Híi michezo ipo katika kila chama ama nchi yeyote unapofika wakati wa chaguzi, lakini mwisho wa yote watu hurudi kati na kumpa nafasi aliyeshinda kugombea na kuongoza, umesahau ya Obama na H. Clinton? Mbona le wanaendesha Taifa na kila mmoja kwa nafasi yake.
Humtishi kikwete wala humtahadharishi hapa umeleta story2 ya kupokea mwaka 2012 tukiburudika.. ccm imekomaa bwana haya yote yatapita na jembe la 2015 litapatikana kwa njia hz hz lakini patabaki kuwa shwari watu wakila bata. Hata ungekuwa wewe madarakani ni lazima wangekuwepo ambao hawakukuunga mkono wakati wa mchakato, ila baada ya hapo ni kufanya nao kazi.
JK unadhani ananoma na hilo?.. Semeni na mengine yeye anajuwa kilichomgusa mpaka akagombea urais.