Tetesi: Kikwete kumrithi Ban Ki-Moon

Wazungu wanampenda JK kwa sababu ni kuwadi wa ubepari. Hawawezi kamwe kumpa mtu kama yule nafasi ya uboss wa UN. Salim A Salim alikubalika sana na ni mweledi sio kama JK lkini alipigwa veto isivyoelezeka.
 
Nchi ya watu milioni 47 aliigeuza ghala la wachuuzi na wapiga dili atawezaje UN? labda tumpe awe makamu wa nkurunziza BURUNDI
Mkuu huo ndio ukweli kabisa maana kama aliamua kutumia mamilioni ya walipa kodi kwa kununua magari ya washawasha ili kuhakikisha wapinzni hawaingii ikulu
 
Akili ya mchwa hiyo uliyonayo
 
Hizi nafasi zinakwenda kwa mzunguko na wala si kwa propaganda, baada ya katibu wa sasa nadhani anae fuatia anapaswa kutoka Ulaya kwa maana naibu wake wa sasa nadhani ametoka Argentina kama sikosei..endeleeni kubwabwaja JF na FB.. haitokaa itokee!
Mkuu super Handsome nakupa heko kwa kutoa ukweli, salute mkuu
 
Kikwete anapendwa sana na wazungu zaidi ya waswahili!! mnyonge mnyongeni Ila haki yake mpeni!! Jk tunakuombea uzidi kujitangaza Tanzania
Kwakuwa aliwauzia nchi yetu bila kuwajali watanzania na kila aliyejitokeza kupinga kufukuzwa kutoka kwenye ardhi yake alipigwa mijeredi bila huruma
 
itabaki kuwa tetesi
 
Fast jet
 
ana uzoefu mkubwa wa mambo ya kimataifa tangu akiwa waziri wa mambo ya nchi za nje..
ni tofauti na yule boya alielopoka eti SADAM alikua rais wa Quwait.
 
Hata mbingu zikipasuka jina lake sio tu kupita lakini hakitafikiriwa. Ni bora hata Asha-Rose Migiro.

Kwanza uzoefu hana zaidi ya kuwa chimbuko la migogoro. Burundi alimbeba Nkurunziza mpaka mishono ya operation kutaka kufumka.

Zanzibar aliibeba CCM kwa kutuia jeshi kukandamiza haki, na kuleta mfarakano, leo eti afikiriwe kukalia kiti cha watu wadilifu, haiwezekani! Nafasi pekee iliowahi kupata Tanzania ilikuwa kwa Dr. SALIM Ahmed Salim.
 
labda hamsini kwa hamsini... na si mengine
 
hivi hii tetesi bado haijawa confirmed tu , inakuwaje pale tetesi inapozidi mwezi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…