Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 1)

Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 1)

Ondoa hofu, hakuna hata mtu mmoja aliyewahi kushinda vita DHIDI YA UMMA. Huyo paka mnywa damu za Watanzania atafungiwa zaidi ya kengele 10 miezi si mingi sana na wengi mlio waoga kamwe hamtoamini jambo hili.

Mkuu, tatizo letu ni nani wa kumfunga paka kengele! Nani anajitolea Muhanga kuongoza mapambano haya? Je ni Wa-TZ wangapi wanayo dhamira ya kweli (kama unavyoonesha wewe) ya kuikomboa inji hii? TAFAKARI, CHUKUA HATUA!
 
Kaka jmushi nakueleweni vzr sana. Taratibu nchi itakuwa kwenye mstari wenyewe na hayo madudu/ mauchafu yatakwisha. Haiwezekani nchi/ mwanadamu alieumbwa na Mungu akachezewa kiasi hicho. Mara mitandao yao wawahusishe mpk akina babu Loliondo ili kuwachanganya tu watu waendelee kumkufuru Mungu. Who are them? One day they should pay.
 
Tatizo kubwa kwe wenzetu mliowengi ni kwamba nyinyi ni MA-THOMASO; hamuamini hata siku moja hizi dondoo tunazozishusha hapa JF mpaka pale muwe mmeona kwa macho au kugusishwa kabisa kwa mikono.

Na hiyo ndio maana dozi ya taarifa nyeti hudondoshwa kwa mtindo wa dondoo ili nao wenye presha wasome, wachukue hatua lakini bila kupoteza uhai.

Siasa zetu hivi karibuni ni zaidi ya mchezo ule wa watu makini sana duniani yaani CHASEBOARD. Tafakari juu ya tafakari ni muhimu sana maana hakuna njia zozote za mkato zitakazokua salama na zenye kheri kwa vyovyote vile.
Mkuu nilikuwa ninamaanisha kwamba kama haya yamemshtua dada Jane, then inawezekana akijuwa yote anaweza pata heart attack lol

Ndiyo ni kweli kwamba hizi ni nyeti za ndani, lakini ni kidogo sana...Ndiyo maana ninakasema kuwa it is just a tip on an iceberg.
 
Ndugu PMNBuko,

Sio lazima u comment. Wanao comment wamejipanga na wanajua wanachosimamia.
 
pale ulipo-attempt kumfanya Zakhia kuwa makamu wa rais. Asingekuwa Edward, Rostam, Mkapa na Karume, leo hii Shein angekuwa mwenyekiti wa TPDC au TANAPA!.
JK naye hana dogo!

Si ni mama mkwe wake huyu jamani?

Ama ni rumours tu?
 
mkuu kuusu othman na apson si kweli kua wapo kundi moja,hawa jamaa wana beef mbaya la chini kwa chini kwa sababu othman sio msikivu kwa apson ambaye ndio aliemfanya yeye awepo hapo.othman yupo kundi moja na jk HIYO NI UHAKIKA,
Mimi,
Naweza kukubaliana na wewe katika hili. Lakini Othman ni ndumilakuwili. Nasikia kuna wakati Kikwete alimwita na kumuuliza ni nani rais wa nchi hii akakaa kimya. Akamuuliza hizi ripoti unazoniletea ni nani mwingine anayepelekewa.
 
Kiongozi ungejua tunavyohitaji muendelezo wa agenda hii hata kesho.
 
Story za pale kijiweni na ya ungaunga kutokana na matukio!
 
Mimi,
Naweza kukubaliana na wewe katika hili. Lakini Othman ni ndumilakuwili. Nasikia kuna wakati Kikwete alimwita na kumuuliza ni nani rais wa nchi hii akakaa kimya. Akamuuliza hizi ripoti unazoniletea ni nani mwingine anayepelekewa.


mmeambia daily intellingence breefings huwa anapewa kwanza ENL na baada ya hapo ****** wenu ndo anazipata!!!!
 
Mwenyewe hamu ninayo basi? Nimepatwa Na hofu Na woga wa ajabu. People are working eheee! They are very clever. Wanaoteuliwa, nilifikiri huteuliwa kwa uchapakazi kumbe huwekwa tu kwa Kazi maalumu! Hata huyu aliyeteuliwa juzi naye ukute yupo kwa maslahi ya watu hao, from ubalozini to CS wakati kina Yambesi wapo, tena wazoefu wazuri Na utumishi. Damn them.


Usitie shaka this time walishika the untouchables wataungua mikono na kuikimbiza wenyewe; moto waliouwasha utawalamba wenyewe na mashimo waliochimbia wengine waungikie wataangukiamo wao pia kamba na milingoti walizozichonga kuwaning'iniza wenzao wataning'inia wao ndipo wote watakujua ubaya haujawahi ushinda wema.... Na sifa heshima enzi na mamlaka vyatoka kwa mmoja.
 
Naona kama nimekupata kidogo. Nnachokiona dunia inaelekea mahali ambapo Policing itaanza kufanywa from the central point (katika level ya dunia) kuwainvestigate ikiwezekana hata viongozi wa nchi na kuwafungulia mashtaka. Hii njia hatuwezi kuiepuka na hasa ukitilia maanani kuwa uchumi wa dunia upo pabaya sana.

