Elections 2010 Kikwete kufanya mdahalo Ijumaa, aweza kutangaza hali ya hatari Jumapili?

Elections 2010 Kikwete kufanya mdahalo Ijumaa, aweza kutangaza hali ya hatari Jumapili?

Shukran kwa clarification! Lets hope he does try kibakism, mugabeism, bushism ndani ya florida, na 'ism' nyingine...maana ITS OVER!

P.S: Shukrani kwa video zako za Mdahalo wa Dr Slaa jana ITV
Ningependa pia kama kwenye ile thread yako nyingine ya wizi wa kura ungejisahihisha kwa kukubali kuwa wizi upo ila wananchi wanatakiwa kuwa makini katika kulinda kura zao. Maana hata Dr Slaa mwenye kakubali kuwa wizi upo na waliufanya Karatu ndani ya ngome yake mwaka 2005 na kudhibitishwa na mahakama mwaka 2006.

kwenye ile mada hakuna mahali ambapo nimesema wizi haupo.. nimesema ni "vigumu".. au unafikiri ni rahisi hivyo? kwa sababu ingekuwa rahisi hivyo hakuna haja ya kupiga kura kwani wataiba kirahisi rahisi tu. Sasa hivi Dr. Slaa ameweka hali ya ugumu kuwa zaidi kuliko wakati yeye alipofanyiwa hivyo.. na kumbuka kwenye jimbo lake hawakuiba kura kama kura (not physically) bali walichezea fomu za uchaguzi. Huu ni wizi wa kalamu.. ina maana mwananchi akikaa nje kuangalia masanduku mengine yasiingizwe na yasipoingizwa akaamini kuwa kura yake iko salama huenda akawa anajidanganya..
 
Hakuna ulazima wowote wa Rais Kikwete kufanya "mdahalo hewa" baada ya kura kupigwa na kujijenga kama bado ni Rais wakati wananchi wanasubiri matokeo ya Uchaguzi. Ninawashauri kina kinana kama lengo la "mdahalo hewa" wa Rais Kikwete kuwavutia wapiga kura waufanye wakati wa kampeni yaani (hadi Jumamosi). Watanzania wana haki ya kumsikiliza Kikwete ili awasaidie kufanya uamuzi wa kupiga kura.

Kitendo cha kupanga kufanya "mdahalo hewa" siku ya Jumapili, wakati kura zinasubiliwa na matokeo hayajatoka ni kitendo chenye lengo la kuandaa mazingira ya vitisho na hata kutangaza hali ya hatari hasa kama exit polls zinaonesha CCM kufanya vibaya.

Matokeo yake Rais Kikwete atatumia nguvu ya EPACT ya 1986 ambapo vyombo vyote vya habari vinaweza kupigwa marufuku kutangaza na radio zote kuanza kuimba nyimbo wanazozitaka na hivyo kuchakachua utaratibu wa kutangaza matokeo.

Kwa kufanya mazungumzo hayo usiku wa kuhesabu kura na kabla ya matokeo yote kutoka CCM inawataka wananchi wajikusanye kuandamana au kufanya vurugu ili hatimaye waweze kufungulia virungu dhidi yao.
Tutumie hekima basi tunapopanga baadhi ya mambo. Kwa vile uchaguzi utakuwa umeshapita sidhani kama kuna ulazima wa Kikwete kuzungumza usiku wa kuhesabu kura.

Kama atashinda basi atazungumza na wananchi siku ya kuapishwa. Is that too much to ask?

We nae umejaa pumba,kwanza ulikuwa shabiki wa CCJ,halafu CCK na sasa eti Chadema,umeishiwa sera.
 
Mara nyingi mwisho wa safari ndio wakati mgumu kuliko wote, lakini tusiwe na wacwac, mungu yu pamoja nasi hadi siku dr slaa atakapoapishwa kuwa RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
 
Hakuna ulazima wowote wa Rais Kikwete kufanya "mdahalo hewa" baada ya kura kupigwa na kujijenga kama bado ni Rais wakati wananchi wanasubiri matokeo ya Uchaguzi. Ninawashauri kina kinana kama lengo la "mdahalo hewa" wa Rais Kikwete kuwavutia wapiga kura waufanye wakati wa kampeni yaani (hadi Jumamosi). Watanzania wana haki ya kumsikiliza Kikwete ili awasaidie kufanya uamuzi wa kupiga kura.

Kitendo cha kupanga kufanya "mdahalo hewa" siku ya Jumapili, wakati kura zinasubiliwa na matokeo hayajatoka ni kitendo chenye lengo la kuandaa mazingira ya vitisho na hata kutangaza hali ya hatari hasa kama exit polls zinaonesha CCM kufanya vibaya.

Matokeo yake Rais Kikwete atatumia nguvu ya EPACT ya 1986 ambapo vyombo vyote vya habari vinaweza kupigwa marufuku kutangaza na radio zote kuanza kuimba nyimbo wanazozitaka na hivyo kuchakachua utaratibu wa kutangaza matokeo.

