MTWA
JF-Expert Member
- Aug 5, 2009
- 1,166
- 168
Anachoweza kufanya nii kuweka iliyorekodiwa na asiruhusu maswali kama vile, atoe data za kuujisifu na mambo ya kawaida na kuwatisha watanzania tu lakini Dr naye arudie huu mdahalo. siku hizohizo au atafute majibu ya JK.Mbona JK na midahalo ni sawa na Mmasai na samaki
Maana akiruhusu maswali labda atafute mamluki wa maswali mepesi otheriwe litakuwa ndo kaburi lake na najua hawezii kuruhusu mjadala waukweli yaani live kama wa dr. slaa.