Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 1)

endelea basi japo kuna tangible issues ndani yake.
 
mak89 Nataka niisome kwa kurudia rudia sana ili nielewe vyema.
Kama unaukaribu kiasi hicho na Kikwete, kwanini usimfuate Magogoni ukamweleza ana kwa ana?
 
Last edited by a moderator:
hii mbona iliwahi kuletwa hapa, kama ni wewe yule yule basi una majungu kuna sababu gani ya kurudia rudia thred, na kama sio wewe basi uliyepost pale kitambo hujui unachofanya.... potea...
 
mak89 Nataka niisome kwa kurudia rudia sana ili nielewe vyema.
Kama unaukaribu kiasi hicho na Kikwete, kwanini usimfuate Magogoni ukamweleza ana kwa ana?
nikiisoma hii thread; nakumbuka kitabu kimoja cha "tutarudi na roho zetu" cha Ben Mtobwa.hakika ni kitabu kizuri mno.
 
Dr Ulimboka unamjua?!
 
Ungekuwa na akili nzuri ungekwenda mbali zaidi kwa kutoa maelezo yanayoonyesha kuwa unakuja na kigongo kipya zaidi. Lakini kwa kuwa umerudisha kile kile cha zamani, inaonekana kama risasi zimekishia!

Sasa basi, ningekushauri kama unazo nndo mpya, na kama unataka kuuwasha moto ule uliowasha mwanzoni - amsha moto mpya. njoo na risasi mpya mazee!
 
Hii ni kali.Zakhia yupi JK alomtaka awe makamu wa Rais? Ni Zakhia Meghji,ailyetetea wizi wa pesa za serikali bungeni akiwa waziri wa fedha? Yaani mama mkwe wake awe makamu wa Rais?Hizi hadithi sasa zimezidi. Rais wetu ana hiyo tabia ya kufanya familia na ndugu zake kuwa viongozi wa siasa bila kuangalia matokeo yake.
 
Hii mkuu mbona ina harufu ya mfanya biashara wa huko Zanzibar, binafsi sielewi anacho taka kutueleza ni nini hasa!!! Kwanza amechanganya mambo mengi mno, in short mambo anayo zungumzia yako incoherent i.e alikurupuka bila ya kujua jinsi ya kupangilia mtiririko wa matukio kama kweli yalikuwepo.

Nilicho gundua mimi, jamaa huyu amepania kujaribu kumtisha Mh.Jakaya, lakini kwa mawazo yake ya kushangaza kidogo anajifanya eti anampa tahadhali Mh.Kikwete, mkuu unafikili unaweza kumtishia nyau afisa wa jeshi kweli!!!
 
Daah! pamoja kubeza hii maneno,lkn pana kaukweli yani hata pimbi lazma ang'amue nini anamaanisha huyu jamaa! Mkuu ni lini utarudi hapa high table?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kwa mujibu wa Nassoro Moyo, hakuna kiongozi mwingine wa CUF aliyehusishwa kwenye mazungumzo ya kuhongwa maalim mbali ya yeye mwenyewe na Jussa. Kazi kwenu UKAWA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…