Elections 2010 Kikwete kufanya mdahalo Ijumaa, aweza kutangaza hali ya hatari Jumapili?

Mbona JK na midahalo ni sawa na Mmasai na samaki
Anachoweza kufanya nii kuweka iliyorekodiwa na asiruhusu maswali kama vile, atoe data za kuujisifu na mambo ya kawaida na kuwatisha watanzania tu lakini Dr naye arudie huu mdahalo. siku hizohizo au atafute majibu ya JK.
Maana akiruhusu maswali labda atafute mamluki wa maswali mepesi otheriwe litakuwa ndo kaburi lake na najua hawezii kuruhusu mjadala waukweli yaani live kama wa dr. slaa.
 


huko likuyu namtumbo, watu wengi wasiyo na televisheni walisheheni kwenye vibaa vya pombe kama vile wanaangalia mpira
hahha mkuu umenifurahisha sana kwa kutaja pande za likuyu fusi, na namtumbo hahaha hata pande za Mliayoyo, ndilima za wayahi, mlogolo, kwa kuchile, nambendo, MPITIMBI NA NAMATUHI mpaka maposeni kooote ni CHADEMA NA SLAAAAAAA Dr. wa UKWELI
 
Hivi tangu lini Konokono akapita juu ya majivu? hawa jamaa sasa wamesua sua kama konokono for almost 50 yrs na sasa wanahaha kunusuru maisha yao.Imagine ww unaambiwa eti umetunukiwa shahada ya u dokta wakati hata kushika mkasi wa upasuaji hujui, na ww unakubali. Ni sawa na mtoto kupewa gari la udongo akakubali ndilo la ukweli. Sisi tunapasua majipu ya wagojwa tarehe 31 na wenye mabusha tunayachanja vile vile. tena hatuna dawa za ganzi maumivu mpaka moyoni. Kwani ukimchinja kuku unampatia ganzi?
 
Mbavu zangu jamani! Hahahaahahahha! :laugh: Eti kama mmasai na samaki!
 
Even Jesus Christ died on the cross for our salvation, why not me and u for the sake of our Mother Tanzania?
 

Mwanakijiji wakati mwingne ukiandika fikiria unachoandika. Huwezi sema kikwete atafanya mdahalo Jumapili ya siku ya kupiga kura, wakati unajua kuwa watu watakuwa washapiga kura. Na nini mdahalo?, mdahalo ni majadiliano baina ya mtu zaidi ya mmoja kwa hadhira. Sasa atafanya mdahalo na nani siku hiyo?.

Kama kutakuwa na Hotuba, itakuwa ya mwisho wa mwezi, na ana haki hiyo manake Urais wake utakoma siku atakapoapishwa Rais mpya.

Uandishi wako huwa unavutwa na hisia zako zaidi na kuacha uhalisia.
 

Ref red:

Kuelimka si kumbukumbu nyingi kichwani..Ni Kuelewa na kupamabanua mambo... hasa unapokuwa Rais.

Mtu au Rais anayeelewa anatoa MISINGI YA MAENDELEO NA JINSI YA KUSTWAISHA JAMII sio Kutoa AHADI ZA KUDUMAZA MAENDELEO NA FIKRA ZA JAMIII...

Dr Ameshusha nondo KIUME with FULLL IMPACT ahadi wakafanye wakurugenzi na wakuu wa wilaya, mabwana shamba nk..HEKO DR SLAA shule yako imerudisha uhai wa Taifa baada ya muda mrefu kugubikwa na Vitu vya kukari na Kukremu.Sikunnyinge waeleze maana ya u Dr!!
 

alishasema hatotoa hutuba za mwezi hadi baada ya uchaguzi, labda kama uchaguzi unaisha baada ya kupiga kura na bila yakutangaza matokeo. Lakini nadhani taarifa zinasema ni siku hiyo ya Ijumaa (Octoba 29). Tusubiri tuone.
 
hahahaha hahaha nimeipenda hiyo ya konokono kuserereka juu ya majivu hahaha hahaha

 
hahaaaa JK mwanakwetu mtoto wa kikwere toka chalinze dot com..mwaka wako huu?we si ulijitamba umekuwa wa kwanza kuonana na Obama sasa unaogopa midahalo tena ..khaaa kweli CCM mgombea wenu kama ndo kwa mtindo huu afadhali aanze kuandaa handover note mapema
 
alishasema hatotoa hutuba za mwezi hadi baada ya uchaguzi, labda kama uchaguzi unaisha baada ya kupiga kura na bila yakutangaza matokeo. Lakini nadhani taarifa zinasema ni siku hiyo ya Ijumaa (Octoba 29). Tusubiri tuone.

yaani mi sijaelewa anafanya mdahalo anamhutubia nani?? hivi huyu mzee yuko sawa kichwa ni kweli....Kama timu beki hazikabi sasa... Ntakuwa zangu mittani nacheza pool kuliko kusikiliza jk anaongea nini nishafanya maamuzi mie
 
Anahutubia kama nani na atahutubia nini? Hao tume ya uchaguzi wako wapi wamzuie huyu katika hila zake za kutaka kung'ang'ania madarakani?
 
Mbwembwe za kusainisha fomu za kugombea kwa jaji mkuu ni alama ya dharau. si angeenda pale kisutu zikasainiwa na kuhakikiwa?
sisi tunamwona na tunaunganisha dotis
 
alishasema hatotoa hutuba za mwezi hadi baada ya uchaguzi, labda kama uchaguzi unaisha baada ya kupiga kura na bila yakutangaza matokeo. Lakini nadhani taarifa zinasema ni siku hiyo ya Ijumaa (Octoba 29). Tusubiri tuone.

Kama atafanya mdahalo siku ya Ijumaa (29/10) hakuna shida, iko ndani ya siku za kampeni. Rejea tangazo la waandaaji wa mdahalo wa Dr. Slaa, ambao ndio walioandaa mdahalo wa wagombea Urais Zanzibar. Walisema Slaa atafanya tarehe 23/10, Prof. Lipumba atafanya tarehe 29/10. Na Kikwete katumiwa barua ila hajajibu kuwa atataka kushiriki ama la. Hivyo huenda kathibitisha kushiriki.

Mimi nadhani hili la tarehe 29 kutakuwa hakuna kosa kufanya mdahalo, ni ndani ya kampeni. Yawezekana unazusha hili la tarehe 31. Jee kuna "press release" yoyote juu ya hili la tarehe 31?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…