Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,904
- 1,064
barabara nyingi za nchi hii zimejengwa na serikali ya awamu ya tatu
kuna ambazo kikwete alikuta zinaendelea kujengwa lakini pesa yake ilikuwa tayari
hao wanataka kupiga cross na kufunga wenyewe
barabara nyingi za nchi hii zimejengwa na serikali ya awamu ya tatu
kuna ambazo kikwete alikuta zinaendelea kujengwa lakini pesa yake ilikuwa tayari
hao wanataka kupiga cross na kufunga wenyewe
Tazama shule ngapi za sekondari wakati wake na awamu zote zilizopita. Tazama zahanati. Tazama vyuo vikuu. Tazama barabara. Tazama viwanda. Halafu urudi useme uyasemayo.Kikwete hajafanya chochote kwa muda wote wa uongozi wake!
Tazama shule ngapi za sekondari wakati wake na awamu zote zilizopita. Tazama zahanati. Tazama vyuo vikuu. Tazama barabara. Tazama viwanda. Halafu urudi useme uyasemayo.
sema zimemlizikia msimu wa jk na kitu anachofanya jk ni kuendeleza yalioanzishwa na kibaya zaidi anamalizia vitu kwa magumashi mengi..nampongeza kwa kuleta pantoni kubwa na bovu kupita hata lile la mkoloni ndani ya miaka 3 panton linatoa moshi ka mabomba ya viwandani..Kabla ya Kikwete, awamu zote chini ya 10,000Kms, miaka 6 ya Kikwete zaidi ya 10,000Kms na bado zaja.
Kabla ya Kikwete, awamu zote chini ya 10,000Kms, miaka 6 ya Kikwete zaidi ya 10,000Kms na bado zaja.
Kabla ya Kikwete, awamu zote chini ya 10,000Kms, miaka 6 ya Kikwete zaidi ya 10,000Kms na bado zaja.
huyu mzee mwinyi ndo gurudumu lilipoanzia la kwenda mrama mpka jk senior(nyerere) alisema ikulu sio sehemu ya walanguzi..na kuhusu jk kashangia world gueness record kuwa ni rais wa kwanza kuudhuria misba na sherehe nyingi kuliko marais wote duniani na anayedhurula dunia kiasi cha kulingana na vasco da gama..@FaizaFoxy, kwenye red: Is is possible that awamu zilijejenga barabara 9,999km? na hivyo Kikwete kwa miaka sita (5 1/2 yrs) akawa amejenga 1km?Kikwete hajafanya miradi mikubwa yoyote, mingi alikuta tayari imeshanza na malipo yake yalikuwa tayari. Yeye amekuwa 'mfunguzi' au tuseme mzindizu wa hii miradi: Mliman City, Uwanja wa Taifa, Daraja la Mkapa. Hata chuo kikuu cha Dodoma kama sio Mkapa kisimamia tungekuwa tunaongea lugha ya Daraja la Kigambano! Mkapa aliweza kutafuta 'sources' of funds na akasimamia ujenzi.Muda wa Kikwete madarakani unazidi kuyoyoma, walio karibu naye wamsaidie ili afanye kitu kimoja cha maana, lakini hiii tabia ya 'wapambe' ya kutaka kuanika mapungufu ya marais waliopita haiwezi kumjenga. By the way tumesikia mengi kuhusu Mwl Nyerere, sasa Mkapa. Ni lini tutasikia kuhusu Mwinyi?
Kwa vile mpaka sasa hakuna takwimu na wachangiaji mada kuhusu kiasi gani cha barabara zilizojengwa kwa kila awamu, naogopa kusema ni awamu hii au ile ndiyo zaidi. Lakini dhana ya kwamba eti Rais anasafiri sana na kwa hiyo hawezi kuwa alijenga barabara nyingi kuliko watangulizi wake ni upungufu mkubwa katika uwezo wakujenga hoja. Ninavyofahamu mimi ni kwamba kumekuwa na hatua nzuri sana kuhusiana na maendeleo ya miundo mbinu katika awamu hizi mbili za uongozi. Kwa mfano barabara za Mbeya - Chunya mpaka Tabora, ile ya Singida mpaka Manyara, Somanga mpaka Ndundu, ile ya Mangaka Tunduru, na nyingine nyingi ni zao la awamu hii ya nne.[/QUOTE
Si kila kitu kinahitaji takwimu za kimaandishi,mambo mengine yanaonekana wazi,hizo barabara nyingi ulizotaja hata km 20 hazijafikisha kujengwa!,serikali hii inaongoza kwa ahadi au tuseme mipango ya makaratsi,tatizo la viongozi wetu uwa muda mwingi wapo kwenye propaganda za kisiasa,wanaropoka tu wakijua kuwa watanzania wengi tu wavivu wa kufikiri tunajaza kichwani kila kinachozungumzwa,nakumbuka kipindi cha kampeni JK aliulizwa mbona anamwaga ahadi nyingi alijibu bila wasiwasi kuwa watu wanapenda kusikia ahadi!!!
Tatizo hili limeota mizizi kwa watendaji wetu,kiongozi anaweza kuongea uongo hata kwa mtu mwenye akili ya kuvuka barabara tu atajua kuwa ni uongo lakini atabaki anatetea huo ujinga akifikiri kuwa watu hawajua,mfano juzi wakati akihitimisha hotuba yake Pinda alisema serikali ilishachukua maamuzi magumu bila haya akataja moja ya maamuzi ni serikali kuvunja baraza la mawaziri wakati ukweli ni kuwa serikali haikuvunja baraza kwani kitendo cha waziri mkuu kujiuzuru moja kwa moja baraza linavunjika siyo kuvujwa!!
Labda wa kumtetea bwana mkubwa wangesema kuwa mipango iliyopo kwenye makaratasi ikikamilika (na hizo ni ndoto kwani hata ya kwake bagamoyo-msata km 50 imemshinda) bwana mkubwa atakuwa amejenga barabara nyingi kwani muda bado anao wa kufanya marekebisho,ila kwa sasa ni uendawazimu kumlinganisha mkapa na kikwete kujenga barabara achilia mbali uongozi kiujumla
Akili za huyu dada zimekaa vyp sijui' viwanda?' kikwete amejenga kiwanda kipi? Shule- hebu angalia elimu inayotolewa angalia ufaulu, tangu 2006 alivyoingia ufaulu fm 4 iliku zaidi ya 60% leo wanafunzi 51% wanafeli,shule ya msingi eti kati ya watoto 10 wanaomaliza la saba watatu hawawezi kusoma kitabu cha darasa la pili, sita kati yao hawawezi kusoma kitabu cha kiingereza cha darasa la tatu....Chuoni wanafunzi wanamaliza bila kwenda field pia hawana walimu wa kutosha.Afya kumbuka kilichotokea kwa babu Loliondo na matokeo ya ziara za wataalamu wizara wa afya wanavyofungia hospitali na zahanati...Ntarudi baadaye.Tazama shule ngapi za sekondari wakati wake na awamu zote zilizopita. Tazama zahanati. Tazama vyuo vikuu. Tazama barabara. Tazama viwanda. Halafu urudi useme uyasemayo.
Jana nilimsikia huyu waziri mdogo wa biashara anaitwa Nyalandu katika kipindi cha tuongee asubuhi star tv akisema kuwa awamu ya nne ambayo inaongozwa na Kikwete wamejenga barabara nyingi au niseme kilometa nyingi kuliko awamu zote tatu zilizotangulia kwa pamoja. Hivi ni kweli? Je ni barabara zipi?