Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 1)

Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 1)

Kinana yupo sahihi, kwani mkataba uliopo ni baina na JK na EL/RA, kinana yeye hayupo humo, huwa wanamuomba tu awe mwenyekiti wa kampeni kwa sababu yupo very sharp, na ana mvuto na ushawishi mkubwa ndani ya CCM. Vinginevyo mkataka uliopo kati ya JK na EL ulianzia mwaka 1995, kwamba wewe ukiwa rais, mimi waziri mkuu, mimi nikiwa rais, wewe waziri mkuu, na yeyote atakayekuwa waziri mkuu atakuwa ni Rais in waiting. Na ndani ya mkataba huo, JK, EL, RA wakafanya madudu mengi pamoja katika kipindi cha 1995 - 2005, ambayo yalizidi kuwa bind pamoja. Vinginevyo EL angeamua kuwa kama Kinana - kuachana na Siasa na kujikita katika biashara zake, nchi isingekuwa katika hali tete kama hii leo. Ikumbukwe pia kwamba Kinana na EL ni marafiki wa miaka mingi sana, na ukaribu wa Kinana na JK ulijengwa na EL.

Ipo siku jina na EL litapotea katika anga za siasa na kurudisha nchi katika hali ya utulivu na ujenzi wa taifa. Vinginevyo mpaka tufike huko, tukubali kupoteza muda na nguvu zetu nyingi kuhoji, huyu EL ni nani, ana malengo gani na nchi hii, na kwanini anataka Urais kwa nguvu kubwa kiasi hicho wakati kiongozi wa kweli ni yule anaeogopa madaraka.

Sasa hivi kinana na lowassa sio marafiki kama wengi wanavyofiria,kinana is a problem kwa kina lowassa,na kama mwenyekiti angekua ni mtu thabiti na mwenye kumaanisha anachokisema kinana angemsaidia sana,yule msomali ana akili nyingi sana miongoni mwa viongozi wa ccm,anajua ccm inaumwa ugonjwa gani na anaijua tiba ya ugonjwa wa ccm sema ndio hivyo mwenyekiti mwenyewe haeleweki leo atakwambia hivi kuhusu lowassa badae unamuona wako pamoja na yote uliyomshauri kuhusu lowassa jana leo lowassa anakupigia simu anakueleza jana mlikua na chairman ukamwambia hivi na hivi na hivi! Ndio mana mtu kama kinana anaamua kujiweka pembeni,lakini kwenye vikao huwa anawachana live kwamba tatizo ni kina lowassa ndio wamekifikisha chama hapo kilipo na ingekua busara wakae pembeni ili mambo yaendelee.Na jk amekuwa akimtaka sana kinana kwenye utawala wake kinana anamchomolea kwa kuwa kisha msoma jamaa hawezi kuachana na kina lowassa na kinana yeye anaamini ili mambo yaende lowassa akae pembeni na rostam adhibitiwe,sasa anasema kutokana na msimamo wa jakaya kwa hao jamaa zake yeye anaona akae mbali kwa sababu hataki kugombana na mtu bora aendeshe biashara zake!

Nafasi za mwisho mwisho alizotaka kupewa na jakaya na kuzikataa ni uspika kumrithi sitta na badae ukatibu wa chama kuchukua nafasi ya mzee makamba.
 
Mtoahabari,

Nimekuelewa vizuri hapo unaposema wewe ni mtoa taarifa tu. Kwani taarifa si lazima iwe sahihi ama la. Ni mpaka hapo hapo itakapotokea ndio itakuwa sahihi. Kama nilivyosema huko nyuma ni jukumu letu wana JF kufanya our own independent assessment ili kabla ya kufikia kwenye final solution. "mtaohabari" katimiza wajibu wake kwa sisi watanzania tuliosoma. Nasi basi tutumie akili zetu (za kuzaliwa + darasani/vyuoni) tufikie mwisho. Na ndio hapo kila mmoja wetu ajitokeze kuplay his/her part.
Ushauri mzuri wa wahenga wetu naona upo valid kabisa katika hili "ILI KUMUUA NYOKA LAZIMA UENDE KICHWANI". Hivi sasa namkumbuka sana marehemu E. MZENA, yule kamanda alikuwa jasiri na hana uoga, kama angalikuwapo huyu EL angeshakuwa history na wafuasi wake waliobakia inakuwa rahisi kuwadhibiti. Unfortunately, operations specialists waliopo chini ya RO ni gutless and cowards! Mmebakia ma-Analyst mnaona upuuzi wote unaoendelea bila kujua la kufanya. Kuna kitu wenzetu wanaita true sons of the country they are sucrificed for the benefits of the future generations. Sijui sie kitu kama tunacho mtaohabari?

