Lowasa nafasi iliyobaki kwa yeye kuwa Rais Tanzania labda ni kujaribu kumvaa Kikwete mwakani.Vinginevyo ni kujidanganya.Pamoja na uzezeta wa wapiga kura wa Tanzania lakini Lowasa hatokuja kuwa Rais wa Tanzania 2015 au baada ya hapo.Ana nguvu ya pesa,ana nguvu CCM lakini ajue kwamba laana ya ufisadi inayomwandama haiwezi kumwacha kamwe na haiwezi kutoka vichwani mwa watanzania hata kama atasafishwa vipi.Na kama anajua kupima nyakati basi pia ajue kuwa wakati wake umeshapita wa kuwa Rais wa Tanzania.