Mataifa makubwa yamekamua wananchi wao ili kusaidia masikini wa third world lakini misaada hiyo inaishia kwa wajanja wachache and the rest wanabaki masikini wa kutupwa. There will be a strategy to deal with this Mafia kwa nguvu zote, huko ndio tunakokwenda sasa.

Lets wait and see, ila this trend will come to an end, i do not know when though.

Very soon kuliko unavyohisi ama kudhani!
 
Hapo umesema Ame shimo walilo wachimbia watanzania watadumbukia wenyewe na mwanzi waliowaandalia watanzania watatundikwa wao kama ilivyokuwa Haman wa kwenye biblia alimwandalia Mordekai mjmbaake Ester. Hakika ndio walichotufanyia watanzania.
 
Very interesting ! Huwa najaribu sana niwaelewe Watanzania wenzangu lakini duh, lazima nikiri napata taabu kweli kweli. Ingawa sote hadi dunia nzima inatambua kuwa ukitaka kuutokomeza ugonjwa wa malaria mkakati wa kwanza sharti uwe wa kumtokomeza adui mdudu mbu, lakini kwa Mtanzania, hapana. Badala ya kuangamiza mazalia yote yanayowawezesha mbu kuzaliana na kushamiri, Mtanzania ndio kwanza atatafuta muafaka wa jinsi ya kuishi na mbu kwa amani na utulivu eti kwa kujifunika neti ! Twachapa usingizi ndani ya neti huku huko nje mbu wanazidi kuzaliana na wasio na neti wakizidi kufa kwa malaria.

Serikali ya nchi hii haijawahi kuongozwa na chama chochote zaidi TANU/ASP na mrithi wake CCM na sote twajua na kutambua kuwa tuko hapa tulipo kwa sababu ya CCM. Kila siku, kila saa, kila dakika na kila nukta nchi inazidi kudidimia chini ya Uongozi wa serikali iliyoundwa na CCM, lakini ajabu badala ya kumtokomeza huyu adui, tunatafuta mwafaka wa kuishi naye kwa amani na utulivu kama walivyofanya wenzetu CUF ! Tunajua na ni ukweli usiofichika kuwa ni wachache tu wanaofaidika na uwepo wa CCM, lakini kama kawaida yetu tunaridhika na kushiba kwa makombo tunayotupiwa kutoka meza kuu ya mafisadi.


  • Utalalamikiaje huu mfumo wa kifisadi lakini usikilalamikie chama kinachokumbatia na kulea mafisadi - CCM ?
  • Utawalaani vipi viongozi mafisadii na usimlaani kiongozi Mkuu wa Chama na serikali anayewateua - Kikwete ?
  • Utalaumu vipi kiongozi wa nchi kuwa dhaifu na legelege, usimlaani aliyemweka madarakani - wewe mwanachi ?


Kama alivyo mbu adui mkubwa wa taifa letu ni CCM na hatuna usalama mpaka hapo atakapotokomezwa ! Haya masimulizi ya Hutaki Unaacha yanazidi kututhibitishia hilo na nina tumaini yatazidi kuwafungua macho wale wote ambao bado wana imani na CCM. Inahitajika tufikie mahali tuone hata aibu kuhusishwa na kujitambulisha kama mwanachama, mpenzi au hata shabiki wa hiki chama ambacho kimegeuka na kuwa hifadhi ya wezi wakubwa na wauaji. Hutaki Unaacha, mimi nasubiri sehemu ya pili na kama kuna mtu hataki, hamna taabu, anaacha !
 
mkuu simtishi ila nawambia ukweli...ELairline haitawafikisha salama na hawatafika....huo ndio ukweli maan huyu jamaa tangu 2007 amekuwa akimfuta na kumpepea sana lowasa kwa kisingizio kwamba ndani ya ccm wote ni wezi..mda ukifika asinilaumu kuwa sikumwambia...

wee muache usimuamshe mapema atashtuka, anaweza akaruka na parachuti hahahahaha, muache akalipuke na ELairline akifikiri itadondokea baharini.

Hahaa msihofu chombo kinaendeshwa na rubani mzoefu, nyinyi na hizo bodaboda na mabus yaliyoua difu kuna ticket discounts huku ELairLines wahini kabla seat hazijaisha.... halafu mamlaka ya hali ya hewa imesema kuna mvua kubwa sana itanyesha maeneo mliyokwama na kusababisha mafuriko... jamani wahini huku madhara ya mafuriko wote mnayajua
 
Narubongo sijui. Kumbe atatakiwa kuzungu nchi nzima kujinadi na kuomba kula kwa sie mabosi wake. Atashangaa anavyochinjiwa baharini.
 
Lowasa must be paying a lot of money to have all these brains struggling to resuscitate him. I count him dead (politically, morally, etc) but seems some people want us to think his corruption and all that is nothing and he is the only one. Tanzanians! Are, we crazy?
 
mkuu kuusu othman na apson si kweli kua wapo kundi moja,hawa jamaa wana beef mbaya la chini kwa chini kwa sababu othman sio msikivu kwa apson ambaye ndio aliemfanya yeye awepo hapo.othman yupo kundi moja na jk HIYO NI UHAKIKA,

Ha haa haaaaaa!ngoja niendelee kuburudika na kikombe changu cha kahawa,enheee mungine ana he said...she said story yake kaisikia huko mtaani atumwagie hapa!
 
Back
Top Bottom