Kwa kufanya mazungumzo hayo usiku wa kuhesabu kura na kabla ya matokeo yote kutoka CCM inawataka wananchi wajikusanye kuandamana au kufanya vurugu ili hatimaye waweze kufungulia virungu dhidi yao.
Tutumie hekima basi tunapopanga baadhi ya mambo. Kwa vile uchaguzi utakuwa umeshapita sidhani kama kuna ulazima wa Kikwete kuzungumza usiku wa kuhesabu kura.

Kama atashinda basi atazungumza na wananchi siku ya kuapishwa. Is that too much to ask?

Your Highness Master of spinning.......

Kwani mdahalo utafinyika jumapili ama ijumaa...Ni wazi unajua kuwa kwa kuwa CHADEMA wamemaliza makombora yao wiki moja kabla na huku CCM have advantage ya maneno ya mwisho with massive viewing, kichwa kinakuuma...Ndio mambo ya stratejia hayo kaka.

Salaam kaka
 
angalizo: chondechonde asije kuzirai kwenye screen kutokana na presha ya matokeo
 
kwenye ile mada hakuna mahali ambapo nimesema wizi haupo.. nimesema ni "vigumu".. au unafikiri ni rahisi hivyo? kwa sababu ingekuwa rahisi hivyo hakuna haja ya kupiga kura kwani wataiba kirahisi rahisi tu. Sasa hivi Dr. Slaa ameweka hali ya ugumu kuwa zaidi kuliko wakati yeye alipofanyiwa hivyo.. na kumbuka kwenye jimbo lake hawakuiba kura kama kura (not physically) bali walichezea fomu za uchaguzi. Huu ni wizi wa kalamu.. ina maana mwananchi akikaa nje kuangalia masanduku mengine yasiingizwe na yasipoingizwa akaamini kuwa kura yake iko salama huenda akawa anajidanganya..

Kwa hiyo sasa umeingia katika kutenganisha wizi physical na wizi wa ‘kalamu'. Kwa hiyo walioiba pesa za Richmond, EPA kwa sababu hawakuingia benki physical na kuchukua hizo pesa sio wizi? We wacha kujaribu kuwa technical. The end matter ni kuwa wizi upo na usipokuwa makini ccm wanaiba maana wao ni wezi! Whether ni vigumu au rahisi inategemea na wananchi wa hilo eneo.
 
Mungu ibariki Tanzania na tupate kiongozi mwenye upeo mzuri wa kufikiria tumechoka sasa kuwa kama maburudoza we need changes people
 
Mimi nazani tatizo lako ni ushabiki na kujua kwingi, kikwete kuwa mgombea bado ni rais wa nchi anayo haki ya kuuandaa umma kuyakubali matokeo kwa faida ya watanzania.tatizo mmeweka ushabiki mbele mkizani watanzania wote wanaitaka chadema,nchi hii vyama vipo 17 nani kakwambia mawazo yenu tu ndo ya maana? Hata kama kikwete i mgombea bado nduguyo slaa hajatangazwa kushinda na ukumbuke slaa anakubalika mjini zaidi na si kwa asilimia 100 hivyo kuzano kuwa wewe na slaa tu ndo mnahaki ni kuwaona watanzania wote wajinga.
 
Nakumbuka Mwaka 2005 wagombea karibu walifanya Mdahalo wa Wazi kama wa Jana ( Kasoro Kikwete), na katika mdahalo huo watu wote waliruhusiwa kuuliza maswali na kama sikosei midahalo hiyo ilifanywa na Channel ten.

Siku moja kabla ya Uchaguzi Kikwete alifanya mdahalo Nyumbani kwake akiwa yeye Mwandishi wa Habari kama sikosei Alikuwa Ayub Ryoba ( Niko tayari kusahihishwa)

Kwa kweli yale mahojiano ambayo hayakuwa na hadhira yalimjenga sana Kikwete na yaliweza sana kuwabadilisha wengi ( Kwa kuwa hawakuwa wanajua his true colour)

Sasa ninachokiona this time tena TBC1 hawataita watu kama walivyofanya jana akina Mwakitwange, lengo ni kumtafutia JK sehemu ya kumwaga spin bila ya kuulizwa maswali

Ila kwa sababu nimesikia Lipumba naye atakuwa na mdahalo the same day basi JK asitegemee kupata Audience kama aliyopata jana Dr wa Ukweli Slaa. Maana jana Mtaa Mzima ulikuwa unashangilia kila pale Dr wa Ukweli alipokuwa anashuka nondo

Long Live Dr. wa Ukweli Slaa
 
Mwanakijiji wakati mwingne ukiandika fikiria unachoandika. Huwezi sema kikwete atafanya mdahalo Jumapili ya siku ya kupiga kura, wakati unajua kuwa watu watakuwa washapiga kura. Na nini mdahalo?, mdahalo ni majadiliano baina ya mtu zaidi ya mmoja kwa hadhira. Sasa atafanya mdahalo na nani siku hiyo?.

Kama kutakuwa na Hotuba, itakuwa ya mwisho wa mwezi, na ana haki hiyo manake Urais wake utakoma siku atakapoapishwa Rais mpya.

