Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wildcard,
Mtoa habari ameongea sahihi. Hapa tulipofikia ni kiongozi wa aina ya Lowassa tu ndo anaweza kutukwamua na kupeleka maendeleo mbele. Kweli tunapenda personality maana kwa sasa inabidi aje MTU na ku change DIRECTION ya hili airline isiende chini.
Inatakiwa mtu mwenye KUWEZA KUONYESHA MAMLAKA na mwenye KUTHUBUTU ili tuweke mambo sawa. Nadhani tunamuhitaji Lowassa for only five years.
Then tunarudi kwa kiongozi wa aina mnayempenda nyie. Lowassa kwangu ni Transitional leader, aweke mambo sawa tu kisha awaachie (na naamini MTACHAFUA TENA)
Lowassa is a Tanzanian Kagame.
Sijui umeelewa?, mie ni beyond ushabiki na labda nina uchungu na nchi hii kuliko nyie. Kama unaye kiongozi wa aina ya Lowassa ambaye ni msafi kuliko Lowassa mtaje nami nikiridhika nitampigia debe mpaka lipasuke.
The boss, unazungumzia laana mara ngapi?. Hii iliyopo haitoshi?!. Ndio maana tunataka ukombozi na ukombozi huo ni kwa kupitia kwake!.kama mtu mmoja anaweza kufanya umafia wa aina hii na still akaja kuwa Rais wa nchi.......
basi hii nchi ina laana.......na Mungu ametuadhibu wote tuliozaliwa nchi hiii.........
.............. Ndio maana kuna uwezekano mkubwa sana ama EL akagombea uenyekiti wa CCM taifa au akaweka mtu wake ili kuiteka agenda ya kamati kuu...............
meg.
Umenikumbusha mbali, wacha niongezee:
Eve. Come easy go Easy. The sucker punch. You find him I will fix him. One bright summer mornig. No orchird for Miss Blandish. Hes belived violent.
Ule ulikuwa wakati.............!
The boss, unazungumzia laana mara ngapi?. Hii iliyopo haitoshi?!. Ndio maana tunataka ukombozi na ukombozi huo ni kwa kupitia kwake!.
The boss, unazungumzia laana mara ngapi?. Hii iliyopo haitoshi?!. Ndio maana tunataka ukombozi na ukombozi huo ni kwa kupitia kwake!.
Utatoka mapovu bure. HuKo kwa Jesus pia tumeshaenda, tume pewa a go ahead pia. Labda uende kwenye mashetani huKo hatujaenda, kwakua tunaamini nguvu ni moja tu ni Mungu.
Lowassa chaguo la Mungu!
Ogah, Nyerere alikuwa mjamaa kwa imani, maneno na matendo!. Hawa waliopo ni wajamaa kwa maneno tuu lakini matendo ni tofauti!. Ni katika utofauti huo Lowasa ndie mwenye afadhali!. Kama Nyerere angefufuka leo na kuwashuhudia waliotangulia wale wafanya biashara tuliowapangisha Ikulu na hawa waliopo wanavyo najishi mahali patakatifu pale na kupageiza ni pango la walanguzi!. Angemshika mkono na kumsafisha japo mwizi lakini mambo yanakwenda kuliko mijizi mingine inakwiba na hakuna kinachoendelea!There you are!......na ENL alipojua hayo kupitia vijana wake alifanya nini akiwa kama kiongozi...........mbona huendelezi/humalizii?......wee unafikiri Nyerere (RIP) alikuwa zuzu?..........
hiyo ya kupitia kwake itabaki kuwa 'arguable ' milele.......
Akiwa Waziri Mkuu alishindwa kutukomboa, je akiwa Rais ndio ataweza?
Kitu kimoja nina uhakika nacho ni kwamba jamaa ni Bingwa wa kutumia mamlaka kwa ajili ya sifa na maslahi binafsi. Mtu wa namna hiyo ni hatari sana kwa kuwa hakuna ambaye atakuwa na jeuri ya kumhoji au kuhoji madudu. Tutarudi kwenye zama za Mkapa za usiri mkubwa na ufisadi kwa kwenda mbele. Kwenye mazingira kama hayo hakuna ukombozi.
