Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 87
Busara iko wapi, post yote inatukana waziwazi. mwizi! Jambazi! nk,nk. Haya yote ni matusi kwa wenzetu ambao hawajafikishwa mahakamani na kupatikana na hatia. Tuna tofauti gani na wale waliomkamata mtuhumiwa wa wizi wa mfukoni na kumchoma moto? Nahizi tuna jaziba sana ambayo katika siasa na uendeshaji wa utawala wa sheria hairuhusiwi.
Busara itawale vinywa vyetu na vidole vyetu katika kubandika maandiko yetu hapa, kwani siku moja tutahukumiwa kwayo. Mpaka sasa hakuna fisadi tanzania kwa sababu hakuna ambaye amethibitika mbele ya sheria kuwa aliifisadi nchi yetu.
Mimi sitosema sana juu ya mwenendo mzima wa serikali ya CCM. But one day El will come up as a hero. Yapo matukio ya kutosha kuthibitisha kuwa wana CCM hatuwezi kuyashughulikia hayo.
KATAA CCM, OKOA KIZAZI CHAKO.
Hili wala halinishangazi sana JK kuamua kumsafisha EL, siasa za tanzania zimejaa unafiki! si mmemsikia Makamba eti sasa anajifanya kumsifia SS, huyu mzee hana hata aibu anayakana maneno yake mwenyewe eti wau wanajaribu kuwagombanisha na SS, hata Guninita nae sasa anamuunga mkono SS, yote hii ni baada ya kumsikia bosi wao JK kasema hana ugomvi na wanaopinga ufisadi. Unafiki! unafiki! unafiki! mtupu umejaa ndani ya CCM. aaah haya tusubiri tamthilia nyingine hii ya richmond inaanza kupoteza mvuto sasa. ndio nasema tamthilia sababu CCM wote ni wasanii.
Well, vyanzo vingine vya karibu vinadokeza kuwa kambi ya EL ilishtushwa na kauli ya JK kuwa la Kagoda litashughulikiwa bila ya kujali urafiki. RA na EL hawakupendezwa na kauli hiyo. Hivyo EL akatumwa kumbipu Jk kuwa afikirie mara mbili kwani wametoka "mbali"