Najua kuna watu watarukia trivial issue ya uandishi, ngoja nisahihishe: SACRIFICED. Lazima tujifunze maslahi ya nchi makubwa kuliko binadamu mmoja. Inatakiwa mtu wa ndani anayefahamu haya madudu kuongoza clean up ya kuondoa nyoka wote bila kujali nafasi aliyepo kwenye usukani (JK,EL+RA) na ndipo hapo atakayechukua usukani ataheshimu hiyo nafasi. Kamwe ukijua ya kwamba Rais hashitakiwi bali anaweza kushughulikiwa kwa kupelekwa kwenye mahakama ya muumba wake kipindi akileta upuuzi ndipo hapo hakutakuwa na mtu anayekimbilia nafasi hiyo. Huo utakuwa mwanzo wa viongozi wanaotakiwa kuguswa bega na kuombwa kuchukua uongozi wa nchi nao watafikiria mara 10 kidogo kama kweli je nichukue hayo madaraka!?

Najiuliza hayo mafunzo huko China, Cuba na kwengineko sijui ni kwa faida gani? Wenzetu WaIsrael walipoona ARIEL SHARON anahatarisha survival ya state yao waliyoipigania ingawa na yeye ni one of their strong fighters...mpaka sasa anakula na kupumulia kupitia kwenye mirija. Walijifunza direct action kama waliyofanya kwa Y. Rabin ingesabisha vita ya wenyewe kwa wenyewe.
 
Story hii ni nzito. Ni kama ya mtandao wa freemasons. Kama haya yaliyotamkwa yana chembe ya ukweli, Tanzania inapelekwa wapi? Nanyi wana JF ikiwa tutagundua chembe ya ukweli, as great thinkers, nini litakuwa jukumu letu?
 
Upo sahihi katika hilo, JK alimbembeleza sana Apson abakie miaka miwili zaidi na ikiwezekana amalize term ya kwanza ya JK, lakini alikataa. Lakini in the process, Apson akaipangua sana TISS kwa ni ya kupunguza kwa kiasi kikubwa sana, the 'absolute power' aliyokuwa nayo Director General, na hivi sasa madaraka na maamuzi TISS yametapakaa sehemu nyingi, na RO huwa analalamika sana juu ya hili.

Yap hapa tunaenda pamoja!RO hana meno ya kutosha kama wakubwa wa kitengo wa zamani,kama sasa hivi jk ana deal zaidi na Jacky Mugendi Zoka kuliko Rashid.
 
Watanzania,

Hivi kweli mnapenda story za udaku namna hii?.

Kila siku huwa nasema na kusisitiza anzeni kufikiri kwa kutumia ubongo wenu acheni magazeti na mitandao kuwafikiria.

Ndio maana mnalialia kila kukicha maisha magumu, hayawezi kuwa raisi kama mnaamini story ya kutunga kama hiyo hapo juu.[
Habari za kidaku na umbea ni muhim na lazima kuzijua ili kufanya maamuzi sahihi ili mradi ni za ukweli.
Ukweli huu basi ni vema umejulikama ili wasomaji na waTz kwa ujumla wajue ukweli wa siasa za serikali yao.
Unayeiponda stori hii utakuwa na maslahi binafsi na walopondwa na post.
 
@ Mtoa Habari!

Inatisha na kukatisha tamaa. Ila pia nilikuuliza kuhusu kifo cha prof. Mwaikusa na tetesi za yeye kudaiwa kukutana na Daudi Balali (sijui ni kwa bahati mbaya au kwa kupanga) huku USA.

