 

Mtoa Habari amesema dawa ni UMMA tu ndio itaweza kuwatoa hawa wazee. Lazima tufahamu kwanza mpaka tumefikia hapa tulipo tatizo hasa ni nini? Binafsi naona tatizo hasa ni umaskini uliopitiliza kipimo na uchoyo/ubinafsi.Huo umechangiwa capitalism and globalization. Kila mtu anadream kuwa kama maisha mazuri kupindukia ndani ya kipindi kifupi. Hapo ndio tunadondokea kwenye mtego wa EL, RA & Co kiurahisi. Inasikitisha kuona vijana kama January, Zitto na vijana wengine wengi wakiwa wamenasa tayari. Joining Solution moja nionavyo mie ni kuwa nyie vijana mliondani ya system kudrive change from within kwa kuwa mnafahamu hizo kura zinaibwa vipi. Tukisolve hilo nadhani utakuwa ni mwanzo mzuri! Ni hayo tu kwa sasa
 
@ Mtoa Habari,

Vipi issue ya Prof. Mwaikusa kudaiwa kumuona/kukutana na Balali (sijui kwa bahati mbaya au kwa deisgn) huku USA na kupeleka kifo chake, je ni kweli tetesi hizo? Na ni nani mhusika na kifo hicho?
 
Hata mimi nilikuwa namkubali sana Dr OA Juma ambaye Mwalimu alimsifia sana kwa kutokuwa na uchu wa madaraka. Kama kweli alifanyiwa hivi utawala huu utakuwa na mwisho mbaya sana. Linalonishangaza ni kuwa wote waliohusika na Urais wa JMK wanadhani wataendelea kuwa marais tena ifikapo 2015. Na kuna watu humu wanakuwa kama hamnazo vile kwa kutokuona, kusikia wala kusoma madudu kama haya yaliyowaweka watu hawa madarakani.
KATIBA MPYA ihakikishe inatupatia mfumo bora kabisa wa kumpata RAIS wa NCHI hii. Vinginevyo tujiandae kuchinjana tu huko tuendako.
 

Chinjaneni wenyewe. Ukianza hivyo ujue umefikia mwisho (etc) - End of Thinking Capacity!.
 

Join Date : 27th December 2011??
Thanks...lete zaidi mkuu
 
Fair player naona maii yako yanaruka ruka kwa furaha..maana umepanda ELairline nawengine wamepanda membecoac iliyokata difu ya mbele....jf kiboko
 
Sema ni tetesi basi wapeleke huko kwenye tetesi usitake kuvuja amani ya uongozi wetu
 
Fair player naona maii yako yanaruka ruka kwa furaha..maana umepanda ELairline nawengine wamepanda membecoach iliyokata difu ya mbele....jf kiboko

Edson,

Sio kuwa Lowassa kanipatia chochote! masikini EL wa watu wala hanifahamu wala familia yake hainifahamu na sitaki wanifahamu!
Mie ni mtazamo wangu tu kwa kuzingatia usemi huu:

".............Na ASIYE NA DHAMBI AANZE KUMTUPIA MAWE"

Kumbe basi wote wameoza basi mwenye unafuu na anayethubutu na anayeweza ni Lowassa!. Hayo ni mapenzi yangu binafsi baada ya kutafakari.

ELairline na Sixbajaj na Sumaline na Membecoach na AshCoach....

Lol kwa majina nyie!
 
tuache massihara wakuu, kwa yoooote haya, bado tunataka huyu mtu awe Rais wa TZ? Huyu ni mtu mwenye tamaa za kupitiliza
 
zumbemkuu
umetoboa mkuu? lol.....we kiboko..hahahhaa..

mkuu nimetoboa kama nilivyoahidi, nimeanza mwaka na mawazo kibao, siamini ninachokisoma, hii kali ya mwaka kwangu kawkweli, kumbe tunaongozwa na mafia?????
 
Chinjaneni wenyewe. Ukianza hivyo ujue umefikia mwisho (etc) - End of Thinking Capacity!.
FP,
Ina maana fujo zote wakati wa kumtafutia Urais JMK tangu mwaka 1995-2005 hazikutikisi hata kidogo! Unadhani kundi hili lililoratibu na kufanikisha Urais wa JMK bado linastahili kupewa tena nafasi hiyo? Uchaguzi wa CCM ni mwaka huu. Tutajua tu la kufanya kama WATANZANIA baada kuona watakavyojipanga.
 


FP mkuu wangu..normally mabandiko yako ni objective lakini kwa hili bandiko ume demonstrate ulivyo biased kabisa and Iam sure hata nafsi yako inakusuta kwa sababu unajua unasema kitu ambacho in practice kwa siasa zetu za Tanzania ni ngumu kutekelezeka. Unaturudisha enzi za Mkapa kulalamika kwamba tuhuma dhidi yake na wala rushwa wenzake zipelekwe mahakamani wakati anajua mtuhumiwa ni YEYE na katiba na sheria zinamlinda asipelekwe mahakamani! Strange?? Mkuu kupambana na rushwa kwenye vinchi vyetu vya kimasikini it takes more than laws na akina Takukuru! It needs political will-something we badly lack, maana wanasiasa ndo wezi wakubwa! Kwa wote wenye nia na mapenzi mema na taifa letu tunalijua hili ndo maana tunaitafuta katiba mpya.

Otherwise, mkuu kama kawaida nitaheshimu michango yako hata kama sikubaliani na wewe mara nyingi..maana naamini ni mitazamo kama hii inatufanya tuwe na majadiliano tukitafuta suluhisho la matatizo yetu. Lakini kwa kauli yako hapo juu, I can safely say..umekuwa mnafiki: Pole kwa kutumia neno hilo maana nimekosa neno mbadala mkuu! Ushauri wangu hata kama tunawasupport hawa jamaa kwa sababu zetu mbali mbali..lakini tujitahidi kubakia objective kwenye hoja zetu (atleast kwa wale wengi wetu ambao bado tunaamini objectivity ya hoja). Maslahi ya taifa letu mbele daima.

Happy new year!

Masanja,
 
Huna mtiririko wa hoja na mpaka sasa umeshashindwa kuwadanganya watu.... unaleta upupu hapa... na hata hizo parts zingine ukizileta ni kujisumbua tu. Hazina mashiko hizi.
 
Teh teh teh.
Mto mada huyu alikuja na mada flani wakati wa uchaguzi mwaka jana na kutuweka roho juu kupita kiasi, kwa mliokuwa mnafuatilia JF kipindi hicho nadhani mnakumbuka vema sana. Nasoma kwa tahadhari sana habari zake
 
Biashara pekee ya Lowasa ambayo ni kubwa tu na hamtaki kuitaja ni ile ya kutafuna Idara na mashirika ya UMMA yaliyokuwa kwenye wizara alizowahi kuongoza:
-Kitengo cha Maafa ofisi ya WM kilimpa fedha nyingi sana wakati ule.
-Mamlaka za Maji Mijini zikiongozwa na DAWASA ya Mutalemwa zimemchangia sana tu.
-Ule mradi mzima wa maji wa ziwa Victoria-Shinyanga-Kahama ametafuna ni balaa.
-Alipoanza tu Uwaziri Mkuu akahakikisha anateua wakurugenzi wake wa halmashauri/Manispaa wengi tu ili atafune.
-NHC akiwa waziri wa ardhi na Haruna Masebu akiwa DG wakati huo ni balaa.
-EWURA ya Masebu nayo iliendelea kumneemesha LOwasa isivyo kawaida.
Mchezo huu unafanywa na mawaziri wengi tu sasa ingawa muasisi na kinara wake ni Lowasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…