Kikwete: Kutokana na utoaji hafifu wa Elimu nchini, kuna hatari ya nusu ya ajira zilizopo kutoweka ifikapo mwaka 2050

Mbona hata sasa ajira hakuna wakati tuna ardhi ya kutosha ambaye tungewekeza huko ajira zingepatikana nyingi. Tatizo kilimo kinadharaulika wakati ndio ajira nyepesi, ni vigumi kijna aliyemaliza chuo kikuu kupewa mkopo wa kilimo kwa kuwa serikali yenyewe ni kama haikithamini hivi.
 
Yeye alipokuwa namba 1 alichangia nini kuelekea huko anapopatamani! Huyu mzee naye mbona anatuingiza majaribuni! Hata kuitoa hiyo elimu ilipitwa na wakati bure alishindwa ati yakhe😜! Talking is cheap eeh😜!
 
Sina uhakika kama hoja yake ipo sawa. Ukienda Mlimani city japo kuna automated machines za car park bado utakuta kuna mtu ameajiriwa kubonyeza machine kutoa card na mwingine kutoa change kwenye machine ya kulipia. Huku Tanzania tunafanya vitu tofauti kidogo.
 
Mhhh! Hii ni hatari ssna. Mwanafunzi anamaliza form six hajui Microsoft Word. Power points, au excel. Huyu anaenda kuajiriwa na nani. Hajui hata kutengeza CV ya kuombea kazi. Atakuwa mgeni wa nani huyu?
 
Mhhh! Hii ni hatari ssna. Mwanafunzi anamaliza form six hajui Microsoft Word. Power points, au excel. Huyu anaenda kuajiriwa na nani. Hajui hata kutengeza CV ya kuombea kazi. Atakuwa mgeni wa nani huyu?
Duh
 
Binafsi nimeshindwa kumuelewa Kikwete; anataka ajira ziongezeke au zipungue? Kwanini anahimiza matumizi ya teknolojia ambayo anafahamu matokeo yake ni kupunguza ajira?

Kama mwalimu mmoja tu wa hisabati ndo ataajiriwa kufundisha nchi nzima, huku si ndo kupunguza ajira? Sasa tuchague kutumia teknolojia au tuongeze ajira za walimu?
 
Hao unaowaita masikini na wenyewe wabadilike wawe matajiri
 
Technology is a reality na inabadilika kila kukicha. Sasa ombi kwa Madame President. Unavyosema rukhsa kwa vibali vya kz left, right and centre jaribu kuingia mikataba ya wazi na haya makampuni na vijana wetu waenda hizo nchi zao kwa ajili ya sponsorship/secondment nk ili wapate exposure na experience ya technology. Ratio hata ya for every 10 expat 1/2 TZ siyo mbaya. Ifike hatua tukipewa tatizo walete na viable solutions...2050 tuna muda wa kijiandaa.
 

Elimu yetu haitoi kipaumbele kwa wanafunzi kuwa creative. Ina heshimu wanaoweza kukariri.
Anachosema JK ni kuwa hizi kazi zilizopo leo zinapungua kadri technology inavyoenda mbele.
Bila kuwa na elimu itakayoweza kutengeneza kazi za aina mpya, wengi watakuwa hawana kazi. Sio Tanzania tu, hii ni Dunia nzima. Artificial intelligence inaanza kubadili mambo taratibu. Ni lazima elimu yetu ibadilike ili iweze kuwajengea wanafunzi uwezo wa kuhimili changamoto mpya zinazotokana na muda kubadilika
 
Kuzeeka kuna mengi keshaanza kupoteza kumbukumbu

Kwa hiyo ikifika hiyo miaka serikalini na mahakamani tutaajiri wazungu kufanya kila kazi ya ajira iliyoko serikalini na kwenye mahakama zetu?
Aher JK aliyezeeka mwili kuliko wewe uliyezeeka akili.
 