Je kuna ukweli wowote na nani walihusika, an ina uhusiano wowte ule na haya mambo ya kuelekea 2015?
 
Hiyo ndiyo hali halisi, kama utachukulia kwamba ni vitisho, basi tusubiri kelele za JF zizae matunda. Vinginevyo, kama unanisoma vizuri, mimi sipo upande wa huyo mpuuzi Edward Lowassa, kwani wafanyao hivyo hawana akili ya kujituma bali ya kutumwa. Akili yangu ni ya kujituma, na nina uhakika wengi wameshasoma hilo. Vinginevyo, una uhuru wa kwenda huko Rose Garden na kwingineko hata leo na kwenda kuzungumza hayo halafu uturudie na feedback.
Mkuu Mtoahabari, hapo kwenye red umenikumbusha kitu fulani. kuna siku nilikuwa pale Rose Garden na nikamuona L.Masha akiwa na
vijana kama sita hivi wakipata lunch karibu sana na sehemu ambayo na mimi nilikaa kupata lunch yangu....kusema kweli kwa mbali
nilimsikia Lau Masha akimuongelea EL kwa wale vijana aliokuwa amekaanao pale,yaani ilikuwa kama kuna maagizo fulani anawapatia
kuhusiana na EL....yaani walitumia karibu nusu saa hivi kumuongelea EL,lakini Lau Masha alikuwa anaongea kwa sauti ya chini sana kwa hiyo sikuambulia kitu chochote pale zaidi ya jina la EL. Je huyu Masha nae yuko kwenye kundi la EL au yuko against EL?
 
Mkuu Mtoahabari, hapo kwenye red umenikumbusha kitu fulani. kuna siku nilikuwa pale Rose Garden na nikamuona L.Masha akiwa na
vijana kama sita hivi wakipata lunch karibu sana na sehemu ambayo na mimi nilikaa kupata lunch yangu....kusema kweli kwa mbali
nilimsikia Lau Masha akimuongelea EL kwa wale vijana aliokuwa amekaanao pale,yaani ilikuwa kama kuna maagizo fulani anawapatia
kuhusiana na EL....yaani walitumia karibu nusu saa hivi kumuongelea EL,lakini Lau Masha alikuwa anaongea kwa sauti ya chini sana kwa hiyo sikuambulia kitu chochote pale zaidi ya jina la EL. Je huyu Masha nae yuko kwenye kundi la EL au yuko against EL?
Cabinet ya kwanza ya JMK ilikamatwa na ENL na RA. Kamati Kuu ya CCM na secretariet yake ilikamatwa na ENL na RA akiwa mweka hazina kabisa wa CCM. Zikaanza teuzi za Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri, miji na manispaa kwa utaratibu huohuo. Ungeweza ukadhani JMK alikuwa MZANZIBAR!
Uchaguzi mkuu wa CCM mwaka 2007 ulisimamiwa na kuratibiwa kwa umakini mkubwa na secretariet ya CCM makao makuu chini ya Makamba ambaye ni muumini mkubwa wa ENL na RA. Wakapatikana wenyeviti wa wilaya na mikoa ambao ni "watiifu" na waumini wakubwa wa ENL na RA. Nchi ikawa imekamatwa kisawasawa.
Teuzi kubwa za vyombo vya DOLA nazo kwa kiasi kikubwa zina mikono ya hawa jamaa wawili. Bunge letu nalo likapewa Sitta ambaye mwanzoni walimwamini sana kabla yeye mwenyewe hajashtuka baada kugundua kuwa alistahili kuwa WAZIRI MKUU badala ya kuwa SPIKA. Mtaikumbuka ile "wish" ya Lowasa aliyosema atai-"grant" wakati anaachia ngazi.
Hapa ndipo tulipo. Jamaa wanajipanga upya kuichukua CCM baadae mwaka huu kwa ajili ya 2015. Tatizo kwao sasa hivi ni Mukama na secretariet yake. Inasemekana bado hajakubaliana nao mambo mengi tu. Kwa namna alivyo mwoga haioneshi kama atakuwa kikwazo sana kwao. Vinginevyo naye anaweza kuwa kama Dr OA Juma. Nape hata ubalozi wa Burundi utamtosha. January kama baba yake ni mtu wao. Mwigulu yeye ni mkate wake wa kila siku tu.
 
