Busara iko wapi, post yote inatukana waziwazi. mwizi! Jambazi! nk,nk. Haya yote ni matusi kwa wenzetu ambao hawajafikishwa mahakamani na kupatikana na hatia. Tuna tofauti gani na wale waliomkamata mtuhumiwa wa wizi wa mfukoni na kumchoma moto? Nahizi tuna jaziba sana ambayo katika siasa na uendeshaji wa utawala wa sheria hairuhusiwi.
Busara itawale vinywa vyetu na vidole vyetu katika kubandika maandiko yetu hapa, kwani siku moja tutahukumiwa kwayo. Mpaka sasa hakuna fisadi tanzania kwa sababu hakuna ambaye amethibitika mbele ya sheria kuwa aliifisadi nchi yetu.
Mimi sitosema sana juu ya mwenendo mzima wa serikali ya CCM. But one day El will come up as a hero. Yapo matukio ya kutosha kuthibitisha kuwa wana CCM hatuwezi kuyashughulikia hayo.
KATAA CCM, OKOA KIZAZI CHAKO.