Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 1)

Hapa naona lowassa anavyopata pesa za kuhonga walala hoi, pia naona isivyowezekana kumzuia kuingia ikulu ya magogoni!
 
Kama ni hvi basi hii nchi labda yatokee mapinduzi otherwise tumekamatika milele
 
Kwa mujibu wa Nassoro Moyo, hakuna kiongozi mwingine wa CUF aliyehusishwa kwenye mazungumzo ya kuhongwa maalim mbali ya yeye mwenyewe na Jussa. Kazi kwenu UKAWA.

Yaaani nawaza Sana ,jussa huyu huyu!!?
 
Duh Hutaki Unaacha siku hizi umekuwa adimu sana kama sukari enzi za Mwl ebu kuja kipande hii.
 
Last edited by a moderator:
Mtandao hatari sana. Sasa mbona Shein hafananii na hivi vitu. Ila Kaliletwa kweli.
 
Naona unatumiwa na kundi dukani kuleta propaganda ambazo hazieleweki,wewe umetumwa huna lolote
 
Naona unatumiwa na kundi fulani kuleta propaganda ambazo hazieleweki,wewe umetumwa huna lolote
 
Watu sasa umefika waka wakutafakari na kutafuta mkombozi,,,hili kundi ni hatari sana kwa tanzania,, kama tungejua basi tungekaa nyuma ya MAGUFURI..
 
inaonesha jinsi gani tanzania game inavyochezwa na watu fulani fulani,, kuwa makini mtanzania maana huu uzi uliletwa 2011 na jamaa anaitwa KAMA HUTAKI UNAACHA.... Hii story inaangaza kitoakeacho sasa.... poleni watanzania tutumie akili maana haiwezekani watu zaidi ya mil45 tunaendeshwa na wehu wasiozidi 20..
 
Naona unatumiwa na kundi fulani kuleta propaganda ambazo hazieleweki,wewe umetumwa huna lolote

Mkuu angalia post ni ya mwaka gani, usiangalie hapa ulipo tu, angalia nyuma na uendako pia, Tanzania hii na viongozi wake ni zaidi ya uwajuavyo
 
Haya maigizo yalijulikana zamani kwa watu timamu,,, leo wafuata mkumbo wanatupigia kelele tu humu ndani,, EL ni tatizo na bomu linalotembea
 

Haaaaahaaa
Here we are today
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…