Taarifa hizo zilikuwepo, lakini binafsi siwezi kuzitolea ushahidi kwani sina, na yanasemwa mengi sana. Kilichokuwa dhahiri ni kwamba, Mwaka 1995, Kikwete na ENL walitishia kuhamia Chadema kwani waliona CCM haikuwatendea haki mwaka 1995, na historia ile ilikuwa inataka kujirudia tena mwaka 2005. Na walishaanza maandalizi ya chini kwa chini ambayo taarifa zake hazina tofauti na zile za CCJ - sio taarifa zilizopo rasmi TISS, Tume ya Uchaguzi, au CCM yenyewe, bali mikononi mwa wahusika wenyewe.

Mwaka 1995 au mwaka 2000?? Nakumbuka kuisoma hii kwenye jamboforums, thanks to Mzee ES siku zile. Si aliikanyaga bendera ya taifa vile?
 
Cabinet ya kwanza ya JMK ilikamatwa na ENL na RA. Kamati Kuu ya CCM na secretariet yake ilikamatwa na ENL na RA akiwa mweka hazina kabisa wa CCM. Zikaanza teuzi za Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri, miji na manispaa kwa utaratibu huohuo. Ungeweza ukadhani JMK alikuwa MZANZIBAR!
Uchaguzi mkuu wa CCM mwaka 2007 ulisimamiwa na kuratibiwa kwa umakini mkubwa na secretariet ya CCM makao makuu chini ya Makamba ambaye ni muumini mkubwa wa ENL na RA. Wakapatikana wenyeviti wa wilaya na mikoa ambao ni "watiifu" na waumini wakubwa wa ENL na RA. Nchi ikawa imekamatwa kisawasawa.
Teuzi kubwa za vyombo vya DOLA nazo kwa kiasi kikubwa zina mikono ya hawa jamaa wawili. Bunge letu nalo likapewa Sitta ambaye mwanzoni walimwamini sana kabla yeye mwenyewe hajashtuka baada kugundua kuwa alistahili kuwa WAZIRI MKUU badala ya kuwa SPIKA. Mtaikumbuka ile "wish" ya Lowasa aliyosema atai-"grant" wakati anaachia ngazi.
Hapa ndipo tulipo. Jamaa wanajipanga upya kuichukua CCM baadae mwaka huu kwa ajili ya 2015. Tatizo kwao sasa hivi ni Mukama na secretariet yake. Inasemekana bado hajakubaliana nao mambo mengi tu. Kwa namna alivyo mwoga haioneshi kama atakuwa kikwazo sana kwao. Vinginevyo naye anaweza kuwa kama Dr OA Juma. Nape hata ubalozi wa Burundi utamtosha. January kama baba yake ni mtu wao. Mwigulu yeye ni mkate wake wa kila siku tu.
Mkuu ahsante sana kwa uchambuzi wako na nimeuwelewa vilivyo! Ila bado sijaelewa kuhusiana na Lau Masha
Je, huyu mtu yuko kundi gani? la Membe au la EL?
 
Mkuu ahsante sana kwa uchambuzi wako na nimeuwelewa vilivyo! Ila bado sijaelewa kuhusiana na Lau Masha
Je, huyu mtu yuko kundi gani? la Membe au la EL?
Lau aliingia kwenye Cabinet ile kwa msaada na uhusiano mzuri na kijana wa JMK, Riziwani na kampuni yake ya uwakili kusaidia sana ufisadi wa EPA. Ndani ya Cabinet ile akagundua mwenye nguvu mle alikuwa ENL. Unakijua kisa cha paka kuhamia jikoni na mbwa akabaki sebuleni?
 
