Vyama vya upinzani visahau kuchukua nchi kwa njia ya kura unless mambo yafuatayo yafanyike kwanza.
1. Waongeze nguvu zao katika kudai mabadiliko ya Katiba ili kuwe na Tume huru ya uchaguzi itakayodhibiti mbinu zote chafu za wizi wa kura na kumanipulate final tallies of election results- Kwa hili sisiM imejipanga vilivyo kulizima.
2. Wakiisha pata Tume huru ya Uchaguzi, wagombee ubunge kwanza si Mbowe, Lipumba et al ili kulichukua bunge yaani wawe na filibuster majority ya kupitisha agenda za mageuzi, hili nalo kwa sisiM ni bora punda afe mzigo ufike wapo tayari kwa lolote.
3. Kukiisha kuwa mazingira ya usawa na haki na uhuru katika chaguzi, na baada ya kuwaonesha wananchi kuwa wapinzani wanaweza tena zaidi ya sisiM hapo tunaweza pata rais wa kwanza wa kidemokrasia halisi katika historia ya nchi.
Vinginevyo haya yoote tunayoongea ni kelele za mlango, sisiM wanajua wanachokifanya kwani style yao ni kuwa, Jeshi la wananchi, UWT, Polisi na kila chombo kilicho katika serikali ni lazima kijue kuwa masilahi yao ni masilahi ya CCM, kushindwa kwa CCM ni kupoteza kwaoa maslahi hayo. Hivyo wamekula viapo vya mioyoni kuwa watailinda CCM mpaka tone la mwisho.
Ukweli ni kwamba Tanzania ilitakiwa ifikirie kuingia kwenye siasa za vyama vingi labla mwaka 2080. VINGINEVYO KUWE NA WA KUFANYIWA KAFARA KWA AJILI YA UKOMBOZI WA KWELI WA KULETA DEMOKRASIA- Un-option which is not recommended by any one unless you feel useless and stranded for you life is no difference to death because of "POVERTY"