Mleta mada una nyege za sehemu za duara.
Hapo CHADEMA imekujaje?
Nyie si ndio mmeleta elimu duni ili muendelee kuwatawala Wadanganyika?
 
Kwa hiyo ikifika huo mwaka majeshi yetyu yote iwe polisi au JWTZ watakuwa wanaajiriwa wazungu wenye elimu bora?
Tatizo ni kwamba akilini na uwezo wenu wa kufikiri unaishia mita 2.

Huna habari kuwa mpaka sasa kuna attacking choppers na hata ndege ambazo zinashambulia bila hata ya kuwa na rubani ndani? Idadi ya waongozaji kwenye kituo cha kuongozea haiwezi kuwa sawa na idadi ya marubani.

Kama umesafiri, nadhani umeona siku hizi katika mataifa yaliyoendelea ambapo kuna treni za umeme ambazo hazina madereva. Lakini zinafanya kazi masaa 24.
 
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana.

Teknolojia inavyoenda, itafika mahali, kazi iliyokuwa inafanywa na majaji 20, itafanywa na jaji mmoja mwenye uwezo wa kutumia teknolojia ya kisasa. Jaji ataweza kuendesha kesi akiwa Dar, mshtakiwa akiwa Kigoma, shahidi akiwa Songea.

Nenda nchi zilizoendelea uone polisi wanavyofanya kazi. Huoni polisi wa usalama barabarani akiwa barabarani, lakini ukikiuka tu sheria, umenaswa. Kazi ambayo zamani ilifanywa na polisi 50, leo wanafanya polisi 5.

Wewe sijui unaishi Ulimwengu gani!! Hivi hujaona leseni zinazotolewa mitandaoni. Unajaza kinachohitajika, system ina-collerate, kisha leseni inatoka au inakataliwa.

Tatizo ni kwamba mmezeeka akili, huku miili yenu ikionekana bado ni vijana.
 
Umeshawahi kufanya interview kwenye taasisi za kimataifa kupitia electronic systems? Huyo anayetumia tablet ana nafasi kubwa ya kupita kuliko wa chaki. Tuwekeze kwenye elimu ya kisasa. Mambo ya A+ za makaratasi tuachane nayo yaani.
 
Mawazo finyu sana.

Hujui leo hii kutokana na maendeleo ya teknolojia, hospitalini, specimen ambazo zamani zilikuwa zinapimwa kwa kutazamwa kwa macho, moja baada ya nyingine, lakini kutokana na maendeleo ya teknolojia, kwa sasa unaweza kuzipima hata 400 kwa wakati mmoja? Kama zamani ulikuwa na wagonjwa 100, sasa una wagonjwa 200, zamani ulikuwa unapima specimen moja moja, sasa anazipima kwa mara 1 specimen 400, bado utasema kutokana na ongezeko la wagonjwa, na ajira za upimaji zitaongezeka?

Wenzetu, kwa sasa, ni kuwa specialist ambaye zamani ulihitaji kila hospitali iwe na wa kwake, leo anaweza kuwa Mwanza, akamsikiliza na kumhudumia mgonjwa wa Namabengo. Lakini pia huyo specialist amerahisishiwa sana kazi yake kwa sababu diagnosis ya awali inafanywa na instruments. Hata prescription ya tiba inafanywa na mashine.
 
Elimu yetu haitoi kipaumbele kwa wanafunzi kuwa creative. Ina heshimu wanaoweza kukariri.
Uongo hayo ni yale ya kukariri ,ni kwa masomo ya arts ambayo Kikwete mwenyewe ndio aliyasoma nafikiri hayo ya kukariri aliyosoma yeye ndiyo anaongelea yeye alisoma digrii ya kukariri ya uchumi

Mainjinia,madaktari,hata makenika tu watoka VETA hakuna kukariri

Masomo ya sayansi hayana huo ujinga wa kukariri kama wa ARTS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…