Sijui nini ni kigumu kuelewa hapo. JK hana ujanja kwa EL. Wanatoka mbali na wana siri moja, tokea enzi zile za wote kwa pamoja jinsi gani walijipanga kuhamia Chadema iwapo Jk angekatwa jina 2005. EL akatumia mwanya huo huo kwani miundo mbinu yote kule Chadema aliijenga bwana EL. EL na Chadema wana mahusiano mazuri kuliko watu wanavyofikiri. Ukumbukwe pia kwamba EL alitaka kuchukua fomu kugombea 2010, kinyume na taratibu, lakini akaamua kuacha dakika ya mwisho. Nikipata muda nitakueleza zaidi, na vile vile jinsi gani mchezo huo huo ulichezwa Igunga juzi na EL, RA, na kuipatia Chadema Kura nyingi sana, akisaidiwa na vijana wake kina Bashe, January n.k. Kwa Igunga, nia ilikuwa ni kumtumia ujumbe JK na Kamati Kuu kwamba suala la kuvuana gamba sio la masihara, mnaweza kupoteza majimbo kimchezo mkiamua kufanya hayo Monduli na Bariadi Mashariki.

loooh! mkuu km hii habari ni ya kweli napata mashaka na DR.Slaa jembe nilililoliamini,
hata hivyo siwezi kukuamini sana, maana km batilda arusha ni mtu wa EL na bado wakahenyeshwa na G.Lema wa CDM wakati huo huo unasema miundo mbinu yote ya CDM kaitengeneza EL, ngoja nifikirishe kichwa changu zaidi kabla yakukubali maneno yako yaote.
 
Na JWTZ iko upande gani kwenye sakata hili linaloendelea kuiva?
 
Nimependa mnavyomuuuliza Mtoahabari maswali. Natamani nijibu baadhi lakini mie msimamo wangu upo wazi ni kumtetea na kuomba Lowassa awe rais JK akimaliza muda wake 2015.

Kwahiyo nitaonekana nipo biased.

Mag3 karibu kwenye ELairline.

Mkuu wangu Wildcard uchambuzi mzuri nimeukubali.

Romantic angalau umetoa points za kutosha mkuu.
 
Nimependa mnavyomuuuliza Mtoahabari maswali. Natamani nijibu baadhi lakini mie msimamo wangu upo wazi ni kumtetea na kuomba Lowassa awe rais JK akimaliza muda wake 2015.

Kwahiyo nitaonekana nipo biased.

Mag3 karibu kwenye ELairline.

Mkuu wangu Wildcard uchambuzi mzuri nimeukubali.

Romantic angalau umetoa points za kutosha mkuu.
Hamia huku kungine FP. Lowasa alitufaa wakati huo. Sio sasa wala hapo baadae!
 
Cabinet ya kwanza ya JMK ilikamatwa na ENL na RA. Kamati Kuu ya CCM na secretariet yake ilikamatwa na ENL na RA akiwa mweka hazina kabisa wa CCM. Zikaanza teuzi za Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri, miji na manispaa kwa utaratibu huohuo. Ungeweza ukadhani JMK alikuwa MZANZIBAR!
Uchaguzi mkuu wa CCM mwaka 2007 ulisimamiwa na kuratibiwa kwa umakini mkubwa na secretariet ya CCM makao makuu chini ya Makamba ambaye ni muumini mkubwa wa ENL na RA. Wakapatikana wenyeviti wa wilaya na mikoa ambao ni "watiifu" na waumini wakubwa wa ENL na RA. Nchi ikawa imekamatwa kisawasawa.
Teuzi kubwa za vyombo vya DOLA nazo kwa kiasi kikubwa zina mikono ya hawa jamaa wawili. Bunge letu nalo likapewa Sitta ambaye mwanzoni walimwamini sana kabla yeye mwenyewe hajashtuka baada kugundua kuwa alistahili kuwa WAZIRI MKUU badala ya kuwa SPIKA. Mtaikumbuka ile "wish" ya Lowasa aliyosema atai-"grant" wakati anaachia ngazi.
Hapa ndipo tulipo. Jamaa wanajipanga upya kuichukua CCM baadae mwaka huu kwa ajili ya 2015. Tatizo kwao sasa hivi ni Mukama na secretariet yake. Inasemekana bado hajakubaliana nao mambo mengi tu. Kwa namna alivyo mwoga haioneshi kama atakuwa kikwazo sana kwao. Vinginevyo naye anaweza kuwa kama Dr OA Juma. Nape hata ubalozi wa Burundi utamtosha. January kama baba yake ni mtu wao. Mwigulu yeye ni mkate wake wa kila siku tu.

