Tetesi: Kikwete kumrithi Ban Ki-Moon

HUYU NDIYE MRITHI WA BAN KI-MOON

Mbona kama nafasi yetu Afrika Kofi Anan kamaliza majuzi tu, itawezekanaje mkuu. Najiuliza tu.
 
mtoa uzi anashindwa kutofautisha ccm na Un pili hajui utaritibu wa uteuzi wa katibu....
hizi tetesi akamsimulie mkewe tu huwezi kumpaisha mtu ambaye ameleta hasara nchini na kutuachia majipu chungu nzima.
hizo tetesi zako ziishie chumbani
 
Nafasi ya ukatibuu mkuu wa umoja wa mataifa sio cheo cha umonita kila mtu anaweza . kama ulidhani hivyo Umepotea
 
kama tulikosa kipindi cha Dr. Salim ndiyo basi tena tusubiri kizazi kijacho.
 
Kikwete anapendwa sana na wazungu zaidi ya waswahili!! mnyonge mnyongeni Ila haki yake mpeni!! Jk tunakuombea uzidi kujitangaza Tanzania
Ukiona kiongozi yeyote wa Africa anapendwa na Wazungu, jiulize sana Why him??????? Yaani juilize sana!
 
Huyu Jamaa namdharau sana kwa alivyoendesha hii nchi :
Tanzania imeliwa sana na watu Wa ulaya.....hizi rasilimali zimepigwa sana...

My Take;;
Jakaya kikwete ni mtu hatari sana, huyu jamaa yaelekea ni mzuri kwao na wanalipa fadhila kwa mkwere baada ya kuwaachia wakaiba Tembo na blaa blaa zingine
 
Heshima kwako mkuu huyu umempa za uso na kumkata maini,JK arithi kiti cha nani??kwa uwezo upi???amuulize Migiro atamweleza UN panavyowaka moto yule mama ni msomi mzuri tu lakini palimpeleka puta hadi akaondolewa.
 
Hivi wadau hamsikii harufu yoyote?
Huu uzi,una harufu ya bangi bangi tu

Mtu hajui methodologies zipi zinatumika kumchagua mwenyekiti wa UN

Na sifa zipi zinaangaliwa,

Jitu linakurupuka tu.
 
endeleeni na ndoto..naona ni mwendelezo wa jk kutaka kuwa hot kweny media...
hawez u GS,.na bora asiwe2 ataenda kutuaibisha tu uko Kufisadi....
nchi imemshinda sembuse un,.tukumbuke aliomba poo akasema naomba mda wangu uishe wa urais maana ni mgumu sana..akae tu ccm2 azeekee pale...,...
alafu mnasema wazungu wanampenda,...wazungu watakupenda ukiwa connector wa dili zao,..mbona mugabe hawampendi,...7bu hawapi dili,..kikwete kawapa dili wazungu za kuhujumu nchi......

mfalme wa anga.......
 
waje wajibu hapa wa lumumba wanaosifa kila kitu.....
wanjiita team kusifia
 
Kuwa katibu mkuu UN aingalii tu uanadiplomasia Wa MTU Bali pia uwezo Wa MTU ki akili. Nina wasiwasi uwezo Wa Kikwete upstairs haumpi nafasi ya kuichukua nafasi hiyo. Uwezo Wa kujieleza Na kutiririka kwa kiingereza Kikwete Hana pia

Tiba
 
Save your MBs mkuu, cheo cha ukatibu mkuu UN ni rotational kwa mabara yote, baada ya Afrka (Koffi Annan), then Asia (Ban Ki Moon) sasa hivi ni zamu ya nchi za Ulaya kutoa katibu mkuu UN, nafasi kubwa zaidi zikipewa nchi za ulaya mashariki. So, forget about it man. Omary Kipingu
 
JeiKei kaharibu Tanzania vya kutosha, yaani wampe na Dunia aiharibu? hamna kitu kama hiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…