Ukombozi wa kweli unaendana na uwazi [transparency]. Kwamba kila kitu kifanyike kwa uwazi na ikitokea madudu then watu wahoji na kupewa majibu na siyo kutishana ili watu wawe na hofu ili wasihoji madudu then mafisadi wanaendelea kutafuna mali kama mchwa!
Nitabaki kuwa Tomaso kwenye hilo kwa kuwa naona kampeni za kuleta Chaguo Jipya la Mungu inarudi kiaina.
Wengine wanasema jamaa ana UTHUBUTU na sasa naona anaitwa MKOMBOZI.
Hata JK tuliambiwa ni mtu wa watu, hana makuu, kimbilio la wanyonge, angeboresha maisha ya walalahoi na mambo mengine kibao.
Masikini ndio wanazidi kuwa choka mbaya. Kila kukicha unakuta ni afadhali ya jana.
Keil, kama inataka mabadiliko ya kweli, " Amini Nawaambieni, ukombozi hauji bila kupitia kwake!Akiwa Waziri Mkuu alishindwa kutukomboa, je akiwa Rais ndio ataweza?
Kitu kimoja nina uhakika nacho ni kwamba jamaa ni Bingwa wa kutumia mamlaka kwa ajili ya sifa na maslahi binafsi. Mtu wa namna hiyo ni hatari sana kwa kuwa hakuna ambaye atakuwa na jeuri ya kumhoji au kuhoji madudu. Tutarudi kwenye zama za Mkapa za usiri mkubwa na ufisadi kwa kwenda mbele. Kwenye mazingira kama hayo hakuna ukombozi.
Ukombozi wa kweli unaendana na uwazi [transparency]. Kwamba kila kitu kifanyike kwa uwazi na ikitokea madudu then watu wahoji na kupewa majibu na siyo kutishana ili watu wawe na hofu ili wasihoji madudu then mafisadi wanaendelea kutafuna mali kama mchwa!
kama mpaka Pasco ame convert....basi una haki ya kukata tamaa......
honestly huwa najiuliza hii nchi ina walakini gani?
mbona we cant finds men with balls kwenye siasa zetu?
decent men???????
................Richmond ambayo ndio imekuwa kitanzi cha Lowassa, wengi wamemtetea kwamba hilo halikuwa zigo lake bali la JK. Yeye akiwa Waziri Mkuu ilikuwaje akakubali kutumiwa na huku akiona kabisa kwamba mwelekeo haukuwa mzuri? Kiongozi mwenye uthubutu wa uadilifu angejiweka pembeni. Kama yale maneno ambayo yaliandikwa kwenye magazeti kwamba Lowassa alimpigia simu JK akiwa ughaibuni kwamba wavunje mkataba na Richmond na Rais akasema amepewa ushauri mpya na Kamati ya Makatibu Wakuu, kwanini baada ya hapo Lowassa hakujiweka kando? Huo ndio uthubutu wa uadilifu kwamba umetoa ushauri mzuri na ukaona hausikilizwi, kaa pembeni badala ya kupendekeza kuingizwa mikenge mingine.
Bado watetezi wanasema kwamba baada ya JK kuona Richmond imekwama, JK aliomba ushauri kwa Lowassa. Lowassa akasema kuna mtu mmoja [Rostam Aziz] anaweza kutusaidia, na ndio tukaingizwa mkenge mwingine wa Dowans ambayo bado inawatesa mpaka leo. Kiongozi mwenye uthubutu hawezi kutafuta short cuts kwa kuwatumia marafiki zake ili kutatua matatizo makubwa kama hayo. Kiongozi mwenye uthubutu angependekeza kusitisha mkataba wa Richmond na kushauri mchakato uanze upya badala ya kupendekeza kuuingia mkenge mwingine...................
Ogah, Nyerere alikuwa mjamaa kwa imani, maneno na matendo!. Hawa waliopo ni wajamaa kwa maneno tuu lakini matendo ni tofauti!. Ni katika utofauti huo Lowasa ndie mwenye afadhali!. Kama Nyerere angefufuka leo na kuwashuhudia waliotangulia wale wafanya biashara tuliowapangisha Ikulu na hawa waliopo wanavyo najishi mahali patakatifu pale na kupageiza ni pango la walanguzi!. Angemshika mkono na kumsafisha japo mwizi lakini mambo yanakwenda kuliko mijizi mingine inakwiba na hakuna kinachoendelea!