Nimeamua kuinunua hii kesi ya hawa jamaa aise hata wakatambikie katika makaburi yote na madhabahu wanayayo ya jua kuwa yana nguvu hakuna kati yao wala mtu wao atakaye upata urais wa Tanzania....Mbaya zaidi kuaznia sasa wataingia katika mgogoro mkubwa na wao kwa wao watatoana ngeu na kuvuana nguo hadharani mpaka mambo yao yote yatakapo kuja kwenye uso wa watanzania wawasome vizuri wao ni watu wa aina gani; says the prince the son of th most high Jesus Christ son of David.
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Hamia huku kungine FP. Lowasa alitufaa wakati huo. Sio sasa wala hapo baadae!

Wapi? Upande upi kaka? Hamna upande wowote zaidi ya Lowassa.

Naomba nishawishi nihamie upande wenu kwa hoja na sio kwa kumkashifu Lowassa! Hapo ndo mnakosea. Mmepoteza ushawishi mmebakia na eti ukimsema EL utafanya vile au hivi a pure BS!

Anza kunishawishi basi......
 
Najua kuna watu watarukia trivial issue ya uandishi, ngoja nisahihishe: SACRIFICED. Lazima tujifunze maslahi ya nchi makubwa kuliko binadamu mmoja. Inatakiwa mtu wa ndani anayefahamu haya madudu kuongoza clean up ya kuondoa nyoka wote bila kujali nafasi aliyepo kwenye usukani (JK,EL+RA) na ndipo hapo atakayechukua usukani ataheshimu hiyo nafasi. Kamwe ukijua ya kwamba Rais hashitakiwi bali anaweza kushughulikiwa kwa kupelekwa kwenye mahakama ya muumba wake kipindi akileta upuuzi ndipo hapo hakutakuwa na mtu anayekimbilia nafasi hiyo. Huo utakuwa mwanzo wa viongozi wanaotakiwa kuguswa bega na kuombwa kuchukua uongozi wa nchi nao watafikiria mara 10 kidogo kama kweli je nichukue hayo madaraka!?

Najiuliza hayo mafunzo huko China, Cuba na kwengineko sijui ni kwa faida gani? Wenzetu WaIsrael walipoona ARIEL SHARON anahatarisha survival ya state yao waliyoipigania ingawa na yeye ni one of their strong fighters...mpaka sasa anakula na kupumulia kupitia kwenye mirija. Walijifunza direct action kama waliyofanya kwa Y. Rabin ingesabisha vita ya wenyewe kwa wenyewe.

tungekuwa na watanzania kumi tu au watano tu hapo TISS kama wewe...
hii nchi ingeshafika mbaali mno......
na sijui kama wamekuelewa...
 
Nimeamua kuinunua hii kesi ya hawa jamaa aise hata wakatambikie katika makaburi yote na madhabahu wanayayo ya jua kuwa yana nguvu hakuna kati yao wala mtu wao atakaye upata urais wa Tanzania....Mbaya zaidi kuaznia sasa wataingia katika mgogoro mkubwa na wao kwa wao watatoana ngeu na kuvuana nguo hadharani mpaka mambo yao yote yatakapo kuja kwenye uso wa watanzania wawasome vizuri wao ni watu wa aina gani; says the prince the son of th most high Jesus Christ son of David.

Utatoka mapovu bure. HuKo kwa Jesus pia tumeshaenda, tume pewa a go ahead pia. Labda uende kwenye mashetani huKo hatujaenda, kwakua tunaamini nguvu ni moja tu ni Mungu.

Lowassa chaguo la Mungu!
 
Back
Top Bottom