Uandishi wako huwa unavutwa na hisia zako zaidi na kuacha uhalisia.

Mbona hukushangaa Kikwete alipohutubia Bunge kwa mara ya mwisho hakutaja kama Lowassa aliwahi kuwa Waziri Mkuu kwenye Serikali yake? Kila kitu kwa mafisadi kinawezekana., ila mwaka huu tutawabana mbavu.
 

Your Highness Master of spinning.......

Kwani mdahalo utafinyika jumapili ama ijumaa...Ni wazi unajua kuwa kwa kuwa CHADEMA wamemaliza makombora yao wiki moja kabla na huku CCM have advantage ya maneno ya mwisho with massive viewing, kichwa kinakuuma...Ndio mambo ya stratejia hayo kaka.

Salaam kaka

Teh teh teh! True colors are emerging at last.
 
Kama watu wangeelewa siasa za nchi zetu za dunia ya tatu ni tofauti na nchi zilizo endelea, basi naamini mageuzi ya kweli yangetoke
Takribani asilimia karibu 90 ya humu JF wanaamini Dr Slaa atashinda uchaguzi na ukuwauliza why? majibu ni CCM mafisadi hawajaleta maendeleo, sabaub hiyo inatosha kabisa kukitoa chama madarakani katika nchi zilizo endelea lakini sio dunia yetu yatatu.
kabla hujadhania chama fulani kitashinda jaribu kufikiria kwanini?

Ulitaka wanachama wa JF waje hapa waandike mstari mmoja kuwa Dr Slaa atashindwa kwa kishindo..au sio?

Kwahiyo watu kufanya majadiliano kwa namna ya maono mbalimbali ni kutojua siasa za nchi zetu...etc

Hebu tuambie kwa nini Dr Slaa hatashinda na kwa nini ufisadi unaolitafuna na kuliangamiza Taifa utashinda!
 
Nadhani huu ndiyo mwisho wake. Na yeye kama Rais wa awamu ya nne anapashwa kutoa shukrani kwa waliomchagua 2005.

tutamsikiliza hiyo jumapili ila ndiyo tumeshafanya maamuzi... Hatumtaki hata kidogo...

aanze kukabidhi office mapema... sasa sijui ndiyo ndoa yake na salma imeshavunjika au vipi...
 
labda anataka kuwatangazia watz gharama alizotumia kwenye kampeni zake na kwanini wastaafu kama warioba,mkapa,sumaye,walivyomtosa
 
Upinzani hakikisha wasimamizi wa kura zenu mnawajenga vizuri,kisaikolojia na ikibidi kama binadamu wengine,wape nguvu ya ziada,posho ya uhakika ili hata wakilaghaiwa,wasikubali,haki ya mtu isipotee,maana ikipotea ndo pale nguvu ya umma itaamua cha kufanya,hainiingii hakili,wananchi hawakupendi harafu wewe ung'ang'anie kuwaongoza!
Hili ndiyo la kulifanyia kazi lakini kifedha mafisadi hatuwawezi si unajua hata wewe kila siku unawachangi mafisadi....kati ya maneno aliyoyaongea jan Dr Slaa ni kuhusu kuibiwa kura alisema mbona ukinunua shirt lako haliibiwi akazidi kusema kura yako ni zadi ya shirt, kura yako ni barabara yako, afya yako nk...hiyo aliimanisha kila mtu awe mlizi wa kura yake kuliko anavyo linda shirt lake tuache tabia ya kwenda kupiga kura na kwenda bar au sehemu nyingine huku ukimwachia msimamizi jukumla kulinda kura yako, piga kura halafu nenda umbali wa mita 100 subilia matokeo....Mbona Moshi, karatu, bariadi, musoma, kigoma wameweza tuwe na uchungu na kura zetu siyo kubaki kulalamika tu bila vitendo....Piga kura linda kura yako...31-10-2010
 
Tusikubali kutishwa na JK na mafisadi wake tarime alipeka kila aina ya vitisho vikosi, magari ya kutuliza ghasi zaidi ya kumi lakini watu wa tarime walisimama kidete mpaka kikaeleweka kwanini siyo Tanzania kwa ujumla, haki haiombi haki inadaiwa wewe ukiona haki yako inatakakuzurumiwa chukua hatua....
 
Mazingira ya wizi wa kura yapo.kwenye majumuisho ndiko kunakoibiwa kura na si vituoni kwa taarifa yenu.
Hakika ufisadi ndani ya ccm hautatoka.ijumaa salma kikwete kaja hap songea,njiani alikuwa akimwaga kofia na t shirt kwa kuwarushia dirishani kama mbwa vile wadake wenyewe hukohuko.maeneo yote ya lizaboni hadi mjin alifanya hivyo.watu wa usalama wa taifa walibaki macho tu hawana cha kufanya.


Urais wa familia huu nao ni ufisadi mtupu
 
hehehe hahaha huhuhu
Complete Corrupted Members = CCM - by ISAAC Babu wa FaceBook
 
